UHONDO WA DINA MARIOS NDANI YA 93.7 EFM
![](http://4.bp.blogspot.com/-L-mogwhX3rg/Vd25Fhn4cPI/AAAAAAAH0Nk/sHFt_tzcZs4/s72-c/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2RHcTA3yfWA/Vd6XR7BKTmI/AAAAAAAH0Sg/zS7no186caE/s72-c/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aq07GQXjwH0TXvWCpycdEQlPjZIliZh-IAlllVr4r6AMrfHVnAg4MGBkkvEGti-w26lzs4J9yb7B3LqfiZ8EhJlUDj8CBntX/dinamarios.jpg)
DINA MARIOS AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME
Mtangazaji mahiri wa Kipindi cha Leo Tena kinachoruka kupitia Clouds FM, Dina Marios, amejifungua mtoto wa kiume leo.
11 years ago
GPLDINA MARIOS, RUBEN NDEGE, SIYO SIRI TENA
Dina Marios na Ruben Ndege ‘Ncha Kali’. Na Mwandishi Wetu
SIYO siri tena! Uhusiano wa kimapenzi kati ya watangazaji nyota Bongo, Dina Marios na Ruben Ndege ‘Ncha Kali’ sasa upo hadharani. Kwa muda mrefu Dina na Ruben wamekuwa kwenye uhusiano lakini wamekuwa wakijitahidi kuuficha usijulikane na watu, lakini hata hivyo watu wa karibu hasa wanaofanya nao kazi, walifahamu juu ya uhusiano huo. Akizungumza...
9 years ago
VijimamboEFM YAANZISHA SHINDANO LA KANGA KWA WANAWAKE KUPITIA KIPINDI CHA UHONDO
9 years ago
MichuziEFM 93.7 yaja na shindano la kubuni maneno ya Khanga kupitia kipindi cha UHONDO
KATIKA kuhakikisha kuwa inamshirikisha msikilizaji wake kwenye kila jambo na hatua inayopiga 93.7 efm, kupitia kipindi chake kipya cha Uhondo ambacho huruka hewani kila siku za Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa sita mchana hadi saa tisa Alasiri, Kikiwa na watangazaji mahiri Dina Marios na Swebe Santana (Rais wa Wanaume) kimeandaa shindano la Kanga kwa ajili ya wanawake wote wasikilizaji wa Efm 93.7Lengo la shindano hilo, linaloanza leo Septemba 14 na kuishia Oktoba 5 mwaka huu, kwanza ni...
11 years ago
GPL30 Jul
PENNY AONYESHA MBWEMBWE ZAKE NDANI YA EFM RADIO
Mtangazaji wa kipindi cha Genge cha radio EFM, Penniel Mwingilwa 'VJ Penny' akifanya vitu vyake studio juzi Jumamatu.
9 years ago
Michuzi02 Dec
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Id4ldASBUw8/Vc0L_fdu21I/AAAAAAAHwdg/1yV9gt8Jg10/s72-c/e1.jpg)
libeneke la Muziki mnene bar kwa bar la 93.7 EFM ndani ka kibaha
![](http://4.bp.blogspot.com/-Id4ldASBUw8/Vc0L_fdu21I/AAAAAAAHwdg/1yV9gt8Jg10/s640/e1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8ggC6IFL3UU/Vc0L_RitzyI/AAAAAAAHwdY/2riYeMqO-t8/s640/e2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kwvKg1TQ8fX4ovBycl47FuW4W9F6eii9aRGAUaRJM-1pHm777dAaAQhrguI1sxs-RiGU9cJwP8984osJmTmxKGtglbIFN7sd/maestro.jpg)
IBRAHIM MASOUD 'MAESTRO' NAYE NDANI YA EFM 93.7
Maestro (kushoto) akitambulishwa rasmi na Mkuu wa kipindi cha michezo cha E. sports cha EFM 93.7 na Maulid Baraka Kitenge leo. ALIYEKUWA Mtangazaji wa vipindi vya Michezo wa radio Clouds Dar es Salaam, Ibrahim Masoud 'Maestro' leo amekamilisha usajili wake wa kujiunga na Kituo maarufu hivi sasa cha radio hapa jijini Dar es Salaam cha EFM 93.7. Maestro ameungana na magwiji wengine katika utangazaji wa vipindi vya michezo nchini...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania