Siku hizi kuna uchangudoa wa kisasa, wa kisiasa hasa
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
SIKU KIPALULE: Mamalishe aliyeokolewa kuuza baa, uchangudoa
“KUNA watu wanafikiria kufanya kazi baa ni kupenda, hapana kama mimi niliifanya kazi hiyo na kuuza mwili kutokana na umaskini wa kipato niliokuwa nao na kukosa elimu itakayoweza kuniongoza katika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvs4yREP-H2Cz6jwNCc*dr*dlzsi3jS03D*s87nRAokhrGl2gptmlp7D-aB2S9BWQSeGg1gLIQ-ptrDP84Q9v3lT/IMG20150412WA0006.jpg?width=650)
AJALI HIZI, KUNA KITU
9 years ago
Mzalendo Zanzibar02 Oct
Kuna mbinu chafu za ccm hizi hapa .
Viongozi wa Chadema/UKAWA kuweni Makini sana na huu mfumo wa BVR bao la mkono liko njiani kufanikiwa. Mkipuuza mtalia kilio ambacho hatapatikana mtu wa kuwafuta machozi. Vitambulisho fake ni vingi sana na hakuna mashine ya kuvitambua […]
The post Kuna mbinu chafu za ccm hizi hapa . appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Bongo504 Aug
Kuna kitu cha kujifunza katika video hizi 2 mpya za Burundi zinazochezwa Trace TV
10 years ago
Raia Tanzania06 Jul
Kuna wanaoijua na wasioijua siku ya Asteroidi
WIKI iliyopita Juni 30, dunia iliadhimisha siku ya Asteoidi wapo wanaojua na wapo wasiojua kuwa siku hiyo ipo na inasherehekewa kila mwaka, si lazima uwe mwanahisabati bali kila mwanadamu inamuhusu.
Siku hii ilitengwa miaka mingi iliyopita baada ya asteroidi kuingia Tungusta na kuteketeza kilometa za eneo zipatazo 2000 katika msitu wa Siberia 30 Juni, 1908. Kwa hiyo siku hiyo hutumiwa na wanasayansi hasa wanastronomia kufanya mambo kadhaa yenye uhusiano na anga za juu.
Baadhi...
9 years ago
Mtanzania06 Oct
Enrico: Hakuna Bongo Fleva siku hizi
NA HERIETH FAUSTINE
MTAYARISHAJI wa muziki kutoka studio ya Sound Crafters, Enrico Figueroa ‘Enrico’, amesema nyimbo zote
zinazotoka siku hizi hazina ubora, ndiyo maana haziwezi kudumu hata kwa miaka miwili.
“Mpaka sasa sijaona wimbo mkali, nyimbo zote ni sawa tu, zinakaa siku mbili, tatu au wiki nne zinapotea, hakuna
Bongo Fleva ya kukaa miaka miwili,” alisema Enrico, alipokuwa akihojiwa katika kipindi cha Planet Bongo
kinachorushwa na kituo cha runinga cha EATV.
Aliongeza kwamba ili wimbo...
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Siyo kinyozi tena, siku hizi ni saluni!
Hapo zamani za kale wakati wa enzi zetu, mkaka alikuwa akitaka kunyoa nywele anaenda kwa kinyozi na kinyozi alikuwa mwanaume. Mdada akitaka kunyoa nywele zake anamtafuta mdada mwenzie amnyoe nywele.
Vinyozi walikuwa wa aina kuu mbili walikuweko wale vinyozi ambao shughuli zao walizifanyia chini ya mti, na wengine ndiyo walikuwa wanakuwa na chumba ambacho nje utakuta kibao kimeandikwa kinyozi.
Kwa kinyozi ndiko kulikokuwa sehemu ya kupata habari mbalimbali za nini kinaendelea katika jamii....
10 years ago
Bongo Movies09 Apr
Picha:Siku ya Leo Hizi za Kidoti Zimependwa na Wengi
Picha za mrembo anaefanya vitu vingi hapa mjini kuanzia mitindo, utangazaji,ujasiliamali hadi uimbaji wa muziki, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ alizozitupia leo kwenye ukurasa wake wa mtandaoni zimepokea’ LIKES’ na COMMENTS kutoka kwa wadau na mashabiki wa kike na wakiume huu kila mmoja akisema lake juu ya picha hizo.
Yote kwa yote Kidoti hapo ametokelezea ile sana, kwa upande wetu hizi za Kidoti ndio picha bomba zaidi kwa siku ya leo kati ya za mastaa wote wa Bongo Movies.
Tupia mtazamo wako...