TIMU YA EFM YAIBUKA NA USHINDI WA BAO 1-0 NA BAADAE MZIKI MNENE BAR KWA BAR MKURANGA MKOANI PWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-5jO6pjLYpIk/Ve1MY6FYGTI/AAAAAAAH3AA/c_hi7z6hDFs/s72-c/IMG-20150906-WA054.jpg)
Wananchi wakishuhudia mchezo ukiendelea ikiwa umedhaminiwa na Mtandao wa simu wa Smart katika viwanja vya Mkuranga mkoani pwani baadha ya mpira kumalizika ndipo Mkizi Mnene Bar kwa Bar ulipoaaza kuchezwa mkoani Pwani mwishoni mwa wiki.
Wachezaji wa timu ya EFM na Mkuranga Veteran wakiendelea kusakata kabumbu ndani ya viwanga vya Mkuranga Mkoani Pwani.
Picha ya pamoja ya Timu ya Mpira wa miguu ya EFM na Mkuranga Veteran iliyo cheza katika viwanja vya Mkuranga mkoani Pwani, mashindano...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziTAMASHA LA MUZIKI MNENE BAR KWA BAR KUFANYIKA JUMAMOSI MKURANGA MKOANI PWANI
10 years ago
MichuziEFM WAANDAA TAMASHA LA PILI LA MUZIKI MNENE BAR KWA BAR
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Id4ldASBUw8/Vc0L_fdu21I/AAAAAAAHwdg/1yV9gt8Jg10/s72-c/e1.jpg)
libeneke la Muziki mnene bar kwa bar la 93.7 EFM ndani ka kibaha
![](http://4.bp.blogspot.com/-Id4ldASBUw8/Vc0L_fdu21I/AAAAAAAHwdg/1yV9gt8Jg10/s640/e1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8ggC6IFL3UU/Vc0L_RitzyI/AAAAAAAHwdY/2riYeMqO-t8/s640/e2.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zYvUvcLXovCpI8POW*n1xij3JtnXgN3-nEFQ8LdqK6A-NwhEdV1vm7sPLPGKVeF3mUF1LL98YR6ToPQ3wF7qro-q-1kYSLf3/Efmlogojpg1024x542.png?width=650)
EFM KUTOA MUZIKI MNENE BAR KWA BAR
10 years ago
GPLDAR LIVE YAFURIKA KATIKA KILELE CHA EFM BAR KWA BAR MUZIKI MNENE
10 years ago
GPLTAMASHA LA MUZIKI MNENE BAR KWA BAR KUENDELEA KIVINGINE
10 years ago
VijimamboTAMASHA LA MUZIKI MNENE BAR KWA BAR KUENDELEA KIVINGINE
Na Dotto Mwaibale
KITUO cha Redio cha EFM kimeamua kuendelea kufanya tamasha la muziki Bar kwa Bar baada ya kumalizika kwa tamasha hilo kwa awamu ya kwanza.
Hayo yalibainishwa na Meneja Mkuu...
10 years ago
Mtanzania11 Aug
EFM yazindua mziki mnene
NA ASIFIWE GEORGE
KITUO cha Utangazaji cha EFM kimezindua mradi wake wa ‘Mziki Mnene’ utakaokuwa ukifanyika katika bar mbalimbali kuanzia Septemba 5 mwaka huu.
Meneja mkuu wa mawasiliano wa kituo hicho, Denis Ssebo, alisema wamepanua wigo kwa wasikilizaji wa redio hiyo na sasa watawafikia watu wengi kwa kuwa bar 12 zitatembelewa.
Alitaja maeneo watakayofika ni Kibaha, Mlandizi, Mkuranga, Bagamoyo, Kisarawe, Kigamboni na mengine mengi ambayo wanaamini wana mashabiki wakutosha.
Alisema baada...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-p65l2_V5xyI/VDU8dJh_KQI/AAAAAAAGos8/ErlBhly_GUQ/s72-c/unnamed.jpg)
MZIKI MNENE WA EFM WAPAGAISHA UKONGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-p65l2_V5xyI/VDU8dJh_KQI/AAAAAAAGos8/ErlBhly_GUQ/s1600/unnamed.jpg)
Idadi ya watu wasio hesabika walijitokeza kwa wingi ndani ukumbi huo. Tuliongea na mmoja wa waandaji wa tamasha hili Dickson Ponella,ambae alisema kuwa mziki mnene utazunguka Dar Es Salaam nzima na viunga vyake,kama ratiba inavyo elekeza.
“Haina haja ya watu kugombania kuingia...