Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NAFASI ZA KAZI KUTOKA TANAPA

1.0 MHIFADHI WANYAMAPORI DARAJA LA III – (NAFASI 100) Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii.

1.1 MAJUKUMU YA KAZI Kufanya doria ndani na nje ya maeneo ya hifadhi Kudhibiti vitendo vya ujangili nje na ndani ya hifadhi Kusimamia shughuli za uwindaji wa kitalii na utalii wa picha Kulinda binadamu na mali zake dhidi ya Wanyamapori Kukusanya na kulinda Nyara za Serikali Kufanya usafi na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TANAPA YAKANUSHA KUTANGAZA NAFASI ZA KAZI

Baadhi ya mitandao ya habari ya kijamii zimekuwepo habari zilizonukuliwa zikitoa taarifa kuwa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) limetangaza nafasi za ajira kwa Wahifadhi Wanyamapori madaraja ya pili na tatu.
Shirika la Hifadhi za Taifa linapenda kutoa ufafanuzi kuwa nafasi hizo zilizotangazwa sio za Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) bali ni ajira zilizotangazwa na Serikali Kuu kupitia Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma – Ofisi ya Rais na ambako kimsingi maombi ya nafasi...

 

10 years ago

GPL

NAFASI ZA KAZI KUTOKA R&N SOLUTIONS LTD

LOOKING FOR AN AMAZING CAREER OPPORTUNITY? Position Title: Sales And Marketing Executives R&N Solutions LTD is looking for Three (3) enthusiastic, passionate, and dynamic Sales And Marketing Executives to become part of our team. These positions offer growth potential, and the ability to be creative within a positive, growing environment with unlimited earning potential.  Successful candidates will also have an opportunity to...

 

10 years ago

Vijimambo

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KUTOKA KAMPUNI YA NOFO

Kampuniya NOFO ya jijini Dar es Salaam, inayojihusisha na uchapishaji na uuzaji wa vitabu vya hadithi za watoto, inatangaza nafasi kumi za kazi ya afisa masoko. Wenye sifa zifuatazo watume maombi kupitia baruapepe ndejarini@gmail.com kwenda kwa GENERAL MANAGER, NOFO, DSM
(1)    Shahada ya kwanza au stashahada ya juu ya biashara katika masoko

(2)    Uelewa mzuri na ueledi wa kuimarisha na kupanua wigo wa masoko

(3)    Ari na moyo wa kufikia malengo uliyowekewa

(4)    Uwezo wa kujieleza vizuri...

 

10 years ago

GPL

NAFASI ZA KAZI KUTOKA CHUO CHA DIT

Dar es Salaam Institute of Technology VACANCIES  Applications are invited from suitably qualified and experienced Tanzanians to fill the following vacant positions, at the Dar es Salaam Institute of Technology (DIT). Dar es Salaam Institute of Technology (DIT) was established by Act of Parliament, Act No. 6 of 1997. The governance and the control of the institute are vested in the DIT Council. The Council has a chairperson...

 

9 years ago

Michuzi

9 years ago

Michuzi

TANAPA YAANZA KUBADILI MFUMO WA UTENDAJI KUTOKA KIRAIA KWENDA JESHI USU

Shirika la Hifadhi za Taifa limeanza rasmi kutumia mfumo wa jeshi usu kutoka ule wa kiraia katika utendaji kazi wake ikiwa ni hatua mojawapo ya kuongeza ufanisi katika shughuli za uhifadhi. 
Jumla ya wahifadhi 40 walihitimu mafunzo ya Awamu ya kwanza ya kubadili mfumo wa utendaji kazi kutoka ule wa kiraia kwenda wa jeshi usu kwa kwa viongozi maafisa wa ngazi ya kati “Transformation Leadership Course for Middle Cadre Wardens” yaliyofanyika katika Hifadhi ya Taifa ya Katavi hivi karibuni. 
Mfumo...

 

10 years ago

Michuzi

NAFASI ZA KAZI

Wanahitajika wasichana wa kuuza duka kubwa liliopo posta jijini dar es salaam, wenye uwezo wa kufanya Marketing, na Online Sales. 
wawe na uwezo wa kuzungumza kiingereza na kiswahili fasaha. elimu kuanzia diploma.
Wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0756608383 na 0713608383

 

11 years ago

TZToday

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 18 ya mwaka 2007 kifungu 29(1). Kwa mujibu wa Sheria hiyo, chombo hiki, pamoja na kazi zingine kimepewa jukumu la kutangaza nafasi wazi za kazi zinazotokea katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Waajiri (Taasisi za Umma).

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma anakaribisha maombi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani