Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukimwi bado ni tatizo linalohitaji nguvu ya pamoja ili kulimaliza

Tangu ugonjwa wa Ukimwi ugundulike nchini yapata miaka 35 iliyopita, zimeibuka changamoto nyingi za namna ya

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Vyeti feki ni tatizo linalohitaji ufumbuzi haraka

Watanzania tumejijengea utamaduni wa ajabu, wa kujiuza kwa kutumia vyeti feki. Tatizo hilo lilianza kidogokidogo katika miaka ya 1980 na sasa limekuwa jambo la kawaida na maarufu.

 

5 years ago

Michuzi

ASASI ZA KIRAIA ZAUNGANA WILAYANI ILALA KWA AJILI YA KUJENGA NGUVU YA PAMOJA ILI KUKABILIANA NA ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI

 Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu ya jamii

KUENDELEA kukithiri kwa athari za mabadiliko ya tabia ya nchi wilayani Ilala jijini Dar es Salaam , asasi mbalimbali za kiraia wilayani humo  zimeungana kwa ajili ya kujenga nguvu ya pamoja kuhakikisha wanakabiliana na athari zitokanazo na mabadiliko ya tabia yanchi.

Miongoni mwa nguvu wanayotaka kujenga katika wilaya hiyo ni pamoja na  kuhakikisha kunakuwa wa kutosha kwa jamii kuhusu mabadiliko ya tabianchi ambapo watapata nafasi   na uwezo wa kuripoti...

 

10 years ago

Michuzi

TATIZO LA RUSHWA YA NGONO BADO NI TATIZO TANZANIA.

Jaji mstaafu wa mahakama ya rufaa nchini tanzania mama EUSEBIA MUNUO  ambaye alikuwa ndiye mkufunzi katika mafunzo hayo yaliyoendeshwa leo jijini Dar es salaam  Rushwa ya ngono pamoja na matumizi mabaya ya madaraka yametajwa kuwa ni moja kati ya matatizo makubwa ambayo yamezidi kuweka mizizi nchini tanzania na kuwaadhiri wasichana wengi huku sheria ikishindwa kuweka wazi adhabu mahususi ili kuwabana wanaohusika katika swala hilo. Hayo yamesemwa leo jijini dare s salaam na Jaji...

 

11 years ago

GPL

MKE: NILIOLEWA ILI NIAMBUKIZWE UKIMWI

Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela
UKISIKIA simulizi ya Hafsa Ramadhani (19) itakutia simanzi, itakutesa moyo na kukutoa machozi, huwezi kuamini aliingia kwenye ndoa bila kujua kuwa alikuwa akienda kukutana na ugonjwa wa ukimwi, Risasi Mchanganyiko linakufunulia. Hafsa Ramadhani. Habari kutoka chanzo chetu cha kuaminika zinasema, binti huyo alifanyiwa mipango ya ndoa bila yeye na mumewe huyo kupima kwanza maambukizi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya miaka 30, ukimwi bado tishio

Zaidi ya miaka 30 tangu mgonjwa wa kwanza wa ukimwi kugunduliwa Tanzania, lakini madhara yake bado yanaonekana: kiuchumi na jamii.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukimwi bado upo, tusibweteke tuchukue hatua

Dunia yote leo inafanya kumbukumbu ya siku ya Ukimwi, ugonjwa ambao kwa zaidi ya miaka 30 umeitetemesha jamii kutokana na kutokuwa na tiba wala kinga.

 

11 years ago

Habarileo

Ukimwi, malaria bado tishio kwa Taifa

MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amewataka Watanzania kutambua kuwa magonjwa ya Ukimwi na malaria, bado ni tishio kwa Taifa na ni lazima mapambano dhidi ya magonjwa hayo, yaendelee. Alisema hayo alipokuwa akizindua mbio za Mwenge wa Uhuru kwenye Uwanja wa Kaitaba mjini hapa jana.

 

9 years ago

Global Publishers

Tatizo la nguvu za kiume, maana yake na tiba-3

blonde-woman-looking-at-unhappy-man-in-bedWiki iliyopita tuliangalia tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na tuliangalia utangulizi wa mada hii, leo ningependa kuendelea na vyanzo vinavyosababisha tatizo hilo.

Zifuatazo ni baadhi ya sababu zinazosababisha upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume walio wengi:

Kujichua kwa muda mrefu
Mtu anapojichua anakuwa anaiminya mishipa inayosababisha kusimama kwa uume, baada ya muda fulani, mishipa hiyo huishiwa nguvu na kulegea hivyo linapokuja suala la kusimamisha uume, mwanaume husika anakuwa...

 

9 years ago

Global Publishers

Tatizo la nguvu za kiume, maana yake na tiba-2

unhappy-young-couple-sitting-on-bedTatizo la kupungukiwa nguvu za kiume linaweza kuwa na sababu za kihisia Emotional Causes lakini sababu nyingine hutokana na maradhi kama vile kisukari na shinikizo la juu la damu.

Inakadiriwa kuwa asilimia 50 hadi 60 ya wanaume wenye maradhi ya kisukari wana tatizo la uume kushindwa kusimama. Watu wanaosumbuliwa na kiharusi na ulevi nao wana hatari kubwa sana kwa sababu ya uharibifu wa korodani Testicles kutokana na ulevi sugu na kupoteza Testerone. Pombe hupunguza kwa kiasi kikubwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani