DIAMOND:NIMESHINDA TUZO MBILI LAKINI NIMEPEWA MOJA
Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz aliwasili hivi karibuni na kupokelewa na maelfu ya mashabiki wake kwenye uwanja wa ndege baada ya kushinda na tuzo moja ya msanii bora wa kiume Afrika Mashariki(AFRIMMA) tofauti na awali ilivyoripotiwa kuwa ameshinda tuzo mbili. Diamond aliongea na waandishi wa habari waliofika kimpokea na kusema...
“Kwenye jukwa la AFRIMMA Alitangazwa kushinda tuzo mbili ambazo ni Msanii Bora Wa Kiume Afrika Mashariki Na Wimbo Bora Wa Kushirikiana ambao ni Number One Ft...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWASHINDI WA TUZO ZA KTMA 2015, ALI KIBA AIBUKA NA TUZO TANO, DIAMOND PLATINUMZ MBILI
10 years ago
Bongo529 Nov
AY amtabiria Diamond kuchukua tuzo mbili za #CHOAMVA14
9 years ago
Bongo514 Aug
Diamond achaguliwa kuwania tuzo mbili za IRAWMA 2015 za Marekani
11 years ago
Habarileo20 Mar
CCM-Tunataka serikali mbili lakini hatulazimishi
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesisitiza msimamo wake kuhusu muundo wa Muungano ni serikali mbili, lakini ikiwa wananchi wataamua vinginevyo katika mchakato unaoendelea, wataheshimu uamuzi. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye leo aliwaambia waandishi wa habari kuwa, CCM inaendelea kuamini katika Muungano wa Serikali mbili na itasimamia hilo ingawa haimlazimishi mtu, taasisi wala chama chochote kuamini katika msimamo huo.
9 years ago
Bongo506 Oct
Zari hawezi kuhamia Tanzania moja kwa moja — Diamond
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZjCFErHAhxRh*2Z5Bs8i8eOYIPn3YqSNwT8Kj1FcKgkfRG-N6Y4b-hA-BPyOJNdoAHh434M4e93iL1MHPqGzVmA29vRQqiz/FRONTWIKIENDA1.jpg?width=750)
DIAMOND ATAITIWA AIRPORT DIAMOND KWA SAA MBILI