JB NAWEZA KUWA KAMA ZAMANI

MKONGWE wa filamu Bongo, Jacob Steven ‘JB’ amefunguka kwamba anaweza kuuweka kando ubonge na kurejea kwenye muonekano wake wa zamani kama atatakiwa kuwa hivyo. Mkongwe wa filamu Bongo, Jacob Steven ‘JB’ akila tizi. JB aliyasema hayo alipoulizwa kuhusiana na picha yake ya zamani inayomuonesha akiwa mwembamba sana tofauti na ubonge alionao sasa ambapo alijitetea kwamba yeye ni msanii na filamu ndizo...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo21 Nov
Ndugai-Msirudie, naweza kuwa mbabe
WAKATI Rais John Magufuli akieleza kusikitishwa na vitendo vya kitoto vilivyofanywa bungeni na Kambi ya Upinzani jana, Spika wa Bunge, Job Ndugai amewataka wabunge wasimfanye awe Spika mbabe.
10 years ago
Vijimambo
11 years ago
GPL
MREMBO ALILIA MILIONI TANO ILI AWE KAMA ZAMANI
11 years ago
Vijimambo23 Sep
MREMBO ALILIA MILIONI TANO ILI AWE KAMA ZAMANI
MSICHANA Zuhuru Juma (27) mkazi wa Temeke jijini Dar, ambaye mguu wake mmoja umevimba kiasi cha kufikisha uzito wa kilo 75 na kumsababishia maumivu makali, anahitaji kiasi cha shilingi 5,000,000 ili aweze kufanyiwa upasuaji nchini India.Msichana Zuhuru Juma (27) mkazi wa Temeke jijini Dar, ambaye mguu wake mmoja umevimba kiasi cha kufikisha uzito wa kilo 75.Uvimbe huo unaomfanya alie kila mara uliifanya Kampuni ya Global Publishers kwa kushirikiana na Kipindi cha Mimi na...
10 years ago
Bongo512 Mar
Matonya ataja sababu za kwanini ngoma zake hazihit kama zamani
10 years ago
Bongo Movies03 Feb
Mpenzi wa zamani wa Wema Sepetu athibitisha kuwa ZARI ni mjamzito
Mwanamuziki maarufu nchini na sehemu nyingi za dunia – Diamond Platnumz ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa mwanadada Wema Sepetu ameendelea kuuhakikishia ulimwengu kuwa, mpenzi wake wa sasa ZARI al-maarufu kama “The boss lady”, ni mama mtarajiwa aliyebeba ujauzito wa msanii huyo nguli nchini na kwamba hii sio project nyingine.
Huku akitumia mafumbo kwenye maneno yake ambayo wataalamu wetu wa Kiswahili ndio wametufafanulia kisanifu zaidi, Diamond aliandika
“Kileeeeeeee kinaanza kumuharibia mtu...
5 years ago
BBCSwahili12 Jun
Thomas Thabane: Waziri Mkuu wa zamani wa Lesotho 'alilipa majambazi kumuua mke wake wa zamani''
11 years ago
Mwananchi21 Aug
Kinyozi anayeota kuwa kama Bakhresa
10 years ago
BBCSwahili23 Mar
Yemen kuwa kama Syria, Iraq na Libya?