Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UNATAFUTA KAZI AU TENDA NA BADO HUJAPATA?? NAFASI NI HII SASA

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

11 years ago

GPL

AMEKUSALITI? BADO MNA NAFASI NYINGINE

MAPENZI yamegeuka shubiri, usaliti na maumivu ya moyo yamegeuka na kuwa sehemu ya kawaida katika uhusiano wa kimapenzi. Zaidi ya asilimia 50 ya wanandoa, wanalia kuwa wanasalitiwa au waliwahi kusalitiwa na wenzi wao, si wanawake, si wanaume. Zipo sababu nyingi zinazosababisha usaliti lakini lengo langu leo siyo kuzungumzia hilo bali ni kujaribu kuiponya mioyo ya wanandoa au watu wanaoishi kwenye uhusiano wa kimapenzi,...

 

11 years ago

Michuzi

CULTURAL WARS SASA IMEKAMILIKA NA SASA UNAWEZA KUPATA COPY YAKO, PITIA HII TRAILER.

Filamu Mpya ya Cultural Wars Sasa Yapatikana! Wahi Kujipatia DVD! 

Ile filamu mliyokuwa mnaisubiri kwa hamu iitwayo “Cultural Wars” iliyoandikwa na kutengenezwa na Deogratius Mhella (Mtanzania anayeishi New York) akishirikiriana na Watanzania na Wamarekani waishio New York, New Jersey Boston na Connecticut sasa imetoka kwa mara ya kwanza na inapatikana kwenye DVD na unaweza kupata “electronic Copy” Filamu hii inazungumzia baadhi ya changamoto za kimapenzi wazipatazo vijana wa Kitanzania hapa...

 

10 years ago

Vijimambo

HAPO SASA NA CHRISTMAS HII MFUKO UMEBAKIWA NA HII KICHELE

Maladhi yote ugua lakini kucha usiombee 

 

9 years ago

GPL

ROSE? ?MUHANDO BADO UNAYO NAFASI YA KUJISAHIHISHA

BWANA Yesu asifiwe dada yangu Rose Muhando. Habari ya uzima. Vipi unaendeleaje na kazi ya kumtukuza Mungu? Bila shaka Mungu ni mwema, bado anakupigania pamoja na magumu yote unayopitia. Ukitaka kujua afya yangu, mimi ni mzima. Namshukuru Mungu maisha yanasogea na bado anaendelea kunijalia, namshukuru kila wakati. Nimekukumbuka leo kwa barua. Nimeguswa na mambo tofauti ambayo yanaripotiwa kuhusu wewe. Kwanza niwe mkweli,...

 

11 years ago

GPL

BADO TUNAYO NAFASI KUNUSURU KATIBA MPYA

NIANZE kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema kwa kila hatua ya maisha yangu, kwa sababu ninaamini kabisa, bila yeye, hakuna lolote ninaloweza kulifanya. Nichukue nafasi hii pia kukusisitiza Mtanzania mwenzangu, ni vyema tukaanza kujiandaa mapema kwa ajili ya makazi yetu ya baadaye, ambayo ni kutenda mema yanayompendeza Mungu, kwa imani uliyonayo, kwa sababu kuna maisha baada ya kifo. Aidha, niwape pia mkono wa Pasaka...

 

10 years ago

Bongo5

Nafasi ya kutoka kimuziki kupitia #AirtelTRACEStar bado ipo wazi

Umeshaimba wimbo wako? nafasi ya kutoka kupitia muziki bado iko wazi na shindano la kusaka vipaji la Airtel Trace Star, onyesha kipaji chako sasa kwa kupiga 0901002233 na uingie kwenye kinyanganyiro cha kuwa nyota wa muziki wa Afrika, na upate dili la kurekodi katika studio kubwa ya mziki nchini marekani ya universal music, chini ya […]

 

10 years ago

Michuzi

NAFASI ZA KAZI

Wanahitajika wasichana wa kuuza duka kubwa liliopo posta jijini dar es salaam, wenye uwezo wa kufanya Marketing, na Online Sales. 
wawe na uwezo wa kuzungumza kiingereza na kiswahili fasaha. elimu kuanzia diploma.
Wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0756608383 na 0713608383

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani