Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMPUNI YA KITANZANIA YA PAN AFRICAN REFRACTORY SERVICE CO. LTD YAPATA TENDA KUBWA ZAMBIA

Kampuni ya Kitanzania inayomilikiwa na Bw. Twalib Lubangula imepata tenda kubwa nchini Zambia ya kukarabati viwanda vya Cement Ndola na sehemu nyingine nchini. Ni jambo la kujivunia kuwa Kampuni inayomilikiwa na Mtanzania kwa asilimia 100 kupata tenda kubwa nchi za nje na kampuni hiyo inafanya vizuri sana.  Mhe. Grace J. E. Mujuma Balozi wa Tanzania nchini Zambia  akipata maelezo kuhusu mafanikio ya Kampuni ya Pan African Refractory Services Co. Ltd ya Tanzania kutoka kwa mmiliki wa kampuni...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya matangazo ya Right Here nchini yapata mwekezaji mpya na kuingia ubia na kampuni kubwa ya kimataifa

Mshauri Mkuu wa kampuni ya RIGHT HERE TANZANIA, Gerard Govaerts akizungumza na baadhi ya waandishi wa habari katika Ukumbi wa mikutano katika Hoteli ya Double Tree jijini Dar es Salaam leo, Kushoto ni Mkuu wa Hati Miliki wa kampuni ya RIGHT HERE TANZANIA, Asnath Heriel na kulia ni  Mkurugenzi Mkuu wa RIGHT HERE TANZANIA Jenny Woodier.

Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria katika mkutano wa kampuni ya RIGHT HERE TANZANIA uliofanyika katika hoteli ya Double Tree jijini Dar es...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Pan African Energy yatoa msaada wa mifuko 1500 ya Saruji kwa wilaya ya Kilwa

IMG_1708

Meneja wa Uwajibikaji na Huduma za Jamii wa Kampuni ya uchimbaji wa gesi ya Pan African Energy, Andrew Kashangaki (kwanza kushoto) akimkabidhi Kaimu Mkurugenzi wa Wilaya ya Kilwa Peter Malekela (kulia) msaada wa saruji 1,500 yenye thamani ya shilingi milioni 18 kwa halmashauri ya wilaya ya Kilwa, Lindi ili kuwezesha ujenzi wa maabala 59 katika shule zake za sekondari zipatazo 24. Pembeni wanaoshuhudia ni viongozi wa halmashauri hiyo na wafanyakazi wa Kampuni ya uchimbaji wa gesi ya Pan...

 

10 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA PAN AFRICAN ENERGY YAKABIDHI JENGO LA WAUGUZI KATIKA ZAHANATI YA NANGURUKURU WILAYANI KILWA

Meneja wa Uwajibikaji na Huduma za Jamii wa Kampuni ya uchimbaji wa Gesi ya Pan African Energy, Andrew Kashangaki(wa katikati) akimkabidhi funguo Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Mhe. Abdallah Ulega(wa pili kushoto) za jengo la Wauguzi la Zahanati ya Nangurukuru wilayani Kilwa. Wa kanza kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Wilaya ya Kilwa Peter Malekela, wapili kushoto ni Mbunge wa Kilwa Kusini, Suleman Ally Bungara 'Bwege' na wa kwanza kulia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Kilwa Mzee Ally Mtopa.(Picha na...

 

10 years ago

Vijimambo

Pan African Festival from Kali TV


Pan African Festival 2014 from Kali TV on Vimeo.

 

10 years ago

TheCitizen

Pan-African banks now on rise

Rapid expansion of cross-border banking in Africa in recent years poses oversight challenges that, if unaddressed, may increase systemic risks, IMF staff said.

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

TheCitizen

Nearly 6m circumcised in pan-African push against Aids

Some 5.8 million men in 14 African countries, including Tanzania, have been medically circumcised for HIV prevention since 2008, a new report shows.

 

11 years ago

Michuzi

9 years ago

Dewji Blog

Submitt your articles for Pan African Award on FGM

EndFGM-campaign---video-017

-The Efua Dorkenoo Pan African Award for Reportage on FGM

-UNFPA/Guardian Global Multimedia Campaign to End FGM

In October 2014, United Nations Secretary-General Ban Ki-moon launched a global media campaign to end female genital mutilation (FGM). He also announced a joint UNFPA-Guardian partnership on a Pan African reporting award on FGM.

The announcement, in Arabic, English and French, is available on:...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani