Amini: Nataka mke wangu ajifungue mtoto wa kiume ili awe mwanasheria
Msanii wa muziki Amini ambaye mke wake ni mjamzito amesema kuwa anaomba mke wake ajifungue mtoto wa kiume ili mwanae aje kuwa mwanasheria na sio mwanamuziki. Katikati ni msanii wa muziki Amini akiwa na mke wake pamoja na mtu wao wa karibu Akizungumza na waandishi wa habari katika sherehe za kuagwa na wanafunzi wenzake wa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo516 Jan
Mabeste: Huu ndo ukweli wa kuugua kwa mke wangu! Na aliyejaribu kumuua mke wangu na mtoto!
9 years ago
Bongo529 Dec
Mama wa Mtoto wangu wa nne ndiye atakuja kuwa mke wangu – Nay Wa Mitego
![Chagga-na-Nay](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Chagga-na-Nay-300x194.jpg)
Nay Wa Mitego ni staa ambaye miezi michache iliyopita alikuwa hakosekani kwenye ‘headlines’ kutokana na uhusiano wa kimapenzi na muigizaji wa Bongo movie, Shamsa Ford uliokuwa ukifatiliwa sana na mashabiki wao.
Uhusiano wa Nay na Shamsa ambao kwa mujibu wa Nay ulidumu kwa takribani miezi mitano, ulizaliwa muda mfupi baada ya Nay kuachana na mama wa mtoto wake wa tatu Curtis, Siwema ambaye baada ya kujifungua mtoto huyo waliachana na Nay kumchukua mwanaye.
Chagga Barbie na Nay Wa Mitego
Siku...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I4Lv7uhzCAEUNgD0WvmfRmpWsB5xRr3qSufaSJFxJXZmOgXFJDnYDzZdzcrd0viVZU1mS*FPmnrsY-iM0nyEx2M5JqVFFAEV/Mpoto.jpg?width=650)
MPOTO: NATAKA MSIBA WANGU UWE MKUBWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPv7bgMctJAOp*3aj3SD*CUQS7tCv1wesyneddiglLAYKsM0c1fvSyoRTimahG2xFc1grNQka*hOjjUs0wsIJ9zA/kadinda.jpg)
KADINDA: NILITAMANI WEMA AWE WANGU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wTFR6FHHG9KENLTAVmYwor84yhMq-s3N0i808dymZ3QrmkJGwF0RtOWL-lvib8iBr8NjqlXHTnzKXZFdiJIfVxdeYOVdbRgB/1551651_1554018698193229_4950762608629231913_n.jpg)
MAHABA NIGARAGAZE, ADUI AWE ‘BABY’ WANGU
10 years ago
Vijimambo23 Sep
MREMBO ALILIA MILIONI TANO ILI AWE KAMA ZAMANI
MSICHANA Zuhuru Juma (27) mkazi wa Temeke jijini Dar, ambaye mguu wake mmoja umevimba kiasi cha kufikisha uzito wa kilo 75 na kumsababishia maumivu makali, anahitaji kiasi cha shilingi 5,000,000 ili aweze kufanyiwa upasuaji nchini India.Msichana Zuhuru Juma (27) mkazi wa Temeke jijini Dar, ambaye mguu wake mmoja umevimba kiasi cha kufikisha uzito wa kilo 75.Uvimbe huo unaomfanya alie kila mara uliifanya Kampuni ya Global Publishers kwa kushirikiana na Kipindi cha Mimi na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYjVHt7jDR72OwpHVdeKMIaK9gW2Zyd7vLR8pjP-MO4isqXd4z4CQAdRmTDP1m1dYXpJJ9eBBoQ5-OyoDfbkk-x7/mrembo.jpg)
MREMBO ALILIA MILIONI TANO ILI AWE KAMA ZAMANI
10 years ago
Bongo Movies16 Mar
Shamsa Ford: Hawa Ndio Mastaa Wangu wa Tano wa Kiume Hapa Bongo
“Kwa upande wangu mimi kuna wanaume wa 5 ambao huwa nasemaga ni mastaa kupitiliza, yaani naamanisha akipita mtaani ni shida na kila mtu lazima ajue msanii kapita.. (1)Mzee majuto (2)Mboto (3)Kingwendu(4)Joti(5)Jacob……Hawa watu kwanza wanaongoza sana kupendwa na watoto yaani wakipita mtaani ni shida.aisee Mungu awabariki....na wewe nitajie wako 5 unaona wakipita mtaani kwako inakuwaga ni hekaheka”-Shamsa aliandika mtandaoni.
Hebu na sisi tuwataje wetu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT3bqvpBQvL9S0iLSFRHtWTwj-J7we7BjVnIOus3hDkXsyFLZUVItzRZIjpyCQ7K*1eHCBHNxNGRXj2yqI92Ds5p/Tiko.jpg)
TIKO: NATAKA MTOTO WA PILI, WA KUNIPA MIMBA SINA