NEWS ALERT: BALOZI MILANZI ASIMAMIA USAFIRISHWAJI WA WATANZANIA WALIOKWAMA AFRIKA KUSINI KWA LOCKDOWN, WAREJEA NCHINI PAMOJA NA RAIA WA NCHI HIO WANAOFANYA KAZI TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-dfHMtOkC0gU/XsxSV-Iz6ZI/AAAAAAALrhA/E7j_8sQmFDsbXyNf_0Nd-3UrtWxtziNswCLcBGAsYHQ/s72-c/25.jpg)
Na Mwandishi Maalumu
Balozi wa Tanzania nchini Afrka Kusini Meja Jenerali (Mst) Gaudence Milanzi Jumatatu Mei 25, 2020 amesimamia zoezi la repatriation (usafirishaji) wa dharura) ya Watanzania pamoja na raia kadhaa wa nchi hiyo waliokwama kutokana na Lockdown na kusitishwa safari za ndege inayoendelea huko, kutoka Johannesburg kuja Dar es salaam.Taarifa kutoka ubalozi wa Tanzania nchini humo zinasema kwamba Balozi Milanzi aliratibu na kusimamia zoezi hilo ambapo Watanzania hao walikwama...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dfHMtOkC0gU/XsxSV-Iz6ZI/AAAAAAALrhA/E7j_8sQmFDsbXyNf_0Nd-3UrtWxtziNswCLcBGAsYHQ/s72-c/25.jpg)
BALOZI MILANZI ASIMAMIA USAFIRISHWAJI WA WATANZANIA 14 WALIOKWAMA AFRIKA KUSINI KWA LOCKDOWN, WAREJEA NCHINI PAMOJA NA RAIA 12 WA NCHI HIO WANAOFANYA KAZI TANZANIA
Na Mwandishi Maalumu Balozi wa Tanzania nchini Afrka Kusini Meja Jenerali (Mst) Gaudence Milanzi Jumatatu Mei 25, 2020 amesimamia zoezi la repatriation (usafirishaji) wa dharura) ya Watanzania pamoja na raia kadhaa wa nchi hiyo waliokwama kutokana na Lockdown na kusitishwa safari za ndege inayoendelea huko, kutoka Johannesburg kuja Dar es salaam.
Taarifa kutoka ubalozi wa Tanzania nchini humo zinasema kwamba Balozi Milanzi aliratibu na kusimamia zoezi hilo ambapo Watanzania 14 ambao...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yTfSLkK2CoY/VTuraF-vZ8I/AAAAAAAHTPY/tasQ7SooogU/s72-c/download.jpg)
NEWS ALERT: WATANZANIA 26 WALIOKUWA AFRIKA KUSINI WAREJEA NYUMBANI
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
![](http://2.bp.blogspot.com/-yTfSLkK2CoY/VTuraF-vZ8I/AAAAAAAHTPY/tasQ7SooogU/s1600/download.jpg)
10 years ago
Vijimambo25 Apr
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - WATANZANIA WALIOKWAMA AFRIKA KUSINI WAREJEA NYUMBANI
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/56/COA_Tanganyika_1.jpg/118px-COA_Tanganyika_1.jpg)
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIWATANZANIA WALIOKUWA AFRIKA KUSINI WAMEREJEA NYUMBANI Kundi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AqzelI9XfXA/XuJEGMMrgYI/AAAAAAALtcE/QNSaDdP7JJAlGOs4YYGKzrMtucOfuvlUQCLcBGAsYHQ/s72-c/scan0008.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qrjD1YsSjxM/XtPlvL4HS-I/AAAAAAAC6d4/fVniuw6mMX8hUInc5A1vWTo8gYFjMlhrACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WATANZANIA WALIOKWAMA INDIA KUTOKANA NA CORONA WAREJEA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-qrjD1YsSjxM/XtPlvL4HS-I/AAAAAAAC6d4/fVniuw6mMX8hUInc5A1vWTo8gYFjMlhrACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Ubalozi wa Tanzania nchini India kwa kushirikiana na Shirika la Ndege la Tanzania [ATCL] pamoja na Diaspora wa Tanzania nchini India kwa mara nyingine wamefanikisha safari ya pili ya kuwarejesha nchini Watanzania 192 waliokuwa wamekwama katika miji mbalimbali nchini India.
Watanzania hao walikwama kutokana na zuio la kuingia na kutoka kwa ndege za Kimataifa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NUjrtbHwjL4/XuYt-ZH4-II/AAAAAAACNTE/wqg1VVyvam05lCZJEJU7bEtjj2BGMEiPQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200614_170117.jpg)
WATANZANIA 57 WALIOKUWA WAMEKWANA AFRIKA KUSINI KUTOKANA NA CORONA WAREJEA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-NUjrtbHwjL4/XuYt-ZH4-II/AAAAAAACNTE/wqg1VVyvam05lCZJEJU7bEtjj2BGMEiPQCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200614_170117.jpg)
5 years ago
BBCSwahili15 May
Virusi vya Corona: Raia 246 wa Tanzania waliokwama India warejea nyumbani
Bi. Saada raia wa Tanzania aliyekuwa amekwama nchini India. Ameieleza BBC juu ya furaha ya kurejea nyumbani.
5 years ago
MichuziAWAMU YA PILI YA WATANZANIA WALIOKWAMA INDIA KUTOKANA NA UGONJWA WA COVID-19 WAREJEA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-pI1TkZMOtMw/XtPIoqVsrqI/AAAAAAAA-rQ/tmrsIzeCI0wEGzTKe8wLFODw9yy_Vui2ACEwYBhgLKs0DAL1Ocqy81nejMPh7kx9UvKxGYcivFjwKDxI-tLawv-qNkhy4q-vZ6YW03QwIvJvMzN5CHyggN_NBEijbWsluWo-Zw9ccfbJbK34mVpUTQpFaEnSqbFAdnRbMPlfx0_TZ-Ah_mgUQg7U-ljsBlAPf59vAIpI9n-B_0fKj7fMDSzNO-43DM1GSYwgE6JWRcMueVCtOzoGC5IvklO92jgR0c30u4IFLcvYvUuRmPPkmTZfibpx0LPzYf0LtvbIwj_pYMfiDgobxPN37CQrDEwaL5-Hoi0a23Ku4IT4dBhStn9awPKe4mk98fdO1-z3jFeBRiiZLTt0NITbRH4-r_BcJtWULFxmwrxHwwyop0uB1MyiNTYTBwuAkFozaaL42H2gKnRyW1dLiFkfA7zz0AzTS6ibx3pdPD_lrm_6dIR1UdBOzFbj1LsodAjUWJoJAECOU_bzr-WyvIxRTtJwVa8iclUxRQdGGw-hx6WQzwIiXA8X4BpPsJ_0FPr95t5fJKREVBarqC1vk2xaPRU5-mFySDB9S6KR2ei28Lx4brcb6o_NAKie7f42F_7iElAUNj8w9ImU_1UR3PP6P3OPzvdXpBaR0EeklmOFi7xs5QP4wlZbP9gU/s640/home%2B1.jpg)
Baadhi ya watanzania waliokuwa wamekwama India kutokana na ugonjwa wa COVID-19 wakiwa ndani ya ndege maalum ya Air Tanzania wakisubiri kuondoka kurejea Tanzania katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Chhatrapati Shivaji Jijini Mumbai tarehe 30 Mei 2020. Serikali ya India ilisitisha huduma ya kuingia na kutoka kwa ndege za kimataifa ikiwa ni moja ya mkakati wa kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa COVID-19.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Wr_aLh4hwoE/XtPIvjN51cI/AAAAAAAA-rU/e7v7y_-a8BIIXTPVq-j0dQ_LW79_OJ_GgCLcBGAsYHQ/s640/home2.jpg)
Sehemu nyingine ya watanzania waliokuwa wamekwama nchini India wakiwa ndani ya ndege maalum ya...
11 years ago
Michuzi02 Jul
NEWS ALERT: Balozi Mdogo wa Libya nchini Tanzania ajiua kwa risasi
Balozi Mdogo wa Libya nchini Tanzania,Ndg. Ismail Nwairat amefikwa na mauti baada ya kujifungia ofisini kwake na kujifyatulia risasi kifuani.tukio hilo lilitokea jana jioni na chanzo chake bado hakijafahamika mpaka sasa.
Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje,imethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje,imethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania