Waandishi wa habari wasaidia wanavijiji nchini kusikika kupitia sauti zao
Mraghabishi mwalimu Revocatus Renatus (kulia) wa kijiji cha Unyanyembe mkoani Shinyanga akihojiwa na mtangazaji wa Redio Free Africa Felista Kujirilwa wakati wa kuandaa moja ya vipindi vya redio vya Chukua Hatua.
“Haijatokea hata siku moja mwandishi wa habari akaja huku kwa kweli. Hii ni mara yangu ya kwanza kuona wanahabari katika kijiji chetu. Toka nimezaliwa sijawahi kumuona mwandishi wa habari kuja hapa na mimi nina miaka 70.”
Hayo ni maneno ya Mzee Titus Ndugulile mraghabishi wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi04 Mar
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
LILIAN LIHUNDI: Nguvu ya pamoja itafanikisha sauti za wanawake kusikika
HIVI karibuni tumeshuhudia Bunge Maalum la Katiba likimaliza kazi yake na kukabidhi Katiba inayopendekezwa kwa Rais Jakaya Kikwete huku ikiwa imebeba Ibara 289. Taasisi mbalimbali zimeanza mchakato wa kuichambua katiba...
10 years ago
MichuziWAANDISHI WA HABARI KUTOKA VYOMBO MBALIMBALI WAKISUBIRI JINA LA MGOMBEA URAIS KUPITIA UKAWA USIKU HUU
Afisa Habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),Tumaini Makene akizungumza na waandishi habari hivi punde juu kinachoendelea katika mkutano wa kutafuta mgombea wa Urais kwa tiketi ya UKAWA, uliofanyika katika Hoteli ya Colesseum jijini Dar es Salaam,Makene amesema majadiliano hayo sio urais tu bali kuna mipaka ya majimbo mapya jinsi watavyojipanga katika kushiriki uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu. Makene amezidi kuwataka waandishi wawe na subira kusubiri maamuzi...
10 years ago
Dewji Blog26 Mar
TASWA yawapiga msasa waandishi wa habari za michezo nchini
Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT), Bw. Dioniz Malinzi, akimkabizi cheti Rajabu Mhamila baada ya mafunzo ya uhandishi wa habari kulia ni mwenyekiti wa TASWA Juma Pinto na Katibu Mkuu wa Mchezo wa Riadha nchini Suleiman Nyambu … (RT)
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila ‘Super D’ kulia akibadilishana mawazo na mwalimu wake wa habari za michezo Salim Said Salim wakati wa mapumziko mafupi ya mafunzo hayo yaliyoratibiwa na Taswa jana.
Baadhi ya waandishi...
10 years ago
MichuziWAANDISHI WA HABARI WANAOENDA NCHINI MALAWI WAAGWA RASMI
10 years ago
Michuzi19 Jun
Fastjet yafadhili ziara ya waandishi wa habari wa Tanzania nchini Zimbabwe
10 years ago
GPLFASTJET YAFADHILI ZIARA YA WAANDISHI WA HABARI WA TANZANIA NCHINI ZIMBABWE
10 years ago
MichuziMUHTASARI WA HABARI KATIKA TV MBALIMBALI NCHINI LEO KUPITIA SIMU TV
Zimekusanywa na Samuel Kamugisha
CHANNEL 10*Baraza la Taifa la elimu ya ufundi NACTE lafuta usajili wa vyuo 3 na 16 kushushwa hadhi katika jitihada za kulinda ubora wa elimu nchini. http://youtu.be/2HosRmHz7lU
*Jaji Augustino Ramadhani apata wadhamini mkoani Kilimanjaro huku akisema endapo atachaguliwa atashirikiana na wagombea wenziwe. http://youtu.be/qU7V9hQfIlI *Kada wa CCM Edward Lowassa asema hababaishwi na kashfa,vitisho na matusi anavyokumbana navyo kwani ana nia ya dhati ya kuongoza...
10 years ago
Vijimambo14 Jan
Waandishi wa habari nchini Uganda waandamana kudai mazingira salama ya kufanya kazi.
Moja ya story zilizochukua headlines kutoka Uganda leo January 13, ni ile inayohusu Waandishi wa habari nchini humo kuandamana baada ya Afisa wa Polisi Joram Mwesije, kumpiga mwandishi Adrew Lwanga, na baadae akakutana na Ispekta wa Polisi na kukiri makosa yake,...