Diamond ampa shavu msanii wa ‘Barua kwa Diamond’ Meda
Jitihada za msanii wa Iringa, Meda zimezaa matunda. Msanii huyo ambaye wimbo wake ‘Barua kwa Diamond’ umepata mapokezi mazuri, amepongezwa na Diamond Platnumz ambaye ameisikia barua hiyo. “Kiukweli simfahamu… Sijawai hata kumuona, Wala kuzungumza nae…..na sio kwasababu Eti kaniimba mimi, hapana!… ila ni userious na uzuri wa kazi aliyoifanya ndio vimenifanya nione ni vizuri kumleta […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL19 Nov
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7MjACZjMns40SaYjnCy9kFTbbnPVPq14ZS5hBbSZi6h4nwke8LtoRuG5SIhXuIRkwRSHUPlsdmtVbaaUCpFGGO*5/08diamondtuzo8.jpg?width=650)
PONGEZI KWA MSANII NASSIB ABDUL AKA DIAMOND KWA KUSHINDA TUZO TATU ZA CHOAMVA14
11 years ago
CloudsFM12 Jun
DIAMOND ALA SHAVU JINGINE COKE STUDIO
STAA wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz amepata shavu jingine kwenye kipindi cha Coke Studio, baada ya kuteuliwa kwa mara nyingine kurekodi kwenye kipindi hiko ambacho wasanii wengi wanandoto na mchongo huo ambao ukiupata licha mtonyo wanaolipwa na kampuni kubwa ya cocacola wasanii hao wanapata platform ya kuonyeshwa kwa performance zao katika vituo vya tv kibao za barani Africa pamoja na kuonekana kwenye You Tube Channel za Cocacola studio.Meneja wa Diamond,Babu Tale anafunguka kwanini shavu...
9 years ago
Bongo528 Sep
Diamond aeleza alivyolipokea shavu la Swizz Beatz
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Sitta ampa barua Mtikila aende kwa JK
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vKR8mtf*1crlC4bRStvSUJgtpATl4XmMEgQGOXdODng0iedSf4pwUt6AnPgHOAVYbY-sdsxJvpVp4Qyf-gXOrBfgDmfaKbDd/JK.jpg)
JK AMPA DILI DIAMOND
10 years ago
Dewji Blog23 Jul
Tigo yampongeza msanii Diamond Platnumz kwa kushinda tuzo ya Kimataifa
Meneja wa huduma ya Tigo music, Balla Shareeph akiongea na waandishi wa habari kwenye mkutano wa kumpongeza msanii Nasibu Abdul maarufu ‘Diamond Platnumz’ kwa kupata tuzo ya msanii bora wa Afrika za MTV 2015 zilizofanyika mjini Durban, Afrika Kusini, Kampuni ya Tigo ilidhamini tukio hilo jana jijini Dar Es Salaam.
Msanii Nasibu Abdul maarufu ‘Diamond Platnumz’ akiongea na waandishi wa habari kwenye mkutano wa kumpongeza kushinda tuzo ya msanii bora wa Afrika za MTV 2015 zilizofanyika mjini...
10 years ago
Bongo518 Nov
Diamond, Shaa, Nameless na STL wala shavu la TV Show
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/MULTICHOICE-1.jpg)
MULTICHOICE YAJA NA DSTV BOMBA, DIAMOND ALA SHAVU