Rapper Mtanzania Allan Kingdom alivyoshea jukwaa moja na Kanye West…..(+Video)
Ni headlines za rapper mtanzania Allan Kingdom aishiye Minnesota Marekani ambaye jina lake lilianza kujulikana na kupata airtime baada ya kushirikishwa kwenye single iitwayo All Day na rapper Kanye West. Kanye West anafahamika kwa kuwatoa wasanii wakubwa nchini marekani, kwa mfano leo hii bila Kanye West basi mashabiki wa muziki wa duniani wasingewajua wasanii John Legend […]
The post Rapper Mtanzania Allan Kingdom alivyoshea jukwaa moja na Kanye West…..(+Video) appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi08 Nov
CHECK OUT RISING RAPPER AND SINGER ALLAN KINGDOM
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/MorYuI8c1aY/default.jpg)
Allan Kingdom: The rapper with Tanzanian blood attracting international attention
9 years ago
MillardAyo03 Jan
Rapper mtanzania aliyewahi kushirikishwa na Kanye West kuitoa hii yake album sokoni…
Ni headlines za rapper aishiye Marekani ‘Minnesota’ mwenye asili ya Tanzania ambaye aliwahi kushirikishwa na Kanye West kwenye ngoma iitwayo ‘All Day’. Good news ninayotaka kushea na wewe ni kwamba mtanzania huyo hivi karibuni anatarajia kuachia album yake mpya iitwayo ‘NORTHERN LIGHTS’ tarehe 6 mwezi January tukae mkao wa kuipokea. My new project NORTHERN […]
The post Rapper mtanzania aliyewahi kushirikishwa na Kanye West kuitoa hii yake album sokoni… appeared first on...
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Wimbo Mpya wa Kanye West… Aipiga Madongo Kampuni ya Nike!
Kanye West.
RAPA Kanye West ameachia wimbo wake mpya masaa machache kabla ya Mwaka Mpya kufiwadia, wimbo amabao ameuita FACTS.
Ndani ya wimbo huo Kanye ameongea mambo mengi huku ‘akiiponda’ kampuni aliyokuwa akifanya nayo kazi zamani ya Nike aliyofanya nayo kazi kwa muda mrefu kabla ya kuhitilafiana na kuhamia kufanya kazi na kampuni ya Adidas Originals mwaka jana.
Kanye anasema kuwa, Adidas ndiyo imekuwa kampuni yenye mafanikio makubwa kwake kwa mwaka 2015 hasa kusapoti kazi zake za mitindo...
9 years ago
Bongo504 Dec
Video: Davido na Wizkid watumbuiza pamoja kwenye jukwaa moja Lagos
![wizkid-davido2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/10/wizkid-davido2-300x194.jpg)
Mastaa wa muziki wa Nigeria, Davido na Wizkid wamethibitisha kumaliza kabisa tofauti zozote zilizowahi kuwepo kati yao, baada ya kutumbuiza pamoja jukwaani kwenye show iliyofanyika Alhamisi Dec.3, 2015 jijini Lagos.
Kwa mujibu wa video iliyosambaa ya show hiyo ya club, Davido ndiye aliyekuwa wa kwanza kupanda jukwaani na kuimba wimbo wake wa ‘Dami Duro’, na wakati wimbo unaelekea kuisha ghafla Wizkid alitokea upande wa mashabiki na kuvutwa mkono na Davido kupanda jukwaani, wakaendelea...
10 years ago
Dewji Blog22 Oct
Allan Lucky aonesha uwezo kwenye moja na mbili
10 years ago
Vijimambo28 Feb
ALLEN KINGDOM ARTIST MWENYE ASILI YA TANZANIA KWA MAMA APEWA SHAVU NA KANYE WEST
![](http://stmedia.startribune.com/images/630*456/chrisr_1424903132_AllanKanye.png)
10 years ago
Bongo505 Oct
Mr Blue: Young Killer ni bonge moja la rapper!
10 years ago
Mtanzania05 Feb
Belle 9, Hemed, Izzo B jukwaa moja
NA OSCAR ASSENGA, TANGA WASANII wa muziki wa Bongo Fleva, Abelnago Damiani ‘Belle 9’, Hemed Phd na Izzo Business, wanatarajiwa kutoa burudani katika onyesho maalumu la siku ya wapendanao lililopewa jina la Red &White Party mkoani Tanga. Akizungumza na MTANZANIA jana, Mratibu wa onyesho hilo, Mbwana Imamu, alisema maandalizi yote yamekamilika na wasanii wataripoti mkoani humo Februari 13 mwaka huu. Mbwana alisema lengo kubwa la onyesho hilo ni kuwapa burudani
wakazi wa Tanga katika siku hiyo...