AY amtabiria Diamond kuchukua tuzo mbili za #CHOAMVA14
Macho, masikio na fikira za mashabiki wengi wa muziki wa Tanzania leo yameelekezwa nchini Afrika Kusini kwenye tuzo zo CHOAMVA. Pamoja na timu yake, awamu hii Diamond amesafiri na mama yake pia Diamond Platnumz anawania vipengele vinne. Mshindi wa zamani wa tuzo hizo, AY ametabiri kuwa Diamond anaweza kuibuka na tuzo mbili. “Kila la kheri […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QwOioJR3DFk/VHw1NqaNa-I/AAAAAAAG0cw/2TE2MlijX34/s72-c/diamond21.jpg)
BASATA YAMPONGEZA MSANII NASSIB ABDUL AKA DIAMOND KWA KUSHINDA TUZO TATU ZA CHOAMVA14
![](http://1.bp.blogspot.com/-QwOioJR3DFk/VHw1NqaNa-I/AAAAAAAG0cw/2TE2MlijX34/s1600/diamond21.jpg)
Tuzo alizoshinda Diamond ni pamoja na Most Gifted East African Artist, Most Gifted Afro Pop video na ile ya Most Gifted New Comer.
Kushinda kwa Diamond katika tuzo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7MjACZjMns40SaYjnCy9kFTbbnPVPq14ZS5hBbSZi6h4nwke8LtoRuG5SIhXuIRkwRSHUPlsdmtVbaaUCpFGGO*5/08diamondtuzo8.jpg?width=650)
PONGEZI KWA MSANII NASSIB ABDUL AKA DIAMOND KWA KUSHINDA TUZO TATU ZA CHOAMVA14
10 years ago
GPLWASHINDI WA TUZO ZA KTMA 2015, ALI KIBA AIBUKA NA TUZO TANO, DIAMOND PLATINUMZ MBILI
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Diamond afungukia kuchelewa kuchukua tuzo za MTV
Staa anayekimbiza kunako muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
Musa mateja
STAA anayekimbiza kunako muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amefungukia sababu zilizomfanya kuchelewa kuchukua tuzo za MTV Europe (EMA) na kuchukua Desemba mwaka huu ni kuwa hazikuwa halisi.
Akizungumza na Amani, Diamond aliyepata tuzo katika vipengele vya Msanii Bora Afrika pamoja na Msanii Bora kutoka Afrika/India alisema kuwa tuzo hizo walitangazwa kushinda lakini...
11 years ago
CloudsFM31 Jul
DIAMOND:NIMESHINDA TUZO MBILI LAKINI NIMEPEWA MOJA
Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz aliwasili hivi karibuni na kupokelewa na maelfu ya mashabiki wake kwenye uwanja wa ndege baada ya kushinda na tuzo moja ya msanii bora wa kiume Afrika Mashariki(AFRIMMA) tofauti na awali ilivyoripotiwa kuwa ameshinda tuzo mbili. Diamond aliongea na waandishi wa habari waliofika kimpokea na kusema...
“Kwenye jukwa la AFRIMMA Alitangazwa kushinda tuzo mbili ambazo ni Msanii Bora Wa Kiume Afrika Mashariki Na Wimbo Bora Wa Kushirikiana ambao ni Number One Ft...
9 years ago
Bongo514 Aug
Diamond achaguliwa kuwania tuzo mbili za IRAWMA 2015 za Marekani
10 years ago
Bongo530 Nov
Wema ampongeza Diamond, amuita ‘kaka’, Zari achukua nafasi yake rasmi, amsindikiza kwenye #CHOAMVA14
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZjCFErHAhxRh*2Z5Bs8i8eOYIPn3YqSNwT8Kj1FcKgkfRG-N6Y4b-hA-BPyOJNdoAHh434M4e93iL1MHPqGzVmA29vRQqiz/FRONTWIKIENDA1.jpg?width=750)
DIAMOND ATAITIWA AIRPORT DIAMOND KWA SAA MBILI