Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIAMOND ALA SHAVU JINGINE COKE STUDIO

STAA wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz amepata shavu jingine kwenye kipindi cha Coke Studio, baada ya kuteuliwa kwa mara nyingine kurekodi kwenye kipindi hiko ambacho wasanii wengi wanandoto na mchongo huo ambao ukiupata licha mtonyo wanaolipwa na kampuni kubwa ya cocacola wasanii hao wanapata platform ya kuonyeshwa kwa performance zao katika vituo vya tv kibao za barani Africa pamoja na kuonekana kwenye You Tube Channel za Cocacola studio.Meneja wa Diamond,Babu Tale anafunguka kwanini shavu...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Picha: Joh Makini ala shavu la Coke Studio Africa, ataperform na Chidinma wa Nigeria

Nyota ya mweusi, Joh Makini inazidi kung’aa baada ya kuwa mmoja wa wasanii waliochukuliwa kwenye msimu wa pili wa kipindi cha Coke Studio Africa kinachofanyika jijini Nairobi, Kenya. Joh Makini atapanda kurekodi session yake na muimbaji mrembo wa Nigeria, Chidinma. Joh Makini na Chidinma Joh Makini akishoot vipande vya show hiyo

 

9 years ago

GPL

MULTICHOICE YAJA NA DSTV BOMBA, DIAMOND ALA SHAVU

Meneja Mipango wa DStv, Baraka Shelukindo, akifafanua jinsi huduma ya Dstv Bomba inavyofanya kazi. Balozi wa DStv Bomba, Diamond Platnumz akisistiza jambo wakati akiwataka wananchi kujanjaruka na kutumia huduma za DStv na kutozihofia kama zamani kwa kuhisi ni huduma za watu wa kipato cha juu. Mapaparazi na wadau wengine wakisikiliza maelezo yaliyokuwa yakitolewa… ...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Diamond kurekodi na Yemi Alade kwenye Coke Studio Africa

Diamond Platnumz amerejea tena kwenye msimu wa pili wa kipindi cha Coke Studio Africa na awamu hii atatangeneza pair na hitmaker wa Johny, Yemi Alade kutoka nchini Nigeria. Diamond na Yemi Alade Diamond ni msanii wa nne mwaka huu kutoka Tanzania aliyeshiriki kwenye kipindi hicho kinachorekodiwa jijini Nairobi, Kenya. Wengine ni Vanessa Mdee aliyerekodi na […]

 

9 years ago

GPL

JB ALA SHAVU NONO LA UBALOZI

 Staa ‘the big name’ kwenye sinema za Kibongo, Jacob Stephen ‘JB’. Gabriel Ng’osha Shavu! Staa ‘the big name’ kwenye sinema za Kibongo, Jacob Stephen ‘JB’ amekula shavu nono la ubalozi wa kampuni ya kimataifa (jina kapuni kwa sasa) ambayo inatarajia kuanza kutoa huduma kwa Watanzania. Habari kutoka kwa mtu wa karibu wa JB zilieleza kwamba, ni dili kubwa ambalo jamaa hao walikuwa wakimtafuta balozi wao kabla ya...

 

10 years ago

GPL

WASTARA ALA SHAVU LA UBALOZI

Stori:  Imelda Mtema/Ijumaa Wikienda
MKALI wa sinema za Kibongo, Wastara Juma amepata shavu la kuwa balozi wa kampeni ya kumsomesha mtoto wa kike ijulikanayo kama Morogoro Education Development Organization (MEDO). Mkali wa sinema za Kibongo, Wastara Juma akisaini mkataba wa kuwa balozi wa kampeni ya MEDO. Hafla fupi ya kusimikwa ubalozi huo na kusaini mkataba, ilifanyika hivi karibuni katika Ukumbi wa Hoteli ya Tamal,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wamahanji ala shavu TFF

ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama cha Soka Mkoa wa Iringa (IRFA), Eliud Mvella ‘Wamahanji’ amejiunga na Sekretarieti ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF). Kwa mujibu wa Ofisa Habari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani