Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinyozi anayeota kuwa kama Bakhresa

Mafanikio: Kupitia kazi hii ambayo nimeianza miaka kadhaa iliyopita ninaweza kuendesha familia yangu yenye mtoto mmoja na kukidhi mahitaji yote pamoja na ya ndugu zangu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kalapina: Mwanahiphop, bondia anayeota ubunge Jimbo la Kigamboni

>Mwaka umeanza, kila mtu anapanga mikakati yake kuelekea 2015. Lakini kwa mwanamuziki wa Hiphop Karama Masoud maarufu Kalapina amemaliza mwaka 2013 kwa mbwembwe nyingi, akipanga mwaka 2014 kuumaliza akiwa ameshapanda ulingoni kupambana na bingwa wa ngumi za kulipwa za uzito wa juu nchini Alfonce Mchumiatumbo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ben Pol: Mkali anayeota kufanya kazi na P Square

MALENGO ni kitu muhimu kwa kila mtu, hususani anapokuwa anamaliza mwaka na kuingia mwaka mpya. Iko hivyo kwa wanamichezo, wasanii, wanasiasa, wafanyakazi, wafanyabiashara, wakulima, wajasiriamali na jamii kwa ujumla. Gazeti...

 

11 years ago

BBCSwahili

Unajivunia Kinyozi wako?

Maonyesho ya vinyozi kadhaa vilivyo katika mataifa kadhaa Afrika yanaendelea mjini London. Nini hukuvutia katika kinyozi chako?

 

10 years ago

Mwananchi

Babu; kinyozi anayemiliki magari 75

Mfanyabiashara Leonard Willoughby aliwahi kusema; ‘siku utakayoanza kuishi kwa kuifuata mipango yako unayopanga, kila kitu katika maisha yako kitabadilika kabisa.’ Inawezekana watu wengi wanaufahamu msemo huo, lakini Ramesh Babu anajitapa kuyatendea kazi maneno hayo.

 

10 years ago

GPL

JB NAWEZA KUWA KAMA ZAMANI

MKONGWE wa filamu Bongo, Jacob Steven ‘JB’ amefunguka kwamba anaweza kuuweka kando ubonge na kurejea kwenye muonekano wake wa zamani kama atatakiwa kuwa hivyo. Mkongwe wa filamu Bongo, Jacob Steven ‘JB’ akila tizi. JB aliyasema hayo alipoulizwa kuhusiana na picha yake ya zamani inayomuonesha akiwa mwembamba sana tofauti na ubonge alionao sasa ambapo alijitetea kwamba yeye ni msanii na filamu ndizo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

KASSIM MOHAMED: Kinyozi anayepambana na saluni za kisasa

KUTOKANA na maendeleo ya sayansi na teknolojia, mambo mengi yamebadilika. Mojawapo ya mambo hayo ni kujiweka nadhifu, iwe kwa mwanamke au mwanamume kwa kutumia vipodozi vya kisasa. Zamani wanawake walikuwa...

 

9 years ago

Global Publishers

Siyo kinyozi tena, siku hizi ni saluni!

Hapo zamani za kale wakati wa enzi zetu, mkaka alikuwa akitaka kunyoa nywele anaenda kwa kinyozi na kinyozi alikuwa mwanaume. Mdada akitaka kunyoa nywele zake anamtafuta mdada mwenzie amnyoe nywele.

Vinyozi walikuwa wa aina kuu mbili walikuweko wale vinyozi ambao shughuli zao walizifanyia chini ya mti, na wengine ndiyo walikuwa wanakuwa na chumba ambacho nje utakuta kibao kimeandikwa kinyozi.

Kwa kinyozi ndiko kulikokuwa sehemu ya kupata habari mbalimbali za nini kinaendelea katika jamii....

 

10 years ago

BBCSwahili

Yemen kuwa kama Syria, Iraq na Libya?

Umoja wa Mataifa umeonya kuwa, yemen iko katika hatari kubwa ya kuingia katika migogoro, kama ilivyo Syria, Iraq na Libya.

 

9 years ago

Habarileo

Bakhresa achunguzwa

KAMPUNI ya Said Salim Bakhresa (SSB) inachunguzwa na vyombo vya dola kwa tuhuma za kushiriki kukwepa kodi na hivyo kuikosesha serikali mabilioni ya fedha kutokana na makontena yaliyohifadhiwa kwenye bandari yake ya nchi kavu (ICD) ‘kupotea’ bila kulipiwa kodi. Tayari Mamlaka ya Mapato (TRA) imepiga marufuku SSB kuingiza makontena katika bandari hiyo kavu ambako ndiko kunadaiwa kufanyika kwa vitendo hivyo vya ukwepaji wa kodi kutokana na baadhi ya makontena kupotea katika mazingira ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani