AY ALA SHAVU LA INFINIX NOTE 7 (BIGI MAKINI)
MSANII Mkongwe katika industry ya muziki, "AY" anayetamba na kibao cha Danhela ala shavu la Ubalozi wa simu mpya ya Infinix NOTE 7.Kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii, @infinixmobiletz waliweka viashiria vya ubalozi huo wiki iliyopita na siku ya Jumamosi, Mei 9 walithibitisha ubalozi huo kupitia LIVE Session ya Instagram iliyo onyesha wawakilishi wa Infinix wakifanya mazungumzo na AY kuhusiana na simu ya Infinix NOTE 7.Infinix NOTE 7 imepewa jina la Bigi Makini, na ndio sababu kuu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-k1Oe-ZO08qI/Xql-KHIfgGI/AAAAAAALokY/Uby0JQ6KBXggZEATzdnA_aPSgQi8mGV_QCLcBGAsYHQ/s72-c/note%2B7%2Bpic%2B2.jpg)
INFINIX KUJA NA BIGI MAKINI, INFINIX NOTE 7
![](https://1.bp.blogspot.com/-k1Oe-ZO08qI/Xql-KHIfgGI/AAAAAAALokY/Uby0JQ6KBXggZEATzdnA_aPSgQi8mGV_QCLcBGAsYHQ/s640/note%2B7%2Bpic%2B2.jpg)
11 years ago
Bongo507 Jul
Picha: Joh Makini ala shavu la Coke Studio Africa, ataperform na Chidinma wa Nigeria
5 years ago
GSMArena.Com06 Apr
Infinix Note 7 and Note 7 Lite bring days of battery life - GSMArena.com news
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BPpJiWHQYV2xfAdhocX2YiOVqbJY-m-UGchAWwsD4kl2fT3iqK8jax3N3uv50pqBFTfkp1a5ol6omqHVPHQRvwCFQ7XPJ*Jj/wasta.jpg)
WASTARA ALA SHAVU LA UBALOZI
9 years ago
GPLJB ALA SHAVU NONO LA UBALOZI
11 years ago
Tanzania Daima22 May
Wamahanji ala shavu TFF
ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama cha Soka Mkoa wa Iringa (IRFA), Eliud Mvella ‘Wamahanji’ amejiunga na Sekretarieti ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF). Kwa mujibu wa Ofisa Habari...
11 years ago
CloudsFM12 Jun
DIAMOND ALA SHAVU JINGINE COKE STUDIO
STAA wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz amepata shavu jingine kwenye kipindi cha Coke Studio, baada ya kuteuliwa kwa mara nyingine kurekodi kwenye kipindi hiko ambacho wasanii wengi wanandoto na mchongo huo ambao ukiupata licha mtonyo wanaolipwa na kampuni kubwa ya cocacola wasanii hao wanapata platform ya kuonyeshwa kwa performance zao katika vituo vya tv kibao za barani Africa pamoja na kuonekana kwenye You Tube Channel za Cocacola studio.Meneja wa Diamond,Babu Tale anafunguka kwanini shavu...