WASHINDI TUZO ZA HABARI ZA TANAPA 2013 WAENDELEA NA ZIARA YA MAFUNZO KATIKA VYOMBO VYA HABARI AFRIKA KUSINI
Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA 2013 wakiwa pamoja na Mhariri Mkuu wa Habari na Matukio wa Channel Afrika ya Shirika la Utangazaji la Afrika Kusini (SABC) Busi Chaane (wa tatu kushoto) pamoja na Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili ya Channel Afrika ya SABC Mike Arareng (wa kwanza kulia) walipotembelea studio hizo kwa ziara ya mafunzo.
Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA 2013. Kutoka kulia ni Vedasto Msungu (ITV), Gerald Kitabu (The Guardian), David...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWASHINDI TUZO ZA HABARI ZA TANAPA 2013 WAENDELEA KUJIFUNZA MAENEO YA UTALII AFRIKA KUSINI
10 years ago
MichuziWASHINDI TUZO ZA HABARI TANAPA WATEMBELEA MAENEO YA KIHISTORIA AFRIKA KUSINI
10 years ago
MichuziWASHINDI WA TUZO ZA HABARI ZA TANAPA WATEMBELEA KIJIJI CHA UTALII WA UTAMADUNI AFRIKA KUSINI CHA LESEDI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rg1uE1fTLQI/VZD_UuFronI/AAAAAAAHlfI/w1eXi298Cvw/s72-c/1.jpg)
TANAPA YAANDAA SEMINA YA WAJIBU WA VYOMBO VYA HABARI KATIKA KUKUZA UTALII JIJINI MWANZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-rg1uE1fTLQI/VZD_UuFronI/AAAAAAAHlfI/w1eXi298Cvw/s640/1.jpg)
Katika ufunguzi wa Warsha hiyo,Ndugu Kijazi alisema kuwa, Kauli mbiu ya Mkutano wa mwaka...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uQGJUiJDbHc/U3_AeDvKhyI/AAAAAAAFkpg/7nwIzX0M4Cs/s72-c/unnamed+(5).jpg)
10 WAFIKA FAINALI TUZO ZA HABARI ZA TANAPA 2013
![](http://4.bp.blogspot.com/-uQGJUiJDbHc/U3_AeDvKhyI/AAAAAAAFkpg/7nwIzX0M4Cs/s1600/unnamed+(5).jpg)
Jumla ya Waandishi wa Habari 10 wamefanikiwa kufikia hatua ya fainali ya Tuzo za Uandishi wa Habari za Shirika la Hifadhi za Taifa za mwaka 2013.
Wanahabari waliofanikiwa kufika...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZU1RwfOmNRg/U4ATmPavEiI/AAAAAAAAD2E/VqJR5lmCTb8/s72-c/10271513_803859216293513_1431705123531836857_n.jpg)
WAANDISHI 10 WAFIKA FAINALI TUZO ZA HABARI ZA TANAPA ZA 2013.
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZU1RwfOmNRg/U4ATmPavEiI/AAAAAAAAD2E/VqJR5lmCTb8/s1600/10271513_803859216293513_1431705123531836857_n.jpg)
Jumla ya Waandishi wa Habari 10 wamefanikiwa kufikia hatua ya fainali ya Tuzo za Uandishi wa Habari za Shirika la Hifadhi za Taifa za mwaka 2013. Wanahabari waliofanikiwa kufika hatua ya fainali ni pamoja na Frank Leonard (Habari Leo), Jackson Kalindimya (Nipashe), Humphrey Mgonja (Radio...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eAgmLqj8-B0/VQBCWsivisI/AAAAAAAHJjc/NhVSFOWpH3o/s72-c/unnamed%2B(77).jpg)
Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini Mwa Afrika (Misa) yampata 'tano' Jokate
![](http://1.bp.blogspot.com/-eAgmLqj8-B0/VQBCWsivisI/AAAAAAAHJjc/NhVSFOWpH3o/s1600/unnamed%2B(77).jpg)
Mwandishi wetuTaasisi ya Vyombo vya Habari Kusini Mwa Afrika, (MISA) imemtangaza mrembo mwenye vipaji vingi hapa nchini, Jokate Mwegelo, kuwa miongoni mwa wanawake tisa waliofanya mambo makubwa katika jamii kwa ukanda wa nchi za Kusini mwa Afrika ijulikanayo kwa jina la “Misa’s Women to Watch’.
Kwa mujibu wa taraifa iliyotolewa na MISA wakati wa siku ya wanawake Duniani, Jokate ambaye ni mfanyabiashara, mwanamitindo, mtangazaji, mwanamuziki, mbunifu wa mavazi na muigizaji wa filamu amepata...
10 years ago
Vijimambo25 Apr
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - WATANZANIA WALIOKWAMA AFRIKA KUSINI WAREJEA NYUMBANI
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/56/COA_Tanganyika_1.jpg/118px-COA_Tanganyika_1.jpg)
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIWATANZANIA WALIOKUWA AFRIKA KUSINI WAMEREJEA NYUMBANI Kundi...