libeneke la Muziki mnene bar kwa bar la 93.7 EFM ndani ka kibaha
![](http://4.bp.blogspot.com/-Id4ldASBUw8/Vc0L_fdu21I/AAAAAAAHwdg/1yV9gt8Jg10/s72-c/e1.jpg)
Wana 93.7 EFM wakipata ytaswira na mashabiki wa EFM maeneo ya Kibaha kuwashukuru na kuwatunza kuwapa zawadi kwa kusikiliza vipindi vya kituo hicho cha redio kinachotamba nchini, ikiwa ni maandalizi ya ujio wa libeneke la Muziki mnene bar kwa bar.
Bango la MUZIKI MNENE lilionekana maeneo ya mjini Kibaha, lilowekwa na mmoja wa mashabiki wa EFM Radio 93.7.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziEFM WAANDAA TAMASHA LA PILI LA MUZIKI MNENE BAR KWA BAR
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zYvUvcLXovCpI8POW*n1xij3JtnXgN3-nEFQ8LdqK6A-NwhEdV1vm7sPLPGKVeF3mUF1LL98YR6ToPQ3wF7qro-q-1kYSLf3/Efmlogojpg1024x542.png?width=650)
EFM KUTOA MUZIKI MNENE BAR KWA BAR
BAADA ya kumalizika kwa Tamasha la muziki mnene Mtaa kwa Mtaa awamu ya kwanza, (Muziki mnene bango) ambapo mashabiki na wasikilizaji wengi wa EFM wamejishindia zawadi kabambe, Sasa ni zamu ya wapenzi wa burudani na mambo ya party. Muziki mnene bar kwa bar ni tukio ambalo lina wakutanisha wasikilizaji na mashabiki wa EFM na wakali wa EFM kutoka wilaya za kinondoni, Ilala na Temeke katika mkoa wa Dar er Salaam, na kwa sasa Muziki...
10 years ago
GPLDAR LIVE YAFURIKA KATIKA KILELE CHA EFM BAR KWA BAR MUZIKI MNENE
Inspector Haroun 'Babu' akifanya makamuzi wakati wa kilele cha EFM Bar kwa Bar Muziki Mnene ndani ya Dar Lve jana.…
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5jO6pjLYpIk/Ve1MY6FYGTI/AAAAAAAH3AA/c_hi7z6hDFs/s72-c/IMG-20150906-WA054.jpg)
TIMU YA EFM YAIBUKA NA USHINDI WA BAO 1-0 NA BAADAE MZIKI MNENE BAR KWA BAR MKURANGA MKOANI PWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-5jO6pjLYpIk/Ve1MY6FYGTI/AAAAAAAH3AA/c_hi7z6hDFs/s640/IMG-20150906-WA054.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-M-3gtIbOCig/Ve1MZLJ2X0I/AAAAAAAH2_4/fGkY4wC9Pvs/s640/IMG-20150906-WA057.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8_jI_FqyPyU/Ve1MZyWq-ZI/AAAAAAAH3AM/viDZYeWmmuE/s640/IMG-20150906-WA067.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-obz3Bz6wjY4/Ve1MaXYZWtI/AAAAAAAH3AU/N0_W1qaCEWw/s640/IMG-20150906-WA069.jpg)
10 years ago
GPLTAMASHA LA MUZIKI MNENE BAR KWA BAR KUENDELEA KIVINGINE
Meneja Mkuu wa Mawasiliano wa kituo cha Redio cha EFM,  Denis Ssebo (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habri Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu  kuendelea kufanyika kwa Tamasha la Muziki Bar kwa Bar baada ya kumalizika kwa tamasha hilo kwa awamu ya kwanza. Kulia ni Mtangazaji, Dina Marios. Na Dotto Mwaibale KITUO cha Redio cha EFM kimeamua kuendelea kufanya tamasha la muziki Bar kwa Bar baada ya kumalizika...
10 years ago
VijimamboTAMASHA LA MUZIKI MNENE BAR KWA BAR KUENDELEA KIVINGINE
Na Dotto Mwaibale
KITUO cha Redio cha EFM kimeamua kuendelea kufanya tamasha la muziki Bar kwa Bar baada ya kumalizika kwa tamasha hilo kwa awamu ya kwanza.
Hayo yalibainishwa na Meneja Mkuu...
9 years ago
MichuziTAMASHA LA MUZIKI MNENE BAR KWA BAR KUFANYIKA JUMAMOSI MKURANGA MKOANI PWANI
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wfdsHTTqnY8/VgoONJVZctI/AAAAAAAH7qk/-VU4LnvRhW0/s72-c/DU7C0126.jpg)
MUZIKI MNENE KIBAHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-wfdsHTTqnY8/VgoONJVZctI/AAAAAAAH7qk/-VU4LnvRhW0/s640/DU7C0126.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dm0Pn2oBnak/VgoONPAF0lI/AAAAAAAH7qs/XXEvMzl51MY/s640/DU7C9593.jpg)
93.7 EFM yajinyakulia ushindi baada ya kuwafunga kibaha veterans mabao mawili kwa moja, katika mchezo uliochezwa mwishoni mwa wiki katika uwanja wa Tamco kibaha, Mechi hiyo ni baadhi ya mechi zinazoendelea baina ya EFM na timu mbalimbali za wasikilizaji wake, Kupitia kampeni ya Muziki mnene bar kwa bar .Burudani haikuishia hapo, baada ya mechi hiyo shangwe ziliendelea ndani ya kibaha kontena. Ilikuwa ni bandika bandua ya ngoma kali kutoka kwa Rdj’s wa 93.7 EFM na shamra shamra kutoka...
10 years ago
GPLEFM 93.7 KUFANYA TAMASHA LA MUZIKI MNENE KUWASHUKURU MASHABIKI
Mtangazaji wa EFM, Denis Sebo akifafanua jambo kwa wanahabari (hawapo pichani). Msaidizi ofisa mahusiano, Lydia moyo (kushoto) katikati ni Meneja mahusiano wa EFM, Kanky Mwaigomole na Mhariri mkuu, Samira Kianga.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania