KASSIM MOHAMED: Kinyozi anayepambana na saluni za kisasa
KUTOKANA na maendeleo ya sayansi na teknolojia, mambo mengi yamebadilika. Mojawapo ya mambo hayo ni kujiweka nadhifu, iwe kwa mwanamke au mwanamume kwa kutumia vipodozi vya kisasa. Zamani wanawake walikuwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Siyo kinyozi tena, siku hizi ni saluni!
Hapo zamani za kale wakati wa enzi zetu, mkaka alikuwa akitaka kunyoa nywele anaenda kwa kinyozi na kinyozi alikuwa mwanaume. Mdada akitaka kunyoa nywele zake anamtafuta mdada mwenzie amnyoe nywele.
Vinyozi walikuwa wa aina kuu mbili walikuweko wale vinyozi ambao shughuli zao walizifanyia chini ya mti, na wengine ndiyo walikuwa wanakuwa na chumba ambacho nje utakuta kibao kimeandikwa kinyozi.
Kwa kinyozi ndiko kulikokuwa sehemu ya kupata habari mbalimbali za nini kinaendelea katika jamii....
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
KHALID KASSIM MOHAMED: Mwanafunzi bora Zanzibar anayelilia uprofesa
“MATARAJIO yangu ni kuendelea na elimu ya juu ili nifikie ndoto zangu za kuisaidia familia na nchi yangu.” Hiyo ni kauli ya Khalid Kassim Mohamed (15), mwanafunzi bora kwa kufanya...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ucrmSUxYNSk/VlG_8K_CVzI/AAAAAAAIHxA/dTNVMZJFmvw/s72-c/DSC_0506.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DKT ALI MOHAMED SHEIN ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA NYUMBA ZA KISASA FUMBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ucrmSUxYNSk/VlG_8K_CVzI/AAAAAAAIHxA/dTNVMZJFmvw/s640/DSC_0506.jpg)
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
Breaking News: Waziri Mkuu mteule ni Kassim Majaliwa Kassim!
Kassim Majaliwa
Tayari dakika chache zilizopita kutoka ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Dk, John Pombe Magufuli ametuma jina la Waziri Mkuu, ambaye ni Kassim Majaliwa aliyekuwa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).
Jina hilo limefikishwa kwa mbwembwe likiwa ndani ya bahasha tatu huku likiwa limeandikwa kwa mkono. Kwa hatua hiyo sasa Bunge limeenda mapumziko na dakika chache kutoka sasa litarejea kwa ajili ya kupigia kura na wabunge...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Libj3OwXRSU/XutZuZrz6iI/AAAAAAABMfQ/622pzjw7HuYoYomX-THjQeUXsDo_V7cwgCLcBGAsYHQ/s72-c/MMM.jpeg)
MOHAMED HIJA MOHAMED ACHUKA FOMU ZA KUOMBA KUWANIA URAIS WA ZANZIBAR KUPITIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-Libj3OwXRSU/XutZuZrz6iI/AAAAAAABMfQ/622pzjw7HuYoYomX-THjQeUXsDo_V7cwgCLcBGAsYHQ/s400/MMM.jpeg)
10 years ago
Mwananchi30 Nov
mwanamke anayepambana na ukatili Serengeti
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Mwanamke anayepambana na ukatili wa kijinsia
10 years ago
Mwananchi29 Mar
Ofisa wa Polisi anayepambana vikali na ukatili wa kijinsia
11 years ago
BBCSwahili20 Jan
Unajivunia Kinyozi wako?