WATANZANIA WALIOKUWA AFRIKA KUSINI WAMEREJEA NYUMBANI
![](http://3.bp.blogspot.com/--QLAC5NQRuk/VTuhaG1clXI/AAAAAAAHTNY/-0JF8rEuxD0/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-25%2Bat%2B5.13.17%2BPM.png)
Kundi la Watanzania 26 limerejea nyumbani kutoka Afrika Kusini leo tarehe 26 Aprili, 2015 kufuatia mashambulizi ya wazawa dhidi ya wageni. Kundi hilo la kwanza kurejea nyumbani liliwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere saa 11 alfajiri na Ndege ya Fast Jet.
Watanzania hao walikuwa wanaishi katika kambi za dharura za Isipingo na Phoenix zilizopo jijini Durban. Walisindikizwa kurudi nyumbani na Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, Bw. Elibahati...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWATANZANIA WALIOKUWA AFRIKA KUSINI WAREJEA NYUMBANI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yTfSLkK2CoY/VTuraF-vZ8I/AAAAAAAHTPY/tasQ7SooogU/s72-c/download.jpg)
NEWS ALERT: WATANZANIA 26 WALIOKUWA AFRIKA KUSINI WAREJEA NYUMBANI
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
![](http://2.bp.blogspot.com/-yTfSLkK2CoY/VTuraF-vZ8I/AAAAAAAHTPY/tasQ7SooogU/s1600/download.jpg)
10 years ago
Mwananchi26 Apr
Watanzania waliokuwa Afrika Kusini warudishwa
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NUjrtbHwjL4/XuYt-ZH4-II/AAAAAAACNTE/wqg1VVyvam05lCZJEJU7bEtjj2BGMEiPQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200614_170117.jpg)
WATANZANIA 57 WALIOKUWA WAMEKWANA AFRIKA KUSINI KUTOKANA NA CORONA WAREJEA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-NUjrtbHwjL4/XuYt-ZH4-II/AAAAAAACNTE/wqg1VVyvam05lCZJEJU7bEtjj2BGMEiPQCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200614_170117.jpg)
10 years ago
Vijimambo25 Apr
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - WATANZANIA WALIOKWAMA AFRIKA KUSINI WAREJEA NYUMBANI
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/56/COA_Tanganyika_1.jpg/118px-COA_Tanganyika_1.jpg)
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIWATANZANIA WALIOKUWA AFRIKA KUSINI WAMEREJEA NYUMBANI Kundi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-19pDQzx8Aww/XtvJ_5UNMFI/AAAAAAALs0Q/hwNoZcwF7O0qE4ZlQc8e_zryVOoopcmCwCLcBGAsYHQ/s72-c/s6.jpg)
KUNDI LA PILI LA WATANZANIA WALIOKWAMA AFRIKA KUSINI LINATARAJIWA KUREJEA NYUMBANI MAPEMA WIKI IJAYO
Kundi la pili la Watanzania waliokwama nchini Afrika Kusini kutokana na Lockdown nchini humo iliyosababishwa na ugonjwa wa Corona linatarajia kurejeshwa nchini mwanzoni mwa wiki ijayo mara tu baada ya taratibu za safari hiyo kukamilika, imefahamika.
Kwa mujibu wa ubalozi wa Tanzania nchini humo, jumla ya Watanzania 63 wamekuwa katika harakati za kutaka kurejea nyumbani lakini wamekwama kutokana na changamoto mbalimbali ikiwemo kuchelewa kwa vibali vya kusafiri nje...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-NwCvi8ZZOMM/VUi3LCGbv5I/AAAAAAAHVfE/nW94eGuWKYw/s72-c/20150505052316.jpg)
KUNDI LINGINE LA WATANZANIA 40 WALIOKUWA WAKIISHI NCHINI YEMEN WAREJESHWA NYUMBANI LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-NwCvi8ZZOMM/VUi3LCGbv5I/AAAAAAAHVfE/nW94eGuWKYw/s640/20150505052316.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wjF8OIOTNvg/VUi3LPrWZ3I/AAAAAAAHVfA/3B3AkHSAIAc/s640/20150505052316m.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NwCvi8ZZOMM/VUi3LCGbv5I/AAAAAAAHVfE/nW94eGuWKYw/s72-c/20150505052316.jpg)
NEWS ALERT: KUNDI LINGINE LA WATANZANIA 40 WALIOKUWA WAKIISHI NCHINI YEMEN WAREJESHWA NYUMBANI LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-NwCvi8ZZOMM/VUi3LCGbv5I/AAAAAAAHVfE/nW94eGuWKYw/s1600/20150505052316.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wjF8OIOTNvg/VUi3LPrWZ3I/AAAAAAAHVfA/3B3AkHSAIAc/s1600/20150505052316m.jpg)
10 years ago
Habarileo21 Apr
‘Watanzania hawajafa Afrika Kusini’
SERIKALI imesema hakuna Mtanzania aliyekufa Afrika Kusini, licha ya watu kadhaa kutoka mataifa mengine kupoteza maisha.