MKE: NILIOLEWA ILI NIAMBUKIZWE UKIMWI

Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela UKISIKIA simulizi ya Hafsa Ramadhani (19) itakutia simanzi, itakutesa moyo na kukutoa machozi, huwezi kuamini aliingia kwenye ndoa bila kujua kuwa alikuwa akienda kukutana na ugonjwa wa ukimwi, Risasi Mchanganyiko linakufunulia. Hafsa Ramadhani. Habari kutoka chanzo chetu cha kuaminika zinasema, binti huyo alifanyiwa mipango ya ndoa bila yeye na mumewe huyo kupima kwanza maambukizi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Jan
Ukimwi bado ni tatizo linalohitaji nguvu ya pamoja ili kulimaliza
10 years ago
GPL
UNAJENGA UKARIBU NA MKE, MPENZI WA MTU ILI IWEJE?
10 years ago
Bongo511 Nov
Amini: Nataka mke wangu ajifungue mtoto wa kiume ili awe mwanasheria
11 years ago
CloudsFM29 May
HUYU NDIYE MTOTO ALIYEFUNGIWA NDANI YA BOKSI KWA MIAKA MINNE NA MAMA YAKE MLEZI ILI ASIMWAMBUKIZE VIRUSI VYA UKIMWI
Mtoto wa miaka minne (jina limehifadhiwa), amedhulumiwa haki yake ya utu na kuteswa kwa zaidi ya miaka mitatu, kwa kufungiwa ndani ya boksi kama mnyama, ili asimuambukize mama mlezi virusi vinavyosababisha Ukimwi.
Wakizungumza na...
9 years ago
GPL
THEA: NIMESAHAU KAMA NILIOLEWA!
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Niliolewa na Mganga kwa Tamaa ya Cheo
ILIPOISHIA:
“Kwani unaniona nafanya nini?” Rose alimjibu kwa mkato huku akimtengeneza mtoto aliyekuwa mgongoni.
SASA ENDELEA…
“Na…na…na huyu si…si…si shoga yako nani kweli?”
“Eflazia,” nilimjibu nikiwa nambembeleza mwanangu aliyekuwa anataka kulala.
“Jamani hii si kawaida kuna kitu, watoto wazuri kama ninyi kuja kwa kibabu hiki si bure lazima kuna kitu,” mama Sabuni alilalamika kwa sauti ya huzuni nilimsikia lakini sikumuelewa.
“Bibi eeh fuata kilichokuleta ya huku mengine hayakuhusu,” Rose...
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Niliolewa na mganga kwa tamaa ya cheo kazini-46
ILIPOISHIA:
Katika miaka tisa ambayo niliondoka nyumbani nilishukuru Mungu familia yangu niliikuta ipo katika hali nzuri japokuwa nilikuwa nimempoteza baba yangu kipenzi miaka mitatu iliyokuwa imepita. Nyumba yangu aliyokuwa akiisimamia mama ilikuwa imeisha wakati huo ilikuwa imepangishwa kwa kampuni moja.
Kwa kweli kila nilivyofikiria dhamira yangu na sehemu niliyoangukia muda mwingi nilikuwa nikilia huku nikiwaangalia watoto wangu wadogo wasio na baba tena wenye afya dhaifu.SASA...
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Niliolewa na mganga kwa tamaa ya cheo kazini-44
ILIPOISHIA:
Niliingia ndani na kujitupa kitandani, pamoja ilikuwa burudani lakini iliniacha hoi. Niliamka saa sita za usiku nikiwa na njaa kali. Nilipata chakula kisha nilioga na kurudi kitandani, kutokana na uchovu nilipogusa kitandani usingizi mzito ulinichukua.
Huwezi kuamini usiku mzima njozi zote zilikuwa kwa babu Sionjwi mpaka kunakucha.
SASA ENDELEA..
Niliposhtuka kitandani na kujikuta peke yangu nilijikuta nikiingia unyonge na kujilaumu kumrudisha mapema heri ningeachana naye jioni...
11 years ago
Michuzi.jpg)
MKE WA RAIS MAMA MWANAMWEMA AKUTANA MKE WA MFALME MUSWATI
.jpg)
.jpg)