Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rapper Mtanzania Allan Kingdom alivyoshea jukwaa moja na Kanye West…..(+Video)

Ni headlines za  rapper mtanzania Allan Kingdom aishiye Minnesota Marekani ambaye jina lake lilianza kujulikana na kupata airtime baada ya kushirikishwa kwenye single iitwayo All Day na rapper Kanye West. Kanye West anafahamika kwa kuwatoa wasanii wakubwa nchini marekani, kwa mfano leo hii bila Kanye West basi mashabiki wa muziki wa duniani wasingewajua wasanii John Legend […]

The post Rapper Mtanzania Allan Kingdom alivyoshea jukwaa moja na Kanye West…..(+Video) appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

CHECK OUT RISING RAPPER AND SINGER ALLAN KINGDOM

This past spring, The FADER flew to St. Paul, Minnesota to spend time with rising rapper and singer Allan Kingdom and visit his childhood home for the second in our FADER Documentary series. A couple of months earlier, Kingdom had caught the world's ear after being featured on Kanye West's "All Day" and joining him on stage for an unforgettable performance at the BRIT Awards. As Kingdom tells it, an email from Kanye confidante Plain Pat changed his life, but his story began way before...

 

10 years ago

Michuzi

Allan Kingdom: The rapper with Tanzanian blood attracting international attention

After helping hip-hop megastar Kanye West debut new song “All Day” last week, Allan Kingdom is making headlines around the world. Few rappers get the chance to collaborate with hip-hop’s self-proclaimed savior, so this support from West means a lot—and as we learned on Tuesday, Kingdom didn’t just help Kanye in the song’s live performance butappears on the studio version of the track, too.All of this is leading many to question, who is Allan Kingdom? Although many in The Current’s...

 

9 years ago

MillardAyo

Rapper mtanzania aliyewahi kushirikishwa na Kanye West kuitoa hii yake album sokoni…

Ni headlines za rapper aishiye Marekani ‘Minnesota’ mwenye asili ya Tanzania ambaye aliwahi kushirikishwa na Kanye West kwenye ngoma iitwayo ‘All Day’. Good news ninayotaka kushea na wewe ni kwamba mtanzania huyo hivi karibuni anatarajia kuachia album yake mpya iitwayo ‘NORTHERN LIGHTS’ tarehe 6 mwezi January tukae mkao wa kuipokea.   My new project NORTHERN […]

The post Rapper mtanzania aliyewahi kushirikishwa na Kanye West kuitoa hii yake album sokoni… appeared first on...

 

9 years ago

Global Publishers

Wimbo Mpya wa Kanye West… Aipiga Madongo Kampuni ya Nike!

Kanye West (1)Kanye West.

RAPA Kanye West ameachia wimbo wake mpya masaa machache kabla ya Mwaka Mpya kufiwadia, wimbo amabao ameuita FACTS.

Ndani ya wimbo huo Kanye ameongea mambo mengi huku ‘akiiponda’ kampuni aliyokuwa akifanya nayo kazi zamani ya Nike aliyofanya nayo kazi kwa muda mrefu kabla ya kuhitilafiana na kuhamia kufanya kazi na kampuni ya Adidas Originals mwaka jana.

kanye-west-adidas-yeezy-boost-350-jumping-1Kanye anasema kuwa, Adidas ndiyo imekuwa kampuni yenye mafanikio makubwa kwake kwa mwaka 2015 hasa kusapoti kazi zake za mitindo...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Davido na Wizkid watumbuiza pamoja kwenye jukwaa moja Lagos

wizkid-davido2

Mastaa wa muziki wa Nigeria, Davido na Wizkid wamethibitisha kumaliza kabisa tofauti zozote zilizowahi kuwepo kati yao, baada ya kutumbuiza pamoja jukwaani kwenye show iliyofanyika Alhamisi Dec.3, 2015 jijini Lagos.

Kwa mujibu wa video iliyosambaa ya show hiyo ya club, Davido ndiye aliyekuwa wa kwanza kupanda jukwaani na kuimba wimbo wake wa ‘Dami Duro’, na wakati wimbo unaelekea kuisha ghafla Wizkid alitokea upande wa mashabiki na kuvutwa mkono na Davido kupanda jukwaani, wakaendelea...

 

10 years ago

Dewji Blog

Allan Lucky aonesha uwezo kwenye moja na mbili

Allan Lucky

Aliyekuwa mtangazaji wa kipindi maarufu cha Televisheni kinachohusiana na maisha ya wanafunzi wawapo shuleni, Allan Lucky a.k.a Rais wa Wanafunzi ambaye kwa sasa anafanya shughuli zake nchini Kenya, ameibuka na kipaji kingine, U-DJ. Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Allan Lucky amewaambia mashabiki wake kuwa kila Ijumaa ya kwanza ya mwezi, atakuwa anatoa kupitia Hulkshare mixing mpya kali ambayo mtu yeyote anaweza kui-download na kuisikiliza mahali popote, iwe ni kwenye gari, nyumbani,...

 

10 years ago

Vijimambo

ALLEN KINGDOM ARTIST MWENYE ASILI YA TANZANIA KWA MAMA APEWA SHAVU NA KANYE WEST

The 21-year-old Woodbury High graduate joined West on stage at the Brit awards in London earlier today to debut the song.Allan Kingdom, right, posted this photo on his Facebook page from the Brit Awards earlier today.Looks like Allan Kingdom’s big break has come in the United Kingdom. The St. Paul rapper was prominently featured on stage with Kanye West at the Brit Awards in London on Wednesday night (mid-day our time), and he also is a guest star in the new single West debuted at the show,...

 

10 years ago

Bongo5

Mr Blue: Young Killer ni bonge moja la rapper!

Rapper Mr Blue amemmwagia misifa msanii kutoka Mwanza, Young Killer Msodoki na kudai kuwa alikuwa haamini kama ni yeye ndiye anayetunga mistari ya nyimbo zake. Mr Blue Akizungumza na Bongo5 leo, Mr Blue amesema maneno anayotoa rapper huyo hayalingani na umri wake kwakuwa yanaonyesha ukomavu mkubwa. “Kiukweli huwaga siamini yeye ndio anatunga mistari anayoimba, dogo […]

 

10 years ago

Mtanzania

Belle 9, Hemed, Izzo B jukwaa moja

bhemed_phdNA OSCAR ASSENGA, TANGA WASANII wa muziki wa Bongo Fleva, Abelnago Damiani ‘Belle 9’, Hemed Phd na Izzo Business, wanatarajiwa kutoa burudani katika onyesho maalumu la siku ya wapendanao lililopewa jina la Red &White Party mkoani Tanga. Akizungumza na MTANZANIA jana, Mratibu wa onyesho hilo, Mbwana Imamu, alisema maandalizi yote yamekamilika na wasanii wataripoti mkoani humo Februari 13 mwaka huu. Mbwana alisema lengo kubwa la onyesho hilo ni kuwapa burudani
wakazi wa Tanga katika siku hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani