TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - WATANZANIA WALIOKWAMA AFRIKA KUSINI WAREJEA NYUMBANI
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIWATANZANIA WALIOKUWA AFRIKA KUSINI WAMEREJEA NYUMBANI Kundi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dfHMtOkC0gU/XsxSV-Iz6ZI/AAAAAAALrhA/E7j_8sQmFDsbXyNf_0Nd-3UrtWxtziNswCLcBGAsYHQ/s72-c/25.jpg)
BALOZI MILANZI ASIMAMIA USAFIRISHWAJI WA WATANZANIA 14 WALIOKWAMA AFRIKA KUSINI KWA LOCKDOWN, WAREJEA NCHINI PAMOJA NA RAIA 12 WA NCHI HIO WANAOFANYA KAZI TANZANIA
Na Mwandishi Maalumu Balozi wa Tanzania nchini Afrka Kusini Meja Jenerali (Mst) Gaudence Milanzi Jumatatu Mei 25, 2020 amesimamia zoezi la repatriation (usafirishaji) wa dharura) ya Watanzania pamoja na raia kadhaa wa nchi hiyo waliokwama kutokana na Lockdown na kusitishwa safari za ndege inayoendelea huko, kutoka Johannesburg kuja Dar es salaam.
Taarifa kutoka ubalozi wa Tanzania nchini humo zinasema kwamba Balozi Milanzi aliratibu na kusimamia zoezi hilo ambapo Watanzania 14 ambao...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dfHMtOkC0gU/XsxSV-Iz6ZI/AAAAAAALrhA/E7j_8sQmFDsbXyNf_0Nd-3UrtWxtziNswCLcBGAsYHQ/s72-c/25.jpg)
NEWS ALERT: BALOZI MILANZI ASIMAMIA USAFIRISHWAJI WA WATANZANIA WALIOKWAMA AFRIKA KUSINI KWA LOCKDOWN, WAREJEA NCHINI PAMOJA NA RAIA WA NCHI HIO WANAOFANYA KAZI TANZANIA
Na Mwandishi Maalumu Balozi wa Tanzania nchini Afrka Kusini Meja Jenerali (Mst) Gaudence Milanzi Jumatatu Mei 25, 2020 amesimamia zoezi la repatriation (usafirishaji) wa dharura) ya Watanzania pamoja na raia kadhaa wa nchi hiyo waliokwama kutokana na Lockdown na kusitishwa safari za ndege inayoendelea huko, kutoka Johannesburg kuja Dar es salaam.
Taarifa kutoka ubalozi wa Tanzania nchini humo zinasema kwamba Balozi Milanzi aliratibu na kusimamia zoezi hilo ambapo Watanzania hao walikwama...
Taarifa kutoka ubalozi wa Tanzania nchini humo zinasema kwamba Balozi Milanzi aliratibu na kusimamia zoezi hilo ambapo Watanzania hao walikwama...
10 years ago
GPLWATANZANIA WALIOKUWA AFRIKA KUSINI WAREJEA NYUMBANI
KUNDI la Watanzania 26 limerejea nyumbani kutoka Afrika Kusini leo tarehe 25 Aprili, 2015 kufuatia mashambulizi ya wazawa dhidi ya wageni. Kundi hilo la kwanza kurejea nyumbani liliwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere saa 11 alfajiri na Ndege ya Fast Jet. Watanzania hao walikuwa wanaishi katika kambi za dharura za Isipingo na Phoenix zilizopo jijini Durban. Walisindikizwa kurudi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-19pDQzx8Aww/XtvJ_5UNMFI/AAAAAAALs0Q/hwNoZcwF7O0qE4ZlQc8e_zryVOoopcmCwCLcBGAsYHQ/s72-c/s6.jpg)
KUNDI LA PILI LA WATANZANIA WALIOKWAMA AFRIKA KUSINI LINATARAJIWA KUREJEA NYUMBANI MAPEMA WIKI IJAYO
Na Mwandishi wetu, Pretoria
Kundi la pili la Watanzania waliokwama nchini Afrika Kusini kutokana na Lockdown nchini humo iliyosababishwa na ugonjwa wa Corona linatarajia kurejeshwa nchini mwanzoni mwa wiki ijayo mara tu baada ya taratibu za safari hiyo kukamilika, imefahamika.
Kwa mujibu wa ubalozi wa Tanzania nchini humo, jumla ya Watanzania 63 wamekuwa katika harakati za kutaka kurejea nyumbani lakini wamekwama kutokana na changamoto mbalimbali ikiwemo kuchelewa kwa vibali vya kusafiri nje...
Kundi la pili la Watanzania waliokwama nchini Afrika Kusini kutokana na Lockdown nchini humo iliyosababishwa na ugonjwa wa Corona linatarajia kurejeshwa nchini mwanzoni mwa wiki ijayo mara tu baada ya taratibu za safari hiyo kukamilika, imefahamika.
Kwa mujibu wa ubalozi wa Tanzania nchini humo, jumla ya Watanzania 63 wamekuwa katika harakati za kutaka kurejea nyumbani lakini wamekwama kutokana na changamoto mbalimbali ikiwemo kuchelewa kwa vibali vya kusafiri nje...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yTfSLkK2CoY/VTuraF-vZ8I/AAAAAAAHTPY/tasQ7SooogU/s72-c/download.jpg)
NEWS ALERT: WATANZANIA 26 WALIOKUWA AFRIKA KUSINI WAREJEA NYUMBANI
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
![](http://2.bp.blogspot.com/-yTfSLkK2CoY/VTuraF-vZ8I/AAAAAAAHTPY/tasQ7SooogU/s1600/download.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AqzelI9XfXA/XuJEGMMrgYI/AAAAAAALtcE/QNSaDdP7JJAlGOs4YYGKzrMtucOfuvlUQCLcBGAsYHQ/s72-c/scan0008.jpg)
5 years ago
BBCSwahili15 May
Virusi vya Corona: Raia 246 wa Tanzania waliokwama India warejea nyumbani
Bi. Saada raia wa Tanzania aliyekuwa amekwama nchini India. Ameieleza BBC juu ya furaha ya kurejea nyumbani.
10 years ago
MichuziWASHINDI TUZO ZA HABARI ZA TANAPA 2013 WAENDELEA NA ZIARA YA MAFUNZO KATIKA VYOMBO VYA HABARI AFRIKA KUSINI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eAgmLqj8-B0/VQBCWsivisI/AAAAAAAHJjc/NhVSFOWpH3o/s72-c/unnamed%2B(77).jpg)
Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini Mwa Afrika (Misa) yampata 'tano' Jokate
![](http://1.bp.blogspot.com/-eAgmLqj8-B0/VQBCWsivisI/AAAAAAAHJjc/NhVSFOWpH3o/s1600/unnamed%2B(77).jpg)
Mwandishi wetuTaasisi ya Vyombo vya Habari Kusini Mwa Afrika, (MISA) imemtangaza mrembo mwenye vipaji vingi hapa nchini, Jokate Mwegelo, kuwa miongoni mwa wanawake tisa waliofanya mambo makubwa katika jamii kwa ukanda wa nchi za Kusini mwa Afrika ijulikanayo kwa jina la “Misa’s Women to Watch’.
Kwa mujibu wa taraifa iliyotolewa na MISA wakati wa siku ya wanawake Duniani, Jokate ambaye ni mfanyabiashara, mwanamitindo, mtangazaji, mwanamuziki, mbunifu wa mavazi na muigizaji wa filamu amepata...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania