MREMBO ALILIA MILIONI TANO ILI AWE KAMA ZAMANI
Stori: Imelda Mtema
MSICHANA Zuhuru Juma (27) mkazi wa Temeke jijini Dar, ambaye mguu wake mmoja umevimba kiasi cha kufikisha uzito wa kilo 75 na kumsababishia maumivu makali, anahitaji kiasi cha shilingi 5,000,000 ili aweze kufanyiwa upasuaji nchini India.Msichana Zuhuru Juma (27) mkazi wa Temeke jijini Dar, ambaye mguu wake mmoja umevimba kiasi cha kufikisha uzito wa kilo 75.Uvimbe huo unaomfanya alie kila mara uliifanya Kampuni ya Global Publishers kwa kushirikiana na Kipindi cha Mimi na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYjVHt7jDR72OwpHVdeKMIaK9gW2Zyd7vLR8pjP-MO4isqXd4z4CQAdRmTDP1m1dYXpJJ9eBBoQ5-OyoDfbkk-x7/mrembo.jpg)
MREMBO ALILIA MILIONI TANO ILI AWE KAMA ZAMANI
9 years ago
Bongo514 Nov
Mrembo huyu ndiye sababu iliyomfanya Nisher awe kimya? (Picha)
![12237118_1529233004034970_1250876929_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12237118_1529233004034970_1250876929_n-300x194.jpg)
Muongozaji wa video, Nisher amemweka wazi mpenzi wake.
Nisher aliyewahi kushinda tuzo za muongozaji wa video zinazopendwa kwenye Tuzo za Watu, amemweka wazi mrembo huyo kwenye Instagram.
Kwa wengi mrembo huyo anaweza kuwa ndio sababu ya ukimya wake kwenye uongozaji wa video. Hivi karibuni muongozaji huyo mwenye makazi yake jijini Arusha alidai kuwa anafikiria kuoa na pengine mpango huo unaweza kufanyika mapema zaidi.
“Umri wangu unaenda,” Nisher aliiambia Bongo5, September 12 mwaka...
10 years ago
Vijimambo08 Jun
TUNAHITAJI RAIS AWAMU YA TANO AWE MZALENDO SIO MSAKA TONGE
![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/23.jpg)
Nimekuwa Msaidizi wa Viongozi mbalimbali na...
10 years ago
Bongo511 Nov
Amini: Nataka mke wangu ajifungue mtoto wa kiume ili awe mwanasheria
10 years ago
Mtanzania10 Nov
Lowassa: Kiongozi awe na ngozi kama ya tembo
![Edward Lowassa](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Edward-Lowassa.jpg)
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa
NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowasa amesema viongozi wenye maono na wasioogopa kusemwa ndio wanaotakiwa katika dunia ya sasa.
Lowasa aliyasema hayo jana alipokuwa akizindua helkopta ya Kanisa la Ufufuo na Uzima na vitabu tisa vilivyoandikwa na Askofu wa kanisa hilo, Josephat Gwajima.
“Hapa duniani kuna viongozi wa aina mbili, kuna viongozi ambao kazi yao ni kusimamia mahesabu na viongozi wenye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaKbPBIekOqTykBdW98cq*yXV7hol7wMo9XPb7q-Gk7RoX8FvGHv00nhFwVLDpa7lM1Tb1ySd0FtdYnP2rF1R93G/Mtoto.jpg?width=640)
MAMA: NISAIDIENI MWANANGU AWE KAMA WATOTO WENGINE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycNX-4H2V46BAb5VLsC62N5u-ZRE9Clovc8i4-kKXu2YUUVHeNKxCKd4jddRR0OL9V-0SJLsMOmUgKQw6pS5w4cg/abambwa.jpg?width=650)
MSANII BONGO MUVI ABAMBWA MAKABURINI AWE KAMA WEMA NA LULU
9 years ago
Vijimambo18 Sep
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ov90wJC7zCwCAnSr46qVSIH9K37*XqsI4YNqZ66UKGqFgelbGa9f359c7-Gnd5i4aWE1yCSx3rJZXCrPlmtqmFi9mb61ne7P/jb.jpg)
JB NAWEZA KUWA KAMA ZAMANI