Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WASHINDI TUZO ZA HABARI ZA TANAPA 2013 WAENDELEA NA ZIARA YA MAFUNZO KATIKA VYOMBO VYA HABARI AFRIKA KUSINI

 Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA 2013 wakiwa pamoja na Mhariri Mkuu wa Habari na Matukio wa  Channel  Afrika ya Shirika la Utangazaji la Afrika Kusini (SABC) Busi Chaane (wa tatu kushoto) pamoja na Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili ya Channel Afrika ya SABC Mike Arareng (wa kwanza kulia) walipotembelea studio hizo kwa ziara ya mafunzo. Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA 2013. Kutoka kulia ni Vedasto Msungu (ITV), Gerald Kitabu (The Guardian), David...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WASHINDI TUZO ZA HABARI ZA TANAPA 2013 WAENDELEA KUJIFUNZA MAENEO YA UTALII AFRIKA KUSINI

 Mwanahabari Vedasto Msungu wa ITV (kushoto) na David Rwenyagira (Radio 5) walikuwa miongoni mwa wanahabari waliofika nje ya Jengo la Mahakama Kuu ya Pretoria ambapo ilikuwa siku muhimu ya utoaji hukumu kwa mwanariadha Oscar Pistorius aliyeshitakiwa kwa makosa ya kumuua mpenzi wake kwa silaha. Unayoyaona hapo nyuma ni magari maalum ya urushaji tukio hilo moja kwa moja katika vyombo mbalimbali vya habari duniani(OB Van) na mahema meupe ni Kambi iliyopigwa na wanahabari hao kwa ajili ya...

 

10 years ago

Michuzi

WASHINDI TUZO ZA HABARI TANAPA WATEMBELEA MAENEO YA KIHISTORIA AFRIKA KUSINI

Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA 2013 kutoka kushoto David Rwenyagira (Radio Five), Vedasto Msungu (ITV), Mtanzania Peter Masika wa Johannesburg na Gerald Kitabu (The Guardian) wakiwa nje ya nyumba ya Rais wa Kwanza wa Afrika Kusini Mzee Nelson Mandela jijini Johannesburg, Afrika Kusini. Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA 2013 wakiwa ya Jumba la Makumbusho ya Ubaguzi wa Rangi. Picha ya Mzee Nelson Mandela inayopatikana katika Jengo hilo la Makumbusho ya Ubaguzi wa Rangi. Washindi wa...

 

10 years ago

Michuzi

WASHINDI WA TUZO ZA HABARI ZA TANAPA WATEMBELEA KIJIJI CHA UTALII WA UTAMADUNI AFRIKA KUSINI CHA LESEDI

Mshindi wa Tuzo za Habari za TANAPA 2013 Gerald Kitabu (The Guardian) akisalimiana na kijana wa Kizulu katika kijiji cha Utamaduni cha Lesedi walipotembelea ili kujifunza utalii wa kiutamaduni nchini Afrika Kusini. Mshindi wa Tuzo za Habari za TANAPA 2013 Vedasto Msungu (ITV) akisalimiana na kijana wa Kizulu katika kijiji cha Utamaduni cha Lesedi walipotembelea ili kujifunza utalii wa kiutamaduni nchini Afrika Kusini. Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA 2013 kutoka kulia Gerald...

 

10 years ago

Michuzi

TANAPA YAANDAA SEMINA YA WAJIBU WA VYOMBO VYA HABARI KATIKA KUKUZA UTALII JIJINI MWANZA

 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi za Taifa,Ndugu Allan Kijazi akizungumza jambo,wakati wa ufunguzi wa Warsha ya Wahariri wa Habari Tanzania,mapema leo asubuhi jijini Mwanza.Ndugu Kijazi alisema kuwa Utalii ni sekta mtambuka na inachochea ukuaji wa sekta nyingine ikiwa ni pamoja na kilimo, usafirishaji wa anga na barabara, huduma za fedha, huduma za chakula na malazi kudorora kwa sekta nyinginezo.   
Katika ufunguzi wa Warsha hiyo,Ndugu Kijazi alisema kuwa, Kauli mbiu ya Mkutano wa mwaka...

 

11 years ago

Michuzi

10 WAFIKA FAINALI TUZO ZA HABARI ZA TANAPA 2013

Meneja Mawasiliano wa TANAPA Pascal Shelutete akizungumza na wanahabari jijini Arusha alipokuwa akitangaza Wanahabari waliofika fainali ya TUZO ZA HABARI ZA TANAPA ZA MWAKA 2013 wanaotarajiwa kukabidhiwa tuzo zao wiki ijayo jijini Mwanza wakati wa Mkutano wa kila mwaka wa TANAPA na Wahariri wa Habari nchini.
Jumla ya Waandishi wa Habari 10 wamefanikiwa kufikia hatua ya fainali ya Tuzo za Uandishi wa Habari za Shirika la Hifadhi za Taifa za mwaka 2013. 
 Wanahabari waliofanikiwa kufika...

 

11 years ago

Michuzi

WAANDISHI 10 WAFIKA FAINALI TUZO ZA HABARI ZA TANAPA ZA 2013.

Meneja uhusiano wa mamlaka ya Hifadhi za Taifa Tanzania(TANAPA) Bw. Paschal Shelutete akizungumza wanahabari kuhusiana na tuzo za Uandishi wa Habari za Shirika la Hifadhi za Taifa za mwaka 2013.

Jumla ya Waandishi wa Habari 10 wamefanikiwa kufikia hatua ya fainali ya Tuzo za Uandishi wa Habari za Shirika la Hifadhi za Taifa za mwaka 2013.  Wanahabari waliofanikiwa kufika hatua ya fainali ni pamoja na Frank Leonard (Habari Leo), Jackson Kalindimya (Nipashe), Humphrey Mgonja (Radio...

 

10 years ago

Michuzi

Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini Mwa Afrika (Misa) yampata 'tano' Jokate


Mwandishi wetuTaasisi ya Vyombo vya Habari Kusini Mwa Afrika, (MISA) imemtangaza mrembo mwenye vipaji vingi hapa nchini, Jokate Mwegelo, kuwa miongoni mwa wanawake tisa waliofanya mambo makubwa katika jamii kwa ukanda wa nchi za Kusini mwa Afrika ijulikanayo kwa jina la “Misa’s Women to Watch’.
Kwa mujibu wa taraifa iliyotolewa na MISA wakati wa siku ya wanawake Duniani, Jokate ambaye ni mfanyabiashara, mwanamitindo, mtangazaji, mwanamuziki, mbunifu wa mavazi na muigizaji wa filamu amepata...

 

10 years ago

Vijimambo

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - WATANZANIA WALIOKWAMA AFRIKA KUSINI WAREJEA NYUMBANI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA

 



Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600              

 


                20 KIVUKONI FRONT,                           P.O. BOX 9000,                  11466 DAR ES SALAAM,                                      Tanzania.

 

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

WATANZANIA WALIOKUWA AFRIKA KUSINI WAMEREJEA NYUMBANI

Kundi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani