Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WASHIRIKI WALIOWASILISHA KAZI ZAO TUZO ZA WAANDISHI WA HABARI ZA TANAPA WAONGEZEKA


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

WAANDISHI 10 WAFIKA FAINALI TUZO ZA HABARI ZA TANAPA ZA 2013.

Meneja uhusiano wa mamlaka ya Hifadhi za Taifa Tanzania(TANAPA) Bw. Paschal Shelutete akizungumza wanahabari kuhusiana na tuzo za Uandishi wa Habari za Shirika la Hifadhi za Taifa za mwaka 2013.

Jumla ya Waandishi wa Habari 10 wamefanikiwa kufikia hatua ya fainali ya Tuzo za Uandishi wa Habari za Shirika la Hifadhi za Taifa za mwaka 2013.  Wanahabari waliofanikiwa kufika hatua ya fainali ni pamoja na Frank Leonard (Habari Leo), Jackson Kalindimya (Nipashe), Humphrey Mgonja (Radio...

 

10 years ago

Michuzi

WASHINDI TUZO ZA HABARI ZA TANAPA 2013 WAENDELEA NA ZIARA YA MAFUNZO KATIKA VYOMBO VYA HABARI AFRIKA KUSINI

 Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA 2013 wakiwa pamoja na Mhariri Mkuu wa Habari na Matukio wa  Channel  Afrika ya Shirika la Utangazaji la Afrika Kusini (SABC) Busi Chaane (wa tatu kushoto) pamoja na Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili ya Channel Afrika ya SABC Mike Arareng (wa kwanza kulia) walipotembelea studio hizo kwa ziara ya mafunzo. Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA 2013. Kutoka kulia ni Vedasto Msungu (ITV), Gerald Kitabu (The Guardian), David...

 

11 years ago

Michuzi

TANAPA YAWATUNUKU VYETI WAHARIRI NA WAANDISHI WA HABARI WAANDAMIZI WALIOSHIRIKI KONGAMANO JIJINI MWANZA

Mkurugenzi Mkuu wa Hifadhi za Taifa,Tanzania(TANAPA) Allan Kijazi akimkabidhi Cheti ,Mwandishi mwandamizi wa Gazeti la Raia Mwema na RAIA Tanzania kanda ya kaskazini Paul Sarwat ,Cheti hicho ni cha ushiriki wa kongamano la Wahariri wa habari toka vyombo mbalimbali vya habari nchini wakiwemo waandishi wa habari waandamizi  lililofanyika jijini Mwanza na kuandaliwa na TANAPA.
Mkurugenzi Mkuu wa Hifadhi za Taifa,Tanzania(TANAPA) Allan Kijazi akimkabidhi Cheti ,Mwandishi mwandamizi wa...

 

11 years ago

Michuzi

10 WAFIKA FAINALI TUZO ZA HABARI ZA TANAPA 2013

Meneja Mawasiliano wa TANAPA Pascal Shelutete akizungumza na wanahabari jijini Arusha alipokuwa akitangaza Wanahabari waliofika fainali ya TUZO ZA HABARI ZA TANAPA ZA MWAKA 2013 wanaotarajiwa kukabidhiwa tuzo zao wiki ijayo jijini Mwanza wakati wa Mkutano wa kila mwaka wa TANAPA na Wahariri wa Habari nchini.
Jumla ya Waandishi wa Habari 10 wamefanikiwa kufikia hatua ya fainali ya Tuzo za Uandishi wa Habari za Shirika la Hifadhi za Taifa za mwaka 2013. 
 Wanahabari waliofanikiwa kufika...

 

10 years ago

Michuzi

WASHINDI TUZO ZA HABARI TANAPA WATEMBELEA MAENEO YA KIHISTORIA AFRIKA KUSINI

Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA 2013 kutoka kushoto David Rwenyagira (Radio Five), Vedasto Msungu (ITV), Mtanzania Peter Masika wa Johannesburg na Gerald Kitabu (The Guardian) wakiwa nje ya nyumba ya Rais wa Kwanza wa Afrika Kusini Mzee Nelson Mandela jijini Johannesburg, Afrika Kusini. Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA 2013 wakiwa ya Jumba la Makumbusho ya Ubaguzi wa Rangi. Picha ya Mzee Nelson Mandela inayopatikana katika Jengo hilo la Makumbusho ya Ubaguzi wa Rangi. Washindi wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Waandishi wa habari wasaidia wanavijiji nchini kusikika kupitia sauti zao

1

Mraghabishi mwalimu Revocatus Renatus (kulia)  wa kijiji cha Unyanyembe mkoani  Shinyanga akihojiwa na mtangazaji wa Redio Free Africa Felista Kujirilwa wakati wa  kuandaa  moja ya vipindi vya redio vya Chukua Hatua.

“Haijatokea hata siku moja mwandishi wa habari akaja huku kwa kweli. Hii ni mara yangu ya kwanza kuona wanahabari katika kijiji chetu. Toka nimezaliwa sijawahi kumuona mwandishi wa habari kuja hapa na mimi nina miaka 70.”

 Hayo ni maneno ya Mzee Titus Ndugulile mraghabishi wa...

 

10 years ago

Michuzi

WASHINDI TUZO ZA HABARI ZA TANAPA 2013 WAENDELEA KUJIFUNZA MAENEO YA UTALII AFRIKA KUSINI

 Mwanahabari Vedasto Msungu wa ITV (kushoto) na David Rwenyagira (Radio 5) walikuwa miongoni mwa wanahabari waliofika nje ya Jengo la Mahakama Kuu ya Pretoria ambapo ilikuwa siku muhimu ya utoaji hukumu kwa mwanariadha Oscar Pistorius aliyeshitakiwa kwa makosa ya kumuua mpenzi wake kwa silaha. Unayoyaona hapo nyuma ni magari maalum ya urushaji tukio hilo moja kwa moja katika vyombo mbalimbali vya habari duniani(OB Van) na mahema meupe ni Kambi iliyopigwa na wanahabari hao kwa ajili ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani