WATANZANIA 57 WALIOKUWA WAMEKWANA AFRIKA KUSINI KUTOKANA NA CORONA WAREJEA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-NUjrtbHwjL4/XuYt-ZH4-II/AAAAAAACNTE/wqg1VVyvam05lCZJEJU7bEtjj2BGMEiPQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200614_170117.jpg)
Mmoja wa Watanzania waliokuwa wamekwama Afrika Kusini kutokana na nchi hiyo kufunga mipaka yake kutokana na Corona, Sunderland the only one akizungumza muda mfupi kabla ya kuondoka nchini humo, leo. Kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini humo Meja Jenerali Mstaafu Gaudence Milanzi AFRIKA KUSINIWatanzania 57 waliokuwa wamekwama nchini Afrika Kusini kutokana na janga la virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID 19 baada ya nchi hiyo kufunga mipaka yake hatimae wamerejea...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWATANZANIA WALIOKUWA AFRIKA KUSINI WAREJEA NYUMBANI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yTfSLkK2CoY/VTuraF-vZ8I/AAAAAAAHTPY/tasQ7SooogU/s72-c/download.jpg)
NEWS ALERT: WATANZANIA 26 WALIOKUWA AFRIKA KUSINI WAREJEA NYUMBANI
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
![](http://2.bp.blogspot.com/-yTfSLkK2CoY/VTuraF-vZ8I/AAAAAAAHTPY/tasQ7SooogU/s1600/download.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qrjD1YsSjxM/XtPlvL4HS-I/AAAAAAAC6d4/fVniuw6mMX8hUInc5A1vWTo8gYFjMlhrACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WATANZANIA WALIOKWAMA INDIA KUTOKANA NA CORONA WAREJEA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-qrjD1YsSjxM/XtPlvL4HS-I/AAAAAAAC6d4/fVniuw6mMX8hUInc5A1vWTo8gYFjMlhrACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Ubalozi wa Tanzania nchini India kwa kushirikiana na Shirika la Ndege la Tanzania [ATCL] pamoja na Diaspora wa Tanzania nchini India kwa mara nyingine wamefanikisha safari ya pili ya kuwarejesha nchini Watanzania 192 waliokuwa wamekwama katika miji mbalimbali nchini India.
Watanzania hao walikwama kutokana na zuio la kuingia na kutoka kwa ndege za Kimataifa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AqzelI9XfXA/XuJEGMMrgYI/AAAAAAALtcE/QNSaDdP7JJAlGOs4YYGKzrMtucOfuvlUQCLcBGAsYHQ/s72-c/scan0008.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dfHMtOkC0gU/XsxSV-Iz6ZI/AAAAAAALrhA/E7j_8sQmFDsbXyNf_0Nd-3UrtWxtziNswCLcBGAsYHQ/s72-c/25.jpg)
BALOZI MILANZI ASIMAMIA USAFIRISHWAJI WA WATANZANIA 14 WALIOKWAMA AFRIKA KUSINI KWA LOCKDOWN, WAREJEA NCHINI PAMOJA NA RAIA 12 WA NCHI HIO WANAOFANYA KAZI TANZANIA
Na Mwandishi Maalumu Balozi wa Tanzania nchini Afrka Kusini Meja Jenerali (Mst) Gaudence Milanzi Jumatatu Mei 25, 2020 amesimamia zoezi la repatriation (usafirishaji) wa dharura) ya Watanzania pamoja na raia kadhaa wa nchi hiyo waliokwama kutokana na Lockdown na kusitishwa safari za ndege inayoendelea huko, kutoka Johannesburg kuja Dar es salaam.
Taarifa kutoka ubalozi wa Tanzania nchini humo zinasema kwamba Balozi Milanzi aliratibu na kusimamia zoezi hilo ambapo Watanzania 14 ambao...
10 years ago
Mwananchi26 Apr
Watanzania waliokuwa Afrika Kusini warudishwa
5 years ago
MichuziAWAMU YA PILI YA WATANZANIA WALIOKWAMA INDIA KUTOKANA NA UGONJWA WA COVID-19 WAREJEA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-pI1TkZMOtMw/XtPIoqVsrqI/AAAAAAAA-rQ/tmrsIzeCI0wEGzTKe8wLFODw9yy_Vui2ACEwYBhgLKs0DAL1Ocqy81nejMPh7kx9UvKxGYcivFjwKDxI-tLawv-qNkhy4q-vZ6YW03QwIvJvMzN5CHyggN_NBEijbWsluWo-Zw9ccfbJbK34mVpUTQpFaEnSqbFAdnRbMPlfx0_TZ-Ah_mgUQg7U-ljsBlAPf59vAIpI9n-B_0fKj7fMDSzNO-43DM1GSYwgE6JWRcMueVCtOzoGC5IvklO92jgR0c30u4IFLcvYvUuRmPPkmTZfibpx0LPzYf0LtvbIwj_pYMfiDgobxPN37CQrDEwaL5-Hoi0a23Ku4IT4dBhStn9awPKe4mk98fdO1-z3jFeBRiiZLTt0NITbRH4-r_BcJtWULFxmwrxHwwyop0uB1MyiNTYTBwuAkFozaaL42H2gKnRyW1dLiFkfA7zz0AzTS6ibx3pdPD_lrm_6dIR1UdBOzFbj1LsodAjUWJoJAECOU_bzr-WyvIxRTtJwVa8iclUxRQdGGw-hx6WQzwIiXA8X4BpPsJ_0FPr95t5fJKREVBarqC1vk2xaPRU5-mFySDB9S6KR2ei28Lx4brcb6o_NAKie7f42F_7iElAUNj8w9ImU_1UR3PP6P3OPzvdXpBaR0EeklmOFi7xs5QP4wlZbP9gU/s640/home%2B1.jpg)
Baadhi ya watanzania waliokuwa wamekwama India kutokana na ugonjwa wa COVID-19 wakiwa ndani ya ndege maalum ya Air Tanzania wakisubiri kuondoka kurejea Tanzania katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Chhatrapati Shivaji Jijini Mumbai tarehe 30 Mei 2020. Serikali ya India ilisitisha huduma ya kuingia na kutoka kwa ndege za kimataifa ikiwa ni moja ya mkakati wa kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa COVID-19.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Wr_aLh4hwoE/XtPIvjN51cI/AAAAAAAA-rU/e7v7y_-a8BIIXTPVq-j0dQ_LW79_OJ_GgCLcBGAsYHQ/s640/home2.jpg)
Sehemu nyingine ya watanzania waliokuwa wamekwama nchini India wakiwa ndani ya ndege maalum ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--QLAC5NQRuk/VTuhaG1clXI/AAAAAAAHTNY/-0JF8rEuxD0/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-25%2Bat%2B5.13.17%2BPM.png)
WATANZANIA WALIOKUWA AFRIKA KUSINI WAMEREJEA NYUMBANI
![](http://3.bp.blogspot.com/--QLAC5NQRuk/VTuhaG1clXI/AAAAAAAHTNY/-0JF8rEuxD0/s1600/Screen%2BShot%2B2015-04-25%2Bat%2B5.13.17%2BPM.png)
Watanzania hao walikuwa wanaishi katika kambi za dharura za Isipingo na Phoenix zilizopo jijini Durban. Walisindikizwa kurudi nyumbani na Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, Bw. Elibahati...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dfHMtOkC0gU/XsxSV-Iz6ZI/AAAAAAALrhA/E7j_8sQmFDsbXyNf_0Nd-3UrtWxtziNswCLcBGAsYHQ/s72-c/25.jpg)
NEWS ALERT: BALOZI MILANZI ASIMAMIA USAFIRISHWAJI WA WATANZANIA WALIOKWAMA AFRIKA KUSINI KWA LOCKDOWN, WAREJEA NCHINI PAMOJA NA RAIA WA NCHI HIO WANAOFANYA KAZI TANZANIA
Taarifa kutoka ubalozi wa Tanzania nchini humo zinasema kwamba Balozi Milanzi aliratibu na kusimamia zoezi hilo ambapo Watanzania hao walikwama...