Lowassa: Kiongozi awe na ngozi kama ya tembo
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa
NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowasa amesema viongozi wenye maono na wasioogopa kusemwa ndio wanaotakiwa katika dunia ya sasa.
Lowasa aliyasema hayo jana alipokuwa akizindua helkopta ya Kanisa la Ufufuo na Uzima na vitabu tisa vilivyoandikwa na Askofu wa kanisa hilo, Josephat Gwajima.
“Hapa duniani kuna viongozi wa aina mbili, kuna viongozi ambao kazi yao ni kusimamia mahesabu na viongozi wenye...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2014/02/leadtheway_21x16-5.jpg?width=600)
MAMBO 6 YANAYOMFANYA MTU AWE KIONGOZI BORA NA SIO BORA KIONGOZI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-opVqv1B_rKA/UxDQOLryiNI/AAAAAAAFQU0/SsDr1lsr3y0/s72-c/leadtheway_21x16-5.jpg)
MAMBO 6 YANAYOMFANYA MTU AWE KIONGOZI BORA NA SIO BORA KIONGOZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-opVqv1B_rKA/UxDQOLryiNI/AAAAAAAFQU0/SsDr1lsr3y0/s1600/leadtheway_21x16-5.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima09 Jul
Mola atujalie rais ajaye awe kiongozi asiwe mtawala
RAIS wangu, waliosoma kitabu cha Mwalimu Mkuu wa Watu ukurasa wa 96 imeandikwa; ‘Kijana mmoja mwenye hasira akamuuliza, sasa mheshimiwa unakwenda kwenu, ule uzalendo uliokuwa unaupigia baragumu unamwachia nani? Aliyekuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaKbPBIekOqTykBdW98cq*yXV7hol7wMo9XPb7q-Gk7RoX8FvGHv00nhFwVLDpa7lM1Tb1ySd0FtdYnP2rF1R93G/Mtoto.jpg?width=640)
MAMA: NISAIDIENI MWANANGU AWE KAMA WATOTO WENGINE
10 years ago
Vijimambo23 Sep
MREMBO ALILIA MILIONI TANO ILI AWE KAMA ZAMANI
MSICHANA Zuhuru Juma (27) mkazi wa Temeke jijini Dar, ambaye mguu wake mmoja umevimba kiasi cha kufikisha uzito wa kilo 75 na kumsababishia maumivu makali, anahitaji kiasi cha shilingi 5,000,000 ili aweze kufanyiwa upasuaji nchini India.Msichana Zuhuru Juma (27) mkazi wa Temeke jijini Dar, ambaye mguu wake mmoja umevimba kiasi cha kufikisha uzito wa kilo 75.Uvimbe huo unaomfanya alie kila mara uliifanya Kampuni ya Global Publishers kwa kushirikiana na Kipindi cha Mimi na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYjVHt7jDR72OwpHVdeKMIaK9gW2Zyd7vLR8pjP-MO4isqXd4z4CQAdRmTDP1m1dYXpJJ9eBBoQ5-OyoDfbkk-x7/mrembo.jpg)
MREMBO ALILIA MILIONI TANO ILI AWE KAMA ZAMANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycNX-4H2V46BAb5VLsC62N5u-ZRE9Clovc8i4-kKXu2YUUVHeNKxCKd4jddRR0OL9V-0SJLsMOmUgKQw6pS5w4cg/abambwa.jpg?width=650)
MSANII BONGO MUVI ABAMBWA MAKABURINI AWE KAMA WEMA NA LULU
9 years ago
Vijimambo07 Sep
LOWASSA AZUA SINTOFAHAMU BAADA YA KUSEMA CCM OYEE KWENYE MKUTANO WA UKAWA MSINDAI NAE NI KAMA LOWASSA JITIRIRIKIE MWENYEWE
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2860850/highRes/1112336/-/maxw/600/-/r63lu6z/-/lowasa_akilini.jpg)
Tabora/Manyoni/Dar. Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa jana alizua sintofahamu baada ya kusema; “CCM oyee”, kauli iliyowafanya wananchi hao kukaa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-6lBwATAtAks/VcCf0l2JfMI/AAAAAAAAA7Y/x-4eWlH_yXw/s72-c/1%2B%25281%2529.jpg)
Mkutano Mkuu wa CHADEMA wamempitisha Edward Lowassa kama mgombea Urais na Haji Duni kama mgombea Mwenza.
![](http://4.bp.blogspot.com/-6lBwATAtAks/VcCf0l2JfMI/AAAAAAAAA7Y/x-4eWlH_yXw/s640/1%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-d-NZ6oQiLRo/VcCkcrv0CvI/AAAAAAAAA7s/nxyfyCpAQro/s640/0.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uKFbKWC5sec/VcCf0i5OouI/AAAAAAAAA7c/1jmDKwUOGqI/s640/1%2B%25282%2529.jpg)