Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Allan Lucky aonesha uwezo kwenye moja na mbili

Allan Lucky

Aliyekuwa mtangazaji wa kipindi maarufu cha Televisheni kinachohusiana na maisha ya wanafunzi wawapo shuleni, Allan Lucky a.k.a Rais wa Wanafunzi ambaye kwa sasa anafanya shughuli zake nchini Kenya, ameibuka na kipaji kingine, U-DJ. Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Allan Lucky amewaambia mashabiki wake kuwa kila Ijumaa ya kwanza ya mwezi, atakuwa anatoa kupitia Hulkshare mixing mpya kali ambayo mtu yeyote anaweza kui-download na kuisikiliza mahali popote, iwe ni kwenye gari, nyumbani,...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Rapper Mtanzania Allan Kingdom alivyoshea jukwaa moja na Kanye West…..(+Video)

Ni headlines za  rapper mtanzania Allan Kingdom aishiye Minnesota Marekani ambaye jina lake lilianza kujulikana na kupata airtime baada ya kushirikishwa kwenye single iitwayo All Day na rapper Kanye West. Kanye West anafahamika kwa kuwatoa wasanii wakubwa nchini marekani, kwa mfano leo hii bila Kanye West basi mashabiki wa muziki wa duniani wasingewajua wasanii John Legend […]

The post Rapper Mtanzania Allan Kingdom alivyoshea jukwaa moja na Kanye West…..(+Video) appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Jux aonesha milioni 100 kwenye Instagram (Picha)

page

Kumiliki shilingi milioni 100 kwa wakati mmoja kwa watu wengi ni ndoto nadra kutimia. Kwa Jux hizo ni fedha anazozishika kila wakati na ndio maana haoni hatari kuwaonesha mashabiki wake kwenye Instagram.

IMG_9357

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Jux amepost picha za fedha hizo zilizo kwa dola na kuandika:

It’s 50k in USD, its 100million in TSHs I think I don’t have a bad weekend I saw my first 100mil when I was 22 now it’s not new anymore go hard everything is possible in God I trust 🙏🙏 don’t forget...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Madonna aonesha chuchu zake kwenye jarida la ‘Interview’

Ana miaka 56, lakini bado haoni haya kufanya ile wasichana kama Kim Kardashian au Rihanna wanafanya. Madonna ameonesha chuchu zake kwenye jarida la Interview. Hizi ni picha zaidi.

 

10 years ago

Michuzi

Airtel Money yazindua rasmi huduma ya kutuma/kupokea pesa moja kwa moja kwenye akaunti ya tigo pesa

Mkurugenzi mtendaji wa Airtel Bwana Sunil Colasa akiongea na waandishi wa habari leo hii (hawapo pichani) akiwatangazia kuanza kutumika rasmi kwa huduma mpya ya kutuma na kupokea pesa kutoka kwenye mitandao mingine moja kwa moja kwenye akaunti  zao za Airtel money, (interoperability) huduma hii ni ya kwanza Duniani ambapo inaaminika kuwa itasaidia sana wateja wa Airtel Money na Wakala kuokoa muda wa kupata na kutoa huduma kwa haraka Zaidi. ===========  ==========Wateja Airtel Money...

 

10 years ago

GPL

AIRTEL MONEY YAZINDUA RASMI HUDUMA YA KUTUMA, KUPOKEA PESA MOJA KWA MOJA KWENYE AKAUNTI YA TIGO PESA

Mkurugenzi mtendaji wa Airtel Bwana Sunil Colasa akiongea na waandishi wa habari leo hii (hawapo pichani) akiwatangazia kuanza kutumika rasmi kwa huduma mpya ya kutuma na kupokea pesa kutoka kwenye mitandao mingine moja kwa moja kwenye akaunti  zao za Airtel money, (interoperability) huduma hii ni ya kwanza Duniani ambapo inaaminika kuwa itasaidia sana wateja wa Airtel Money na Wakala kuokoa muda wa kupata na kutoa huduma kwa...

 

11 years ago

CloudsFM

DIAMOND:NIMESHINDA TUZO MBILI LAKINI NIMEPEWA MOJA

Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz aliwasili hivi karibuni na kupokelewa na maelfu ya mashabiki wake kwenye uwanja wa ndege baada ya kushinda na tuzo moja ya msanii bora wa kiume Afrika Mashariki(AFRIMMA) tofauti na awali ilivyoripotiwa kuwa ameshinda tuzo mbili. Diamond aliongea na waandishi wa habari waliofika kimpokea na kusema...“Kwenye jukwa la AFRIMMA Alitangazwa kushinda tuzo mbili ambazo ni Msanii Bora Wa Kiume Afrika Mashariki Na Wimbo Bora Wa Kushirikiana ambao ni Number One Ft...

 

11 years ago

GPL

TAIFA STARS YAWAFUNGA WADOGO ZAO MBILI KWA MOJA

Kikosi cha Taifa Stars kilichoanza dhidi ya vijana wa timu ya taifa wenye umri wa chini ya miaka 20 leo katika Uwanja wa Taifa jijini Dar. Kikosi cha vijana wa timu nya taifa wenye umri wa chini ya miaka 20.…

 

10 years ago

Bongo Movies

Vijimambo: Ray Weka Milioni Moja, Mimi Naweka Mbili-JB

Kuelekea mpambano  wa watani wa jadi katika mchezo wa mpira wa miguu hapa nchini, mchezo kati ya Simba na Yanga ambao utafanyika hapo kesho kwenye uwanja wa taifa jiji Dar, Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ ambae ni mshabiki “kindakindaki” wa timu ya Simba amemtaka Staa mwenzake Vicent Kigosi ‘Ray’  ambae ni shabiki wa Yanga, aweke dau shilingi milioni moja kama alivyofanya mchezo uliopita na yeye JB ataweka milioni mbili, kama Yanga ikishinda Ray atachukua mzigo na kama Simba...

 

11 years ago

Michuzi

POLISI KILIMANJARO YANASA BUNDUKI MBILI ,MOJA IKIWA IMEFUNGWA HIRIZI.

Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro, Robert Boaz akizungumza na waandishi wa habari wakati akitoa taarifa ya kukamatwa kwa bunduki mbili pamoja na mali kadhaa kufuatia operesheni tokomeza uhalifu inayoendeshwa na Jeshi la Polisi mkoani Hapo. Kamanda Boaz akiwaonesha waandishi wa habari, bunduki mbili, ya kulia ni Shotgun Greener, ambayo imekatwa kitako pamoja na nyingine aina ya shotgun (ya kushoto), namba za usajili 68022, ambazo zinaaminika zimekuwa zikitumika katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani