Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIAMOND ATAITIWA AIRPORT DIAMOND KWA SAA MBILI

KIBANO! Staa wa Bongo Fleva mwenye jina kubwa Afrika, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, juzikati alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya ‘kutaitiwa’ kwa saa mbili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kisa kikiwa wingi wa mabegi (3) makubwa aliyoshuka nayo akitokea nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’, Ijumaa Wikienda linakupa ‘unyunyuz’ kamili. Soma zaidi hapa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND ATAITIWA AIRPORT KWA SAA MBILI

Musa MatejaKIBANO! Staa wa Bongo Fleva mwenye jina kubwa Afrika, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, juzikati alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya ‘kutaitiwa’ kwa saa mbili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kisa kikiwa wingi wa mabegi (3) makubwa aliyoshuka nayo akitokea nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’, Ijumaa Wikienda linakupa ‘unyunyuz’ kamili.1Staa wa Bongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa ametaharuki.Tukio hilo lililoshuhudiwa hatua kwa hatua na gazeti...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Lisu ashambulia jukwaa kwa saa mbili Diamond

MWIMBAJI nguli wa muziki wa Injili Tanzania, John juzi alikonga nyoyo za mamia ya wadau waliojitokeza katika uzinduzi wa albamu yake ya Uko Hapa yenye nyimbo 18, uliofanyika katika Diamond...

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND PLATNUM - ATAKUWA SAFARI LEO KUANZIA SAA MBILI DINNER & MINGLE

MEET AND MiNGLE WITH DIAMOND PLATNUMZ AT SAFARI TONITE     4306 GEORGIA AVE,NW,WASHINGTON,DC

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, ZARI GUMZO AIRPORT

Musa Mateja na Imelda Mtema BAADA ya kula bata za kutosha Bongo, wakati wakisindikizana kimahaba, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mrembo mkali kutoka Uganda, Zarinah Hassan a.k.a Zari au The Boss Lady, wamezua gumzo kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar, Ijumaa lina mchapo kamili. Mrembo mkali kutoka Uganda, Zarinah Hassan a.k.a Zari au The Boss Lady (mwenye gauni...

 

10 years ago

Bongo5

Diamond ampa shavu msanii wa ‘Barua kwa Diamond’ Meda

Jitihada za msanii wa Iringa, Meda zimezaa matunda. Msanii huyo ambaye wimbo wake ‘Barua kwa Diamond’ umepata mapokezi mazuri, amepongezwa na Diamond Platnumz ambaye ameisikia barua hiyo. “Kiukweli simfahamu… Sijawai hata kumuona, Wala kuzungumza nae…..na sio kwasababu Eti kaniimba mimi, hapana!… ila ni userious na uzuri wa kazi aliyoifanya ndio vimenifanya nione ni vizuri kumleta […]

 

10 years ago

Vijimambo

Wema Sepetu Atoswa ! Vikao Vya Harusi Ya Diamond Na Meninah Vyaanza Nyumbani Kwa Mama Diamond.

Meninahhabari mpya zinasema kuwa vikao vya harusi ya Diamond na Meninah ambaye ni mwanamuziki wa Bongo fleva vimeanza kimya kimya nyumbani kwa mama Diamond huku mmoja wa wahudhuriaji wakiwa ni mama Diamond mwenyewe na Queen Darling ambaye ni dada wa Diamond.Kwa mujibu wa Baabkubwa magazine paparazzi wake alienda nyumbani kwa Diamond hivi juzi kati kufanya nae mahojiano hata hivyo hakumkuta Diamond lakini alimkuta mmoja wa watu wake wa karibu ambaye yupo pia upande wa Wema Sepetu.Chanzo...

 

10 years ago

Bongo5

AY amtabiria Diamond kuchukua tuzo mbili za #CHOAMVA14

Macho, masikio na fikira za mashabiki wengi wa muziki wa Tanzania leo yameelekezwa nchini Afrika Kusini kwenye tuzo zo CHOAMVA. Pamoja na timu yake, awamu hii Diamond amesafiri na mama yake pia Diamond Platnumz anawania vipengele vinne. Mshindi wa zamani wa tuzo hizo, AY ametabiri kuwa Diamond anaweza kuibuka na tuzo mbili. “Kila la kheri […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani