Ukimwi, malaria bado tishio kwa Taifa
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amewataka Watanzania kutambua kuwa magonjwa ya Ukimwi na malaria, bado ni tishio kwa Taifa na ni lazima mapambano dhidi ya magonjwa hayo, yaendelee. Alisema hayo alipokuwa akizindua mbio za Mwenge wa Uhuru kwenye Uwanja wa Kaitaba mjini hapa jana.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Hakuna kulala malaria bado tishio
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Zaidi ya miaka 30, ukimwi bado tishio
11 years ago
Habarileo03 Apr
Ukimwi wazidi kuwa tishio kwa watoto
HATARI ya kuongezeka kwa vifo vya watoto vinavyotokana na upungufu wa kinga mwilini (Ukimwi) na maradhi nyemelezi, inatishia taifa.
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Kwa nini malaria ni tishio kwa mama mjamzito?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7MiX7rpWSExbZbWYeF0yPQ8rvPtyAoCfcK1BOqcjDBRR56mUz9stiptrSNrh8yXNApocotm6bOrdjUY81YDeAsyt/SIKUYAUKIMWI.jpg?width=650)
SIKU YA UKIMWI DUNIANI; MKOA WA NJOMBE BADO UNAONGOZA KWA MAAMBUKIZI
10 years ago
BBCSwahili21 Aug
Ebola bado ni Tishio
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Ebola bado tishio
10 years ago
BBCSwahili23 Sep
11 years ago
Tanzania Daima25 Jan
Ukoma nchini bado tishio
TANZANIA imetajwa kuwa ni miongoni mwa nchi 17 duniani ambazo zipo katika viwango vya juu vya wagonjwa wa ukoma. Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid, alitoa...