Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Siyo kinyozi tena, siku hizi ni saluni!

Hapo zamani za kale wakati wa enzi zetu, mkaka alikuwa akitaka kunyoa nywele anaenda kwa kinyozi na kinyozi alikuwa mwanaume. Mdada akitaka kunyoa nywele zake anamtafuta mdada mwenzie amnyoe nywele.

Vinyozi walikuwa wa aina kuu mbili walikuweko wale vinyozi ambao shughuli zao walizifanyia chini ya mti, na wengine ndiyo walikuwa wanakuwa na chumba ambacho nje utakuta kibao kimeandikwa kinyozi.

Kwa kinyozi ndiko kulikokuwa sehemu ya kupata habari mbalimbali za nini kinaendelea katika jamii....

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

KASSIM MOHAMED: Kinyozi anayepambana na saluni za kisasa

KUTOKANA na maendeleo ya sayansi na teknolojia, mambo mengi yamebadilika. Mojawapo ya mambo hayo ni kujiweka nadhifu, iwe kwa mwanamke au mwanamume kwa kutumia vipodozi vya kisasa. Zamani wanawake walikuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Unagombana na dili? ...Hizi siyo akili

Dah, kile kimvua cha juzi wanangu ilibaki hivi tu ...Kiduuuuchu nidedi kudadadeki, natoa hai kwa wanangu wote wa kitaa...mtu mzima niko fiti na magumashi yanasonga kama kawa...kama dawa na hivi ninavyokwambia, vere vere sun, Zee linakuwa hewani kupitia mdimuz.blogspot.com kuanzia mwezi ujao, ...sasa kuna jambo moja ntasisitiza.

 

11 years ago

GPL

DINA MARIOS, RUBEN NDEGE, SIYO SIRI TENA

Dina Marios na Ruben Ndege ‘Ncha Kali’. Na Mwandishi Wetu
SIYO siri tena! Uhusiano wa kimapenzi kati ya watangazaji nyota Bongo, Dina Marios na Ruben Ndege ‘Ncha Kali’ sasa upo hadharani. Kwa muda mrefu Dina na Ruben wamekuwa kwenye uhusiano lakini wamekuwa wakijitahidi kuuficha usijulikane na watu, lakini hata hivyo watu wa karibu hasa wanaofanya nao kazi, walifahamu juu ya uhusiano huo. Akizungumza...

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Faiza Atupia Tena Hizi Akiwa Ufukweni!!!!

Mrembo na muigizaji wa filamu, Faiza Ally ambae ni mama wa mtoto mmoja amezibandika picha hizi kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa maeneo ya ufukweni mjini Bagamoyo.

Mbali na ukweli kuwa hapa amevalia nguo za ufukweni, mahabiki wengi wamemshabulia kuwa mavazi haya hayafai kwani yeye sasa hivi ni mama tena amezaa na Muheshimiwa, huku wengine wakisema hapo ndio mahali pake na wa muacha afurahie maisha yake.

Japokuwa ni kweli kuwa Faiza aliwashangaza wengi mwaka jana kwa kuvalia “pampers”...

 

9 years ago

Mtanzania

Enrico: Hakuna Bongo Fleva siku hizi

NA HERIETH FAUSTINE

MTAYARISHAJI wa muziki kutoka studio ya Sound Crafters, Enrico Figueroa ‘Enrico’, amesema nyimbo zote
zinazotoka siku hizi hazina ubora, ndiyo maana haziwezi kudumu hata kwa miaka miwili.

“Mpaka sasa sijaona wimbo mkali, nyimbo zote ni sawa tu, zinakaa siku mbili, tatu au wiki nne zinapotea, hakuna
Bongo Fleva ya kukaa miaka miwili,” alisema Enrico, alipokuwa akihojiwa katika kipindi cha Planet Bongo
kinachorushwa na kituo cha runinga cha EATV.

Aliongeza kwamba ili wimbo...

 

10 years ago

Raia Mwema

Siku hizi kuna uchangudoa wa kisasa, wa kisiasa hasa

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.

Hidaya

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha:Siku ya Leo Hizi za Kidoti Zimependwa na Wengi

Picha za mrembo anaefanya vitu vingi hapa mjini kuanzia mitindo, utangazaji,ujasiliamali  hadi uimbaji wa muziki,  Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ alizozitupia leo kwenye ukurasa wake wa mtandaoni zimepokea’ LIKES’ na COMMENTS kutoka kwa wadau na mashabiki wa kike na wakiume huu kila mmoja akisema lake juu ya picha hizo.

Yote kwa yote Kidoti hapo ametokelezea ile sana, kwa upande wetu hizi za Kidoti ndio picha bomba  zaidi kwa siku ya leo kati ya za mastaa wote wa  Bongo Movies.

Tupia mtazamo wako...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani