RAY C ALA TENDA NONO
![](http://api.ning.com:80/files/tlB4pKQX5mhUnqtgG3Jnf5jYBDFhDn50w*ukJoogJzPoiVgpwwzW4qb69uoadz752C0wyJTVwEI8mO2m4qK6SQnOnYwomWsk/rayc.jpg)
Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya Mungu mkubwa! Baada ya kupitia kipindi kigumu cha kutumia madawa ya kulevya ‘unga’ kisha kunusuriwa, super lady kwenye Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’, hatimaye mambo yameanza kumnyookea baada ya kulamba shavu tenda nono ya kulisha Hospitali ya Mwananyamala, Dar. Super lady kwenye Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’. Kwa mujibu wa chanzo...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLJB ALA SHAVU NONO LA UBALOZI
10 years ago
MichuziWAKANDARASI UMEME WASIOWAJIBIKA KUNYANG’ANYWA TENDA
10 years ago
Bongo Movies15 Feb
Ray Feki Awatapeli Watu Facebook, Ray Waukweli Atoa Angalizo!
“Wadau na wasanii wote mnaotaka kuigiza msidanganyike na account hii ya Facebook SIYO YANGU NI FAKE.
Maana napata tabu sana Ofisini kwangu watu wanakuja kudai Hela wakisema kuwa Eti Mimi nimetangaza usahili kupitia kwenye account hiyo hapo juu fake Kuwa nahitaji wasanii ni uongo mtupu mnaibiwa pesa zenu na namba anayotumia kuwaibia Watu Hela ni hiii hapa 0779 946440.
Msidanganywe ni matapeli hao Mimi Sijatangaza Chochote kwenye Facebook. Im done hope That You Have All understood...
10 years ago
Michuzi17 Feb
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcreM0c1gpUfwU*9fPZNSDp8jEe7K2VgKoF3-EGhGeUqn-mbVKjY6ZF*n2qfJYVD2zHLWAi9COROLFB4wrXpzx-d/chuhcu.jpg?width=650)
CHUCHU AJICHORA TATUU YA RAY, RAY AJIBU
9 years ago
Dewji Blog21 Dec
Waziri apiga marufuku wahandisi ‘Uchwara’ kupewa tenda za ujenzi wa Barabara
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Edwin Ngonyani (kushoto), akitoa maagizo mbalimbali kwa uongozi wa Bodi ya Mfuko wa Barabara nchini, alipotembelea bodi hiyo, Dar es Salaam juzi, kujua utendaji wake. Kulia ni Meneja wa bodi hiyo, Joseph Haule. (HABARI,PICHA NA RICHARD MWAIKENDA-KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Mhandisi Edwin Ngonyani.
Na Richard Mwaikenda
NAIBU Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Edwin Ngonyani, amepiga marufuku kwa Halmashauri zote...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kM5FmHA-H_E/VYLfwhWG9yI/AAAAAAAHhFM/A6LDwJJ8id8/s72-c/unnamed%2B%252893%2529.jpg)
KAMPUNI YA KITANZANIA YA PAN AFRICAN REFRACTORY SERVICE CO. LTD YAPATA TENDA KUBWA ZAMBIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-kM5FmHA-H_E/VYLfwhWG9yI/AAAAAAAHhFM/A6LDwJJ8id8/s640/unnamed%2B%252893%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hNecO4POOik/VnE8PLMfgFI/AAAAAAAIMtA/J7nPGSrE_-w/s72-c/Untitledc1.png)
Serikali kuanza kutumia Nguzo za Zege Utoaji Tenda uzingatie sifa stahiki: Chambo
Hayo yalielezwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar Chambo alipokutana na Ujumbe kutoka Ujerumani Ofisini kwake hivi karibuni jijini Dar...
11 years ago
CloudsFM03 Jun
KALAPINA APATA TENDA YA KUSIMAMIA ULINZI NA USAFI KATIKA KITUO KIPYA CHA MABASI MAKUMBUSHO
STAA wa Hip Hop Bongo,ambaye pia ni kiongozi wa kundi la Kikosi Cha Mizinga, Mtu Mzima Kalapina anatumia vizuri uaminifu alioupata kutoka kwa wananchi kutokana na muziki.
Siku ya jana Kalapina ameanza kutumikia tenda ya ulinzi na usafi katika kituo kipya cha Makumbusho, Jijini Dar es salaam, kituo ambacho kimechukua nafasi ya kituo cha mabasi cha Mwenge.