Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LILIAN LIHUNDI: Nguvu ya pamoja itafanikisha sauti za wanawake kusikika

HIVI karibuni tumeshuhudia Bunge Maalum la Katiba likimaliza kazi yake na kukabidhi Katiba inayopendekezwa kwa Rais Jakaya Kikwete huku ikiwa imebeba Ibara 289. Taasisi mbalimbali zimeanza mchakato wa kuichambua katiba...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Waandishi wa habari wasaidia wanavijiji nchini kusikika kupitia sauti zao

1

Mraghabishi mwalimu Revocatus Renatus (kulia)  wa kijiji cha Unyanyembe mkoani  Shinyanga akihojiwa na mtangazaji wa Redio Free Africa Felista Kujirilwa wakati wa  kuandaa  moja ya vipindi vya redio vya Chukua Hatua.

“Haijatokea hata siku moja mwandishi wa habari akaja huku kwa kweli. Hii ni mara yangu ya kwanza kuona wanahabari katika kijiji chetu. Toka nimezaliwa sijawahi kumuona mwandishi wa habari kuja hapa na mimi nina miaka 70.”

 Hayo ni maneno ya Mzee Titus Ndugulile mraghabishi wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Lilian: Serikali iwatetee wanawake

MGOMBEA wa nafasi ya uenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), Lilian Wasira, ameitaka serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutambua kuwa waliwekwa madarakani na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

LILIAN LIUNDI : Mikataba kutetea haki za wanawake iwe shirikishi

SIKU ya Wanawake Duniani huadhimishwa kila ifikapo Machi 8  ya kila mwaka. Katika siku hii wanawake wote duniani huungana kutetea haki zao, kutafakari michango yao katika jamii, mafanikio na changamoto...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Sauti:Sala ya Pamoja Lumumba,Zanzibar

Salma Said, Taasisi za Kiislamu kwa kushirikiana na Jumuiya ya Maimamu Zanzibar (JUMAZA) zimefanya sala na dua ya pamoja leo kwa lengo la kumuelekea Mwenyeenzi Mungu ili awavushe salama watanzania wote katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika […]

The post Sauti:Sala ya Pamoja Lumumba,Zanzibar appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Habarileo

Alikiba, Mafikizolo, Sauti Sol kutumbuiza pamoja Dar

MWANAMUZIKI wa Tanzania Alikiba na Feza Kessy watapanda jukwaa moja na wakali Mafikizolo na Black Motion zote za Afrika Kusini katika tamasha la muziki la Party in the Park litakalofanyika Jumamosi jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Michuzi

NCHI ZA AFRIKA ZIWEKEZE NGUVU YA PAMOJA KUPAMBANA NA EBOLA

 Dokta Julius Julian Lutwan kutoka Uganda akitoa mada kwa wadau mbalimbali wa afya kutoka katika mashirika na taasisi mbalimbali za Afrika na Ulaya zinazoshughulikia masuala ya afya katika warsha ya siku mbili inayofanyika mkoani Arusha kujadili njia bora za kupambana na magonjwa ya mlipuko kama Ebola na mengineyo katika bara la Afrika na kwingineko dunia.
Mkurugenzi wa taasisi ya utafiti wa mambo ya afya ya CORDS ya nchini Ufaransa Professa Nigel Lightfoot akitoa mada kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Ukimwi bado ni tatizo linalohitaji nguvu ya pamoja ili kulimaliza

Tangu ugonjwa wa Ukimwi ugundulike nchini yapata miaka 35 iliyopita, zimeibuka changamoto nyingi za namna ya

 

9 years ago

Dewji Blog

Watoto wa wahadhiri wa UDSM wajumuika pamoja kwenye ‘get together’ ya nguvu

Watoto wa Chuo waliowahi kuishi chuoni hapo wakiwa kwenye picha ya pamoja hakika hii ilikuwa ni party ya nguvu.

Watoto wa chuo waliokuwa wakiishi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)  wakati wazazi wao wakiwa ni wahadhiri katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Ili kuweka ukaribu watoto hao wamekutana na kufanya party ya nguvu hivi karibuni katika viwanja vya UDSM hii ikiwa ni kurudisha ukaribu pamoja na kufahamiana kwa wale waliopotezana miaka kadhaa chuoni hapo.

Hakika ilikuwa ni...

 

10 years ago

GPL

MAPAMBANO YA UKATILI YANAITAJI NGUVU ZA PAMOJA - TUME YA HAKI ZA BINADAMU

Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP, Katibu Mtendaji Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora –Tanzania, Bi. Mary Massay akizungumza. Kaimu Mkurugenzi wa TGNP Mtandao, Bi. Lilian Liundi akizungumza katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani