Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NAFASI ZA KAZI

Wanahitajika wasichana wa kuuza duka kubwa liliopo posta jijini dar es salaam, wenye uwezo wa kufanya Marketing, na Online Sales. 
wawe na uwezo wa kuzungumza kiingereza na kiswahili fasaha. elimu kuanzia diploma.
Wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0756608383 na 0713608383

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

11 years ago

TZToday

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 18 ya mwaka 2007 kifungu 29(1). Kwa mujibu wa Sheria hiyo, chombo hiki, pamoja na kazi zingine kimepewa jukumu la kutangaza nafasi wazi za kazi zinazotokea katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Waajiri (Taasisi za Umma).

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma anakaribisha maombi...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

BBCSwahili

Nafasi ya kazi BBC Swahili

BBC Swahili ofisi ya Nairobi inamtafuta mwandishi habari mwenye uwezo wa kuripoti kwa lugha ya kiingereza na kiswahili

 

10 years ago

Michuzi

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MADEREVA

 SHIRIKA LA USAFIRI DAR ES SALAAM (UDA)  SHIRIKA la Usafiri Dar es Salaam (UDA) linawatangazia Watanzania wote hususan wakazi wa jiji la Dar es Salaam kwamba linahitaji kuajiri madereva  kwa ajili ya kuendesha mabasi yake hapa jijini. SIFA ZA WAOMBAJIWaombaji wa kazi ya udereva wanatakiwa kuwa na umri wa kuanzia miaka 30-55, ujuzi wa udereva wa mabasi kutoka katika vyuo vya VETA, NIT, au chuo kingine kinachotambulika na Mamlaka ya Elimu ya Ufundi nchini (NECTA). Pia wanapaswa kuwa na leseni...

 

10 years ago

Vijimambo

NAFASI YA KAZI UBALOZI WA MAREKANI


EMPLOYMENT OPPORTUNITY

PROCUREMENT AGENT (RE-ADVERTISED)ALL ORDINARILY RESIDENT (OR) APPLICANTS MUST HAVE THE REQUIRED WORK AND/OR RESIDENCY PERMITS TO BE ELIGIBLE FOR CONSIDERATION.The US Embassy is seeking for an individual for the position of Procurement Agent in the General Services Section.BASIC FUNCTION OF POSITIONAs part of the Procurement Team, incumbent will be responsible for all acquisition requirements for Department of State – Dar es Salaam and other related government agencies....

 

11 years ago

GPL

NAFASI ZA KAZI KUTOKA TANAPA

1.0 MHIFADHI WANYAMAPORI DARAJA LA III – (NAFASI 100) Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii.

1.1 MAJUKUMU YA KAZI Kufanya doria ndani na nje ya maeneo ya hifadhi Kudhibiti vitendo vya ujangili nje na ndani ya hifadhi Kusimamia shughuli za uwindaji wa kitalii na utalii wa picha Kulinda binadamu na mali zake dhidi ya Wanyamapori Kukusanya na kulinda Nyara za Serikali Kufanya usafi na...

 

10 years ago

Michuzi

NAFASI ZA KAZI - WASAMBAZAJI DAWA

Kituo  kinacho  jihusisha  na  tiba asilia  na huduma  ya  vyakula-lishe  kwa  wenye kusumbuliwa  na  matatizo  mbalimbali  ya  kiafya, kinatangaza  nafasi   za  kazi  ya  usambazaji dawa  kwa  wateja  wake  waliopo  katika maeneo  mbalimbali  ya  jiji  la  Dar  Es  salaam.SIFA   ZA  MWOMBAJI :1.                       Awe  wa jinsia  ya  kike2.                       Elimu  isiyopungua  darasa  la  saba  na isiyo  zidi  kidato  cha  nne.3.                       Awe  msafi, maridadi,...

 

11 years ago

Michuzi

NAFASI ZA KAZI YA UALIMU BAGAMOYO



Shule ya sekondari ya wasichana ya Premier iliyoko Kiromo Bagamoyo inapenda kuwatangazia nafasi za kazi ya ualimu kwa masomo yafuatayo

ENGLISH
SWAHILI
BOOKKEEPING
COMMERCE

Fika shuleni Kiromo kwa kuleta maombi yako siku ya mahojiano ni tarehe 22 na 23 May 2014 au kwa maelezo zaidi piga simu namba 0715836237

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani