DINA MARIOS AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME
![](http://api.ning.com:80/files/aq07GQXjwH0TXvWCpycdEQlPjZIliZh-IAlllVr4r6AMrfHVnAg4MGBkkvEGti-w26lzs4J9yb7B3LqfiZ8EhJlUDj8CBntX/dinamarios.jpg)
Mtangazaji mahiri wa Kipindi cha Leo Tena kinachoruka kupitia Clouds FM, Dina Marios, amejifungua mtoto wa kiume leo.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo505 Nov
Kelly Rowland ajifungua mtoto wa kiume
Kelly Rowland na mume wake ambaye pia ni meneja wake, Tim Witherspoon wamepata mtoto wa kiume waliyempa jina, Titan Jewell. Mtoto huyo alizaliwa jana. Muimbaji huyo wa zamani wa Destiny’s Child alitangaza mwezi June kuwa alikuwa anatarajia kupata mtoto, ikiwa ni mwezi mmoja tu baada ya kufunga ndoa huko Costa Rica.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfg87XsxH3hlHbqHJVY5ALaOkCDYQK8qefza736DJHlDg5NHjeZqtXb042pqtISKh52Vwj1QO2ZFHDMbstMteGnL/safina.jpg?width=650)
SAFINA WA MIZENGWE AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME
STAA mkongwe wa vichekesho kutoka kundi la Kashikash Bongo linalorusha michezo yake kupitia Kipindi cha Mizengwe runinga ya ITV, Jessica Kindole ‘Safina’ amejifungua mtoto wa kiume katika Hospitali ya Lugalo, jijini Dar es Salaam. Jessica Kindole ‘Safina’ akiwa hospitali kabla ya kujifungua.
10 years ago
Bongo531 Jan
Shakira ajifungua mtoto wa pili wa kiume, Sasha
Mwimbaji wa Colombia, Shakira (37) amejifungua mtoto wake wa pili wa kiume siku ya Alhamisi usiku huko Barcelona. Hit maker wa ‘Waka Waka’ pamoja na mzazi mwenzake mcheza mpira Gerard Piqué wamempatia jina la Sasha. Shakira, Grerald na mtoto wao wa kwanza Milan Kwa mujibu wa Daily Mail, Shakira na boyfriend wake walichukua floor nzima […]
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-L-mogwhX3rg/Vd25Fhn4cPI/AAAAAAAH0Nk/sHFt_tzcZs4/s72-c/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
11 years ago
GPLDINA MARIOS, RUBEN NDEGE, SIYO SIRI TENA
Dina Marios na Ruben Ndege ‘Ncha Kali’. Na Mwandishi Wetu
SIYO siri tena! Uhusiano wa kimapenzi kati ya watangazaji nyota Bongo, Dina Marios na Ruben Ndege ‘Ncha Kali’ sasa upo hadharani. Kwa muda mrefu Dina na Ruben wamekuwa kwenye uhusiano lakini wamekuwa wakijitahidi kuuficha usijulikane na watu, lakini hata hivyo watu wa karibu hasa wanaofanya nao kazi, walifahamu juu ya uhusiano huo. Akizungumza...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2RHcTA3yfWA/Vd6XR7BKTmI/AAAAAAAH0Sg/zS7no186caE/s72-c/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-mvJhpG_tQ94/VUHK99dCOhI/AAAAAAABM9U/f02aL7fUK0M/s72-c/page3.jpg)
MPENZI WA MR NICE AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE, NICE ASEMA NDO MTOTO WAKE WA MWISHO
![](http://2.bp.blogspot.com/-mvJhpG_tQ94/VUHK99dCOhI/AAAAAAABM9U/f02aL7fUK0M/s1600/page3.jpg)
Mr Nice ambaye ni baba wa watoto wawili kwa sasa, Collin na Nicole, ameiambia Bongo5 kuwa Nicole ni mtoto wake wa mwisho ili aweze kuwatengezea maisha mazuri.“Sasa hivi ni uzazi wa mpango, huyu kwangu ndo mtoto wa mwisho, kuzaa tu kama mbwa itakuwaje? mwishowe utashindwa kuwatengenezea maisha mazuri,” alisema Nice.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGj8nXBcp01MK0lcDnnVhbAzjyPGtYi3wfkPMfWBGqGH6msBM0914eUaJ3UJqdEb6tDQjeQGSY02mVg9CwHHWJ94/MamaM.jpg)
MAMA AJIFUNGUA MTOTO WA AJABU
Na Dustan Shekidele, Morogoro My God! Mama aliyetambulika kwa jina la Swaumu Sadick (25), mkazi wa Manzese jijini Dar, amejikuta yeye na manesi wakitimua mbio kwa woga baada ya kujifungua kiumbe wa ajabu. Swaumu Sadick akiwa hospitali baada ya kujifungua mtoto huyo. Kwa mujibu wa shuhuda wetu, tukio hilo ambalo kwa sasa ni gumzo, lilijiri hivi karibuni mishale ya saa 8:00 usiku kwenye Kituo cha Afya Cha Kijiji cha Mlali...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55KhZ3SdjEZ84OkpwOOglNq-P*mscWlGBbqYmU*VeTd*aQhA702gvq*JirrKhquPEkOAmdTZ2W9CbEjMsjej-jEY/mamtei.jpg?width=650)
MAMTEI AJIFUNGUA MTOTO WA PILI
Stori: Nyemo Chilongani na Deogratius Mongela
MUIGIZAJI wa kike, Cecilia Sospeter ‘Mamtei’ amejifungua mtoto wa kike. Mamtei alijifungua mtoto huyo aliyempa jina la Careen kwa njia ya upasuaji katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Jumamosi iliyopita, huku akiwa amezaa na mpenzi wake wa muda mrefu aitwaye Christopher John. Akizungumza na Ijumaa, Mamtei alisema: “Namshukuru Mungu kwa kujifungua salama, mwanangu...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania