TANAPA YAWATUNUKU VYETI WAHARIRI NA WAANDISHI WA HABARI WAANDAMIZI WALIOSHIRIKI KONGAMANO JIJINI MWANZA
Mkurugenzi Mkuu wa Hifadhi za Taifa,Tanzania(TANAPA) Allan Kijazi akimkabidhi Cheti ,Mwandishi mwandamizi wa Gazeti la Raia Mwema na RAIA Tanzania kanda ya kaskazini Paul Sarwat ,Cheti hicho ni cha ushiriki wa kongamano la Wahariri wa habari toka vyombo mbalimbali vya habari nchini wakiwemo waandishi wa habari waandamizi lililofanyika jijini Mwanza na kuandaliwa na TANAPA.
Mkurugenzi Mkuu wa Hifadhi za Taifa,Tanzania(TANAPA) Allan Kijazi akimkabidhi Cheti ,Mwandishi mwandamizi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziTANAPA YAWAKUTANISHA WAHARIRI TOKA VYOMBO MBALIMBALI VYA HABARI NCHINI, JIJINI MWANZA
11 years ago
MichuziMIJADALA YA UTALII,UHIFADHI,UJANGILI NA UJIRANI MWEMA WATAWALA KONGAMANO LA TANAPA NA WAHARIRI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rg1uE1fTLQI/VZD_UuFronI/AAAAAAAHlfI/w1eXi298Cvw/s72-c/1.jpg)
TANAPA YAANDAA SEMINA YA WAJIBU WA VYOMBO VYA HABARI KATIKA KUKUZA UTALII JIJINI MWANZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-rg1uE1fTLQI/VZD_UuFronI/AAAAAAAHlfI/w1eXi298Cvw/s640/1.jpg)
Katika ufunguzi wa Warsha hiyo,Ndugu Kijazi alisema kuwa, Kauli mbiu ya Mkutano wa mwaka...
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Wahariri na waandishi wa habari wapewa semina ya uhifadhi wa mazingira
Meneja Uhifadhi wa Shirika la Utunzaji wa Mazingira WWF Tanzania, Dr. Amani Ngusaru ,akizungumza na wahariri na waandishi wa habari kutoka vyombo vya habari mbalimbali katika semina ilioandaliwa na (WWF) iliofanyika Disemba 2-3, 2014 mkoani Morogoro juu ya utunzaji wa mazingira ili kuleta uwiano sawa wa rasilimali zinazopatikana maeneo mbalimbali nchini.(PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON).
Mkurugenzi wa Shirika la Utunzaji wa Mazingira WWF Tanzania Bw. Bell’Aube Houinato akielezea malengo...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZU1RwfOmNRg/U4ATmPavEiI/AAAAAAAAD2E/VqJR5lmCTb8/s72-c/10271513_803859216293513_1431705123531836857_n.jpg)
WAANDISHI 10 WAFIKA FAINALI TUZO ZA HABARI ZA TANAPA ZA 2013.
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZU1RwfOmNRg/U4ATmPavEiI/AAAAAAAAD2E/VqJR5lmCTb8/s1600/10271513_803859216293513_1431705123531836857_n.jpg)
Jumla ya Waandishi wa Habari 10 wamefanikiwa kufikia hatua ya fainali ya Tuzo za Uandishi wa Habari za Shirika la Hifadhi za Taifa za mwaka 2013. Wanahabari waliofanikiwa kufika hatua ya fainali ni pamoja na Frank Leonard (Habari Leo), Jackson Kalindimya (Nipashe), Humphrey Mgonja (Radio...
10 years ago
Vijimambo20 Apr
TMF, UN YATOA VYETI KWA WANAHABARI WAANDISHI WA HABARI ZA DAWA ZA KULEVYA
![Mgeni rasmi wa hafla hiyo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju (kulia) akimkabidhi cheti mmoja wa wahitimu katika hafla ya wanahabari na wahariri waliohitimu mafunzo ya ubobezi katika kuandika habari za dawa za kulevya na uandishi wa habari za maendeleo ya malengo ya milenia wakiwa katika hafla ya kukabidhiwa vyeti.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_0271.jpg)
![Mwakilishi wa Mmoja wa Mataifa na Mkuu wa Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa Tanzania, Dk. Jama Gulaid (kulia) akimpongeza mmoja wa wanahabari kabla ya kupokea cheti chake katika hafla ya wanahabari na wahariri waliohitimu mafunzo ya ubobezi katika kuandika habari za dawa za kulevya na uandishi wa habari za maendeleo ya malengo ya milenia wakiwa katika hafla ya kukabidhiwa vyeti.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_0280.jpg)
11 years ago
Michuzi04 Mar
11 years ago
Michuzi21 Jun
WAANDISHI WA HABARI WA MKOA WA NJOMBE WAKABIDHIWA VYETI VYA USHIRIKI WA MAFUNZO YALIYOTOLEWA NA MCT
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*Cpnqx5EwM5AbApsmEh0GTx48VPYnIVkV-NGAebw6z4Lng4L-xe7*GftJVWlhW2HLBvx5PhjwGCedbIIWUIxxoml/Aloyce1.jpg?width=650)
WAHARIRI WAANDAMIZI WAHAMASIKA NA KUJIUNGA RASMI KATIKA MPANGO MAALUM WA KUJIWEKEA AKIBA (VSRS) KATIKA MFUKO WA GEPF WAKATI WA SEMINA MAALUM YA JUKWAA LA WAHARIRI ILIYOFANYIKA MJINI MTWARA