Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BADO TUNAYO NAFASI KUNUSURU KATIBA MPYA

NIANZE kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema kwa kila hatua ya maisha yangu, kwa sababu ninaamini kabisa, bila yeye, hakuna lolote ninaloweza kulifanya. Nichukue nafasi hii pia kukusisitiza Mtanzania mwenzangu, ni vyema tukaanza kujiandaa mapema kwa ajili ya makazi yetu ya baadaye, ambayo ni kutenda mema yanayompendeza Mungu, kwa imani uliyonayo, kwa sababu kuna maisha baada ya kifo. Aidha, niwape pia mkono wa Pasaka...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

JK atakiwa kunusuru mchakato Katiba mpya

MCHUNGAJI wa Kanisa la PAG, Charles Kanyika, amemtaka Rais Jakaya Kikwete, kushirikiana na viongozi wastaafu kunusuru nchi katika kipindi hiki cha kuelekea kutunga Katiba mpya. Mchungaji Kanyika alisema Rais Kikwete...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunataka kunusuru mchakato wa katiba mpya ili iweje?

NAKUMBUKA nilipoingia darasani kufundishwa namna ya kutumia kompyuta, mwalimu aliyeingia darasani wa kwanza alianza na sentensi fupi ya kimombo kabla hata hatujasalimiana na kutambulishana. Nakumbuka alisema “garbage in, garbage out.”...

 

10 years ago

Habarileo

Wajipongeza nafasi ya mwanamke Katiba mpya

UMOJA wa Wabunge Wanawake Tanzania (TWPG)wamejipongeza kwa hatua waliyofikia na manufaa waliyoyapata wanawake katika Rasimu ya mwisho ya Katiba inayopendekezwa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Bado tunadanganywa kuna Katiba mpya?

“EWE Mwenyezi Mungu Mtukufu, Muumba Mbingu na Dunia, umeweka Mataifa katika Dunia, ili haki yako itendeke. Twakuomba uibariki Jamhuri ya Muungano wa Tanzania idumishe uhuru, umoja, haki na amani. Utujalie...

 

10 years ago

Habarileo

Muda wa kampeni Katiba mpya bado-JK

Rais Kikwete akiingia katika ukumbi wa mikutano wa Kilimani jijini Dodoma jana tayari kwa mkutano wake na Wazee wa mji wa Dodoma, aliouitisha ili kuzungumza nao masuala kadhaa ya maendeleo. (Picha na Ikulu).WAKATI makundi kadhaa yakianza kufanya mikutano na kuendesha midahalo kuhusiana na Katiba Inayopendekezwa, Rais Jakaya Kikwete amesema muda wa kufanya kampeni na kuuelimisha umma juu ya katiba hiyo haujafika na amewataka wananchi kuwa na subira ili kuepusha vurugu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wenye ulemavu bado wanahitaji mabadiliko rasimu ya Katiba mpya

HIVI karibuni Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, aliwakabidhi rasimu ya pili ya Katiba mpya Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,...

 

11 years ago

Michuzi

CHUO KIKUU CHA IRINGA WAZINDUA TAWI LA WANAFUNZI WANAOSOMA KISWAHILI AFRIKA MASHARIKI, WATAKA KATIBA MPYA KISWAHILI KIPEWE NAFASI

Mlezi wa chama  cha Chawakama na mwalimu wa kiswahili chuo kikuu cha Iringa Tulla Tweve  akitambulisha  wageni Mmoja kati ya  viongozi akieleza malengo ya Chawakama Mwalimu Chalamila akieleza  maana ya lugha ya kiswahili Mwalimu wa kiswahili  chuo cha Iringa ambae ni msanii wa wimbo wa Mufindi yetu  akiburudisha Wanachama  wakicheza  na msanii  huyo.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba awataka JK, Dk Shein kuchukua hatua kunusuru Katiba

>Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amewataka viongozi wa vyama vya siasa kukutana na kufikia makubaliano ili mchakato wa Katiba uendelee hatimaye kupatikana kwa Katiba Mpya kwa masilahi ya Taifa.

 

11 years ago

Michuzi

WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTIZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA


Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Bw. Deus Kibamba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo Julai 17, 2014 kuelezea msimamo wa JUKWAA LA KATIBA juu ya mwenendo uliopita wa bunge hilo. Picha na Cathert Kajuna wa Kajunason Blog
Kiongozi wa Shule Kuu ya Sheria nchini Kenya, Profesa Patrick Lumumba alisisitiza suala la wanasiasa kurudi bungeni na kuhakikisha katiba mpya inapatikana.
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutano huo.
Wajumbe wa JUKWAA LA KATIBA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani