Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DINA MARIOS, RUBEN NDEGE, SIYO SIRI TENA

Dina Marios na Ruben Ndege ‘Ncha Kali’. Na Mwandishi Wetu
SIYO siri tena! Uhusiano wa kimapenzi kati ya watangazaji nyota Bongo, Dina Marios na Ruben Ndege ‘Ncha Kali’ sasa upo hadharani. Kwa muda mrefu Dina na Ruben wamekuwa kwenye uhusiano lakini wamekuwa wakijitahidi kuuficha usijulikane na watu, lakini hata hivyo watu wa karibu hasa wanaofanya nao kazi, walifahamu juu ya uhusiano huo. Akizungumza...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

DINA MARIOS AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME

Mtangazaji mahiri wa Kipindi cha Leo Tena kinachoruka kupitia Clouds FM, Dina Marios, amejifungua mtoto wa kiume leo.

 

9 years ago

Bongo5

Dina Marius airejesha tena Kitchen Party Gala

Mtangazaji wa kipindi cha Uhondo cha EFM, Dina Marious ameirejesha tena Kitchen Party Gala – hafla ambayo huwakutanisha wanawake mbalimbali nchini kuzungumza masuala ya mahusiano, familia, kujikwamua kiuchumi na mengine. “Kila mwanamke ana mipango na mikakati ya kufikia malengo fulani katika maisha.Yawezekana mipango haiendi,changamoto zinakufanya ukate tamaa,umekuwa mtu wa kuhairisha, wewe muongeaji tu utendaji sifuri,ndoa […]

 

10 years ago

Habarileo

‘Waraka kutangaza Katiba siyo wa siri

Salva RweyemamuSERIKALI imekiri kuutambua waraka unaodaiwa kuwa ni wa siri wa Serikali wa kuitangaza Katiba pendekezwa.

 

9 years ago

Global Publishers

Siyo kinyozi tena, siku hizi ni saluni!

Hapo zamani za kale wakati wa enzi zetu, mkaka alikuwa akitaka kunyoa nywele anaenda kwa kinyozi na kinyozi alikuwa mwanaume. Mdada akitaka kunyoa nywele zake anamtafuta mdada mwenzie amnyoe nywele.

Vinyozi walikuwa wa aina kuu mbili walikuweko wale vinyozi ambao shughuli zao walizifanyia chini ya mti, na wengine ndiyo walikuwa wanakuwa na chumba ambacho nje utakuta kibao kimeandikwa kinyozi.

Kwa kinyozi ndiko kulikokuwa sehemu ya kupata habari mbalimbali za nini kinaendelea katika jamii....

 

11 years ago

GPL

MCHUMBA WA SI SIRI TENA!

Hamida Hassan, Mayasa Mariwata na Galdness Mallya
HAYAWIHAYAWI hatimaye yamekua! Siku chache baada ya sexy lady wa sinema za Bongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ kutangaza sifa za mwanaume atakayemchumbia, amejitokeza mtu anayetaka kuchukua jumla na si siri tena, Amani limenyetishiwa. Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’. SIFA ZAKE
Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa familia ya staa huyo anayekimbiza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani