Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kelly Rowland ajifungua mtoto wa kiume

Kelly Rowland na mume wake ambaye pia ni meneja wake, Tim Witherspoon wamepata mtoto wa kiume waliyempa jina, Titan Jewell. Mtoto huyo alizaliwa jana. Muimbaji huyo wa zamani wa Destiny’s Child alitangaza mwezi June kuwa alikuwa anatarajia kupata mtoto, ikiwa ni mwezi mmoja tu baada ya kufunga ndoa huko Costa Rica.

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SAFINA WA MIZENGWE AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME

STAA mkongwe wa vichekesho kutoka kundi la Kashikash Bongo linalorusha michezo yake kupitia Kipindi cha Mizengwe runinga ya ITV, Jessica Kindole ‘Safina’ amejifungua mtoto wa kiume katika Hospitali ya Lugalo, jijini Dar es Salaam. Jessica Kindole ‘Safina’ akiwa hospitali kabla ya kujifungua.

 

11 years ago

GPL

DINA MARIOS AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME

Mtangazaji mahiri wa Kipindi cha Leo Tena kinachoruka kupitia Clouds FM, Dina Marios, amejifungua mtoto wa kiume leo.

 

9 years ago

Bongo5

Music: Kelly Rowland — Dumb

In the two years since her last album, Kelly Rowland married her manager, lost her mother, and gave birth to a baby boy named Titan. Now the singer/mother/wife returns with a new song called “Dumb,” which debuted on her SoundCloud account (via Miss Info). Over a bouncy West Coast beat, Kelly brings all the boys […]

 

10 years ago

Bongo5

Shakira ajifungua mtoto wa pili wa kiume, Sasha

Mwimbaji wa Colombia, Shakira (37) amejifungua mtoto wake wa pili wa kiume siku ya Alhamisi usiku huko Barcelona. Hit maker wa ‘Waka Waka’ pamoja na mzazi mwenzake mcheza mpira Gerard Piqué wamempatia jina la Sasha. Shakira, Grerald na mtoto wao wa kwanza Milan Kwa mujibu wa Daily Mail, Shakira na boyfriend wake walichukua floor nzima […]

 

10 years ago

Vijimambo

MPENZI WA MR NICE AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE, NICE ASEMA NDO MTOTO WAKE WA MWISHO

Mpenzi wa mwanzilishi wa style ya ‘Takeu’ Lucas Mkenda aka Mr Nice, amejifungua mtoto wa kike na kupewa jina la Nicole.
Mr Nice ambaye ni baba wa watoto wawili kwa sasa, Collin na Nicole, ameiambia Bongo5 kuwa Nicole ni mtoto wake wa mwisho ili aweze kuwatengezea maisha mazuri.“Sasa hivi ni uzazi wa mpango, huyu kwangu ndo mtoto wa mwisho, kuzaa tu kama mbwa itakuwaje? mwishowe utashindwa kuwatengenezea maisha mazuri,” alisema Nice.

 

10 years ago

Vijimambo

Zari ajifungua mtoto wa kike

MTOTO WA ZARI
Mama mzazi wa Diamond, Sanura Kassim ‘Sandra’ akiwa amembeba mjukuu weke. Kulia ni Zari
MPENZI wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ Zarinah Hassan ‘Zari’ amejifungua mtoto wa kike leo alfajiri saa 10: 40 jijini Dar es Salaam. Mtandao huu umeongea na Meneja wa kimataifa wa Diamond Platinumz, Salam Sharaf ambaye amethibitisha taarifa hizo na kusema Zari bado yupo hospitali mpaka sasa.


Kutokana na usumbufu aliodai unaweza kutokea, Salam hakuweka wazi hospitali...

 

10 years ago

GPL

MAMA AJIFUNGUA MTOTO WA AJABU

Na Dustan Shekidele, Morogoro My God! Mama aliyetambulika kwa jina la Swaumu Sadick (25), mkazi wa Manzese jijini Dar, amejikuta yeye na manesi wakitimua mbio kwa woga baada ya kujifungua kiumbe wa ajabu. Swaumu Sadick akiwa hospitali baada ya kujifungua mtoto huyo. Kwa mujibu wa shuhuda wetu, tukio hilo ambalo kwa sasa ni gumzo, lilijiri hivi karibuni mishale ya saa 8:00 usiku kwenye Kituo cha Afya Cha Kijiji cha Mlali...

 

11 years ago

GPL

MAMTEI AJIFUNGUA MTOTO WA PILI

Stori: Nyemo Chilongani na Deogratius Mongela MUIGIZAJI wa kike, Cecilia Sospeter ‘Mamtei’ amejifungua mtoto wa kike. Mamtei alijifungua mtoto huyo aliyempa jina la Careen kwa njia ya upasuaji katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Jumamosi iliyopita, huku akiwa amezaa na mpenzi wake wa muda mrefu aitwaye Christopher John. Akizungumza na Ijumaa, Mamtei alisema: “Namshukuru Mungu kwa kujifungua salama, mwanangu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani