JB ALA SHAVU NONO LA UBALOZI
Staa ‘the big name’ kwenye sinema za Kibongo, Jacob Stephen ‘JB’. Gabriel Ng’osha Shavu! Staa ‘the big name’ kwenye sinema za Kibongo, Jacob Stephen ‘JB’ amekula shavu nono la ubalozi wa kampuni ya kimataifa (jina kapuni kwa sasa) ambayo inatarajia kuanza kutoa huduma kwa Watanzania. Habari kutoka kwa mtu wa karibu wa JB zilieleza kwamba, ni dili kubwa ambalo jamaa hao walikuwa wakimtafuta balozi wao kabla ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BPpJiWHQYV2xfAdhocX2YiOVqbJY-m-UGchAWwsD4kl2fT3iqK8jax3N3uv50pqBFTfkp1a5ol6omqHVPHQRvwCFQ7XPJ*Jj/wasta.jpg)
WASTARA ALA SHAVU LA UBALOZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tlB4pKQX5mhUnqtgG3Jnf5jYBDFhDn50w*ukJoogJzPoiVgpwwzW4qb69uoadz752C0wyJTVwEI8mO2m4qK6SQnOnYwomWsk/rayc.jpg)
RAY C ALA TENDA NONO
11 years ago
Tanzania Daima22 May
Wamahanji ala shavu TFF
ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama cha Soka Mkoa wa Iringa (IRFA), Eliud Mvella ‘Wamahanji’ amejiunga na Sekretarieti ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF). Kwa mujibu wa Ofisa Habari...
5 years ago
MichuziAY ALA SHAVU LA INFINIX NOTE 7 (BIGI MAKINI)
11 years ago
CloudsFM12 Jun
DIAMOND ALA SHAVU JINGINE COKE STUDIO
STAA wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz amepata shavu jingine kwenye kipindi cha Coke Studio, baada ya kuteuliwa kwa mara nyingine kurekodi kwenye kipindi hiko ambacho wasanii wengi wanandoto na mchongo huo ambao ukiupata licha mtonyo wanaolipwa na kampuni kubwa ya cocacola wasanii hao wanapata platform ya kuonyeshwa kwa performance zao katika vituo vya tv kibao za barani Africa pamoja na kuonekana kwenye You Tube Channel za Cocacola studio.Meneja wa Diamond,Babu Tale anafunguka kwanini shavu...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/MULTICHOICE-1.jpg)
MULTICHOICE YAJA NA DSTV BOMBA, DIAMOND ALA SHAVU