TANAPA YAKANUSHA KUTANGAZA NAFASI ZA KAZI
Baadhi ya mitandao ya habari ya kijamii zimekuwepo habari zilizonukuliwa zikitoa taarifa kuwa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) limetangaza nafasi za ajira kwa Wahifadhi Wanyamapori madaraja ya pili na tatu.
Shirika la Hifadhi za Taifa linapenda kutoa ufafanuzi kuwa nafasi hizo zilizotangazwa sio za Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) bali ni ajira zilizotangazwa na Serikali Kuu kupitia Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma – Ofisi ya Rais na ambako kimsingi maombi ya nafasi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm13lD99bhuE*GKjNOCfVhdGdcIatt1zYeKHnXypSny9ZboJGduFxsj05U3KqR7hv4ed*SdMqNMfI*0s5iovJ8T8/tanapa_logo.gif?width=120)
NAFASI ZA KAZI KUTOKA TANAPA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-UQKk3xOtkMM/VZNpkweRzHI/AAAAAAAARx4/nkjIqUCfDfE/s72-c/E86A2344%2B%25281280x853%2529.jpg)
TANAPA WAZINDUA KAMPENI YA KUTANGAZA UTALII WA NDANI JIJINI MWANZA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-UQKk3xOtkMM/VZNpkweRzHI/AAAAAAAARx4/nkjIqUCfDfE/s640/E86A2344%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9yG-WQpWv_M/VZNplSVha3I/AAAAAAAARx8/7UGzpU40Rq8/s640/E86A2357%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QtyZTPtb1sA/VZNpqpL-qSI/AAAAAAAARyc/QxuCza60NDU/s640/E86A2359%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IJgPayXOwdI/VZNpf997haI/AAAAAAAARxk/smtlSu6mkbU/s640/E86A2328%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-m8gY9l6RQJY/VZNpbWGBkkI/AAAAAAAARxQ/LQkUcDHwgzU/s640/E86A2315%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7ivulV-Snuw/VZNpa3S80zI/AAAAAAAARxE/rOPi_keDTMg/s640/E86A2319%2B%25281280x853%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FZjUBIw6Q5Y/VfbH7s170fI/AAAAAAAH4v8/HrZlqsrgK0k/s72-c/aitv.png)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wCzqILwNUtk/VW4DurT5SeI/AAAAAAAHbfs/VH9Y34gr4qI/s72-c/Mwandosya-Mark.jpg)
11 years ago
Michuzi04 Mar
9 years ago
Bongo521 Nov
Darasa kwa Wasanii: Ifahamu haki ya kutangaza kazi (Broadcasting Rights)
![cmea](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/cmea-300x194.jpg)
Msikilize Afisa Mtendaji Mkuu wa Chama cha Haki Miliki Tanzania (COSOTA), akielezea kuhusu haki ya kutangaza kazi (Broadcasting Rights) inavyofanya kazi. Hili ni darasa zuri na muhimu kwa wasanii wote kuhusiana na sheria zinazolinda haki zao.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Michuzi30 Oct
NAFASI ZA KAZI
wawe na uwezo wa kuzungumza kiingereza na kiswahili fasaha. elimu kuanzia diploma.
Wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0756608383 na 0713608383
11 years ago
TZToday03 Aug
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 18 ya mwaka 2007 kifungu 29(1). Kwa mujibu wa Sheria hiyo, chombo hiki, pamoja na kazi zingine kimepewa jukumu la kutangaza nafasi wazi za kazi zinazotokea katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Waajiri (Taasisi za Umma).
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma anakaribisha maombi...