UNATAFUTA KAZI AU TENDA NA BADO HUJAPATA?? NAFASI NI HII SASA
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi02 Jan
9 years ago
Michuzi11 years ago
GPLAMEKUSALITI? BADO MNA NAFASI NYINGINE
MAPENZI yamegeuka shubiri, usaliti na maumivu ya moyo yamegeuka na kuwa sehemu ya kawaida katika uhusiano wa kimapenzi. Zaidi ya asilimia 50 ya wanandoa, wanalia kuwa wanasalitiwa au waliwahi kusalitiwa na wenzi wao, si wanawake, si wanaume. Zipo sababu nyingi zinazosababisha usaliti lakini lengo langu leo siyo kuzungumzia hilo bali ni kujaribu kuiponya mioyo ya wanandoa au watu wanaoishi kwenye uhusiano wa kimapenzi,...
11 years ago
MichuziCULTURAL WARS SASA IMEKAMILIKA NA SASA UNAWEZA KUPATA COPY YAKO, PITIA HII TRAILER.
Filamu Mpya ya Cultural Wars Sasa Yapatikana! Wahi Kujipatia DVD!
Ile filamu mliyokuwa mnaisubiri kwa hamu iitwayo “Cultural Wars” iliyoandikwa na kutengenezwa na Deogratius Mhella (Mtanzania anayeishi New York) akishirikiriana na Watanzania na Wamarekani waishio New York, New Jersey Boston na Connecticut sasa imetoka kwa mara ya kwanza na inapatikana kwenye DVD na unaweza kupata “electronic Copy” Filamu hii inazungumzia baadhi ya changamoto za kimapenzi wazipatazo vijana wa Kitanzania hapa...
Ile filamu mliyokuwa mnaisubiri kwa hamu iitwayo “Cultural Wars” iliyoandikwa na kutengenezwa na Deogratius Mhella (Mtanzania anayeishi New York) akishirikiriana na Watanzania na Wamarekani waishio New York, New Jersey Boston na Connecticut sasa imetoka kwa mara ya kwanza na inapatikana kwenye DVD na unaweza kupata “electronic Copy” Filamu hii inazungumzia baadhi ya changamoto za kimapenzi wazipatazo vijana wa Kitanzania hapa...
10 years ago
Vijimambo9 years ago
GPLROSE? ?MUHANDO BADO UNAYO NAFASI YA KUJISAHIHISHA
BWANA Yesu asifiwe dada yangu Rose Muhando. Habari ya uzima. Vipi unaendeleaje na kazi ya kumtukuza Mungu? Bila shaka Mungu ni mwema, bado anakupigania pamoja na magumu yote unayopitia. Ukitaka kujua afya yangu, mimi ni mzima. Namshukuru Mungu maisha yanasogea na bado anaendelea kunijalia, namshukuru kila wakati. Nimekukumbuka leo kwa barua. Nimeguswa na mambo tofauti ambayo yanaripotiwa kuhusu wewe. Kwanza niwe mkweli,...
11 years ago
GPLBADO TUNAYO NAFASI KUNUSURU KATIBA MPYA
NIANZE kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema kwa kila hatua ya maisha yangu, kwa sababu ninaamini kabisa, bila yeye, hakuna lolote ninaloweza kulifanya. Nichukue nafasi hii pia kukusisitiza Mtanzania mwenzangu, ni vyema tukaanza kujiandaa mapema kwa ajili ya makazi yetu ya baadaye, ambayo ni kutenda mema yanayompendeza Mungu, kwa imani uliyonayo, kwa sababu kuna maisha baada ya kifo. Aidha, niwape pia mkono wa Pasaka...
10 years ago
Bongo504 Nov
Nafasi ya kutoka kimuziki kupitia #AirtelTRACEStar bado ipo wazi
Umeshaimba wimbo wako? nafasi ya kutoka kupitia muziki bado iko wazi na shindano la kusaka vipaji la Airtel Trace Star, onyesha kipaji chako sasa kwa kupiga 0901002233 na uingie kwenye kinyanganyiro cha kuwa nyota wa muziki wa Afrika, na upate dili la kurekodi katika studio kubwa ya mziki nchini marekani ya universal music, chini ya […]
10 years ago
Michuzi30 Oct
NAFASI ZA KAZI
Wanahitajika wasichana wa kuuza duka kubwa liliopo posta jijini dar es salaam, wenye uwezo wa kufanya Marketing, na Online Sales.
wawe na uwezo wa kuzungumza kiingereza na kiswahili fasaha. elimu kuanzia diploma.
Wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0756608383 na 0713608383
wawe na uwezo wa kuzungumza kiingereza na kiswahili fasaha. elimu kuanzia diploma.
Wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0756608383 na 0713608383
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania