Kuna kitu cha kujifunza katika video hizi 2 mpya za Burundi zinazochezwa Trace TV
Tasnia ya muziki nchini Burundi ina jambo la kusherehekea mwezi huu baada ya video mbili za wasanii wa huko kupitishwa na kuanza kuchezwa kwenye kituo maarufu cha muziki cha Trace Urban TV. Hiyo ni mara ya kwanza kwa wasanii wa Burundi. Nyimbo hizo ni pamoja na ‘Jigi Jigiwe’ ya Happy Famba na Katoto Rmx ya […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNWfc-L7b8PoiL56Iw54PYyxYXoLrr1j0Di*r5cpYgsnbKUbn*M7mZfegDMUbFRrAw8wgApa-dPQ5FXP97eojX2k/MAMAWEMA.jpg)
DIAMOND, KUNA KITU CHA KUJIFUNZA!
NASIB Abdul, ambaye uwezo wake wa muziki wa kizazi kipya umempatia jina la Diamond Platnumz, mwishoni mwa wiki iliyopita katika tamasha la Fiesta, pale Leaders Club Kinondoni jijini Dar es Salaam, itabaki kuwa ndani ya kumbukumbu zake, angalau kwa miaka kadhaa ijayo. Mamia ya mashabiki waliojazana katika viwanja hivyo, walimzomea kwa nguvu kubwa, tofauti na matarajio ya wengi kwamba angefunika, kama wenyewe wanavyosema. Kelele...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo4nFG*hhuGrzWuw5wQZsNCmv7BBRF8c7PXH9R9D62WH-1uBRPpYwrBtaE8Yuw1UEpWuklwTjpKsaqBqtKwDU0p5/150000080.jpg)
BARUA NZITO WEMA KUNA KITU CHA KUJIFUNZA KWA†‬ZARIâ€!‬
KWAKO mtoto mzuriâ€, ‬Beutiful Onyinyeâ€, ‬Wema Sepetu†‬‮!‬'Madam'. ‬Vipi uko poaâ€? ‬Ukitaka kujua afya yanguâ€, ‬mimi ni mzima namshukuru Munguâ€, ‬hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa maisha yanguâ€.‬
Kitambo kidogo hatujaonanaâ€, ‬nimeona si mbaya kama nitakukumbuka kwa barua maana najua kutokana na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvs4yREP-H2Cz6jwNCc*dr*dlzsi3jS03D*s87nRAokhrGl2gptmlp7D-aB2S9BWQSeGg1gLIQ-ptrDP84Q9v3lT/IMG20150412WA0006.jpg?width=650)
AJALI HIZI, KUNA KITU
Ajali iliyohusisha basi la kampuni ya Nganga na Fuso yakiwaka moto. KWANZA kabisa tumshukuru Mungu kwa kutuweka hai, hakika yeye anastahili kuabudiwa kila siku.
Baada ya kusema hayo nianze kwa kuwataka wasomaji wangu kutafakari kwa kina hizi ajali za mabasi zinazotokea mara kwa mara katika barabara za nchi yetu. Kwa muda wa siku zisizozidi kumi na nane zimetokea ajali mbaya tatu za mabasi na kusababisha Watanzania wenzetu zaidi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ipxaxjznh3w/Vbs5AWv8CSI/AAAAAAAHs6Y/gfNdl8vt_OY/s72-c/POST-inta-nicecouple.jpg)
MSHINDI WA AIRTEL TRACE NALIMI MAYUNGA KUACHIA VIDEO YA KIBAO CHAKE CHA "NICE COUPLE" KWENYE CHANEL YA TRACE LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ipxaxjznh3w/Vbs5AWv8CSI/AAAAAAAHs6Y/gfNdl8vt_OY/s640/POST-inta-nicecouple.jpg)
Mshindi wa shindano la Airtel Trace Music Star Nalimi Mayunga ameachiakibao chake kipya cha " Nice Couple" video itakayorushwa kuanzia leokatika kituo cha DSTV chanel ya Trace Urban 325
MWANZONI mwa mwezi huu, Mshindi huyo wa Airtel Trace Music star alituamjini Johannesburg South Afrika akitokea nchini Tanzania ili kuanzasafari yake kujiendeleza kimuziki na kufikia ndoto zake mara baada yakuibuka mshindi wa mashindano makubwa yaliyoshirikisha nchi 13 baraniAfrika yaliyofanyika tarehe 18...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CrfMSzuE5d6VyXZMjo6hGB6K1YcLst-F*ceJSpmbY*LNeNWm03oEIJniqikY-mjE7sBjb-arv279mCH7KSjvYC*NvxPoKO02/tayson.jpg)
KIFO CHA TYSON, KUNA KITU!
Stori: WAANDISHI WETU Tatizo! Huku macho ya waigizaji na wadau wake hayajakauka machozi kufuatia vifo vya ghafla vya mwongoza sinema, Adam Philip Kuambiana (38) na mwigizaji Sheila Leo Haule ‘Recho’ (26), tasnia imempoteza mwingine, mwigizaji, prodyuza na mwongozaji filamu mahiri, George Otieno ‘Tyson’ (41). Jeneza lenye mwili wa George Tyson likiwa limehifadhiwa mochwari katika Hospitali ya Kairuki,...
9 years ago
Bongo508 Oct
Video ya wimbo mpya wa Vanessa Mdee ‘Never Ever’ kutambulishwa Trace Urban (Oct. 9 )
Wakati tunasubiri single yake mpya (audio) kuachiwa rasmi Jumatatu Ijayo, surprise nyingine kutoka kwa Vanessa Mdee ni kuwa video ya wimbo huo ‘Never Ever’ itatambulishwa exclusive na kituo cha runinga cha Ufaransa – Trace Urban kesho Oct.9. Vanessa ambaye tayari yuko Dallas, Marekani alikoenda kuhudhuria tuzo za Afrimma ameshare taarifa hiyo kupitia mitandao ya kijamii. […]
9 years ago
Bongo520 Oct
Video yangu ‘Shauri Zao’ kuchezwa Trace Tv imenipa changamoto mpya — Belle 9
Staa wa RnB, Belle 9 ameelezea furaha aliyoipata baada ya kuanza kuona ndoto zake zimeanza kutimia. “Kiukweli nimejiskia amani, nimejiskia furaha sana yaani nina vibe ambayo aisee yaani niko very surprised mpaka sasa hivi ninavyoongea hapa bado sijatulia kabisa,” hayo ni maneno ya Belle 9 alipozungumza na Bongo5 baada ya video yake kutambulishwa na Tv […]
10 years ago
Mwananchi07 Jun
JITAMBUE:Je unajua kuwa una haja ya kujifunza tabia mpya katika maisha yako?
Je unaweza kuandika orodha ya tabia zako zote? Kama unaweza kuziandika zitenge katika makundi mawili. Kundi moja liwe la zile ambazo zinakusaidia na zenye manufaa hata kwa watu wengine na kundi la pili ni zile ambazo hazina maana na hata zinawaudhi watu wengine. Kama utafanya zoezi hili kwa uaminifu huku ukiamini hakuna atakayeiona orodha yako kuna mambo mawili ambayo huenda ukafikiria kuyafanya.
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Kuna mengi ya kujifunza uchaguzi Zambia
Ndugu wasomaji wangu, leo naanza kuandika makala hii nikiwa jijini Lusaka nchini Zambia kama mwangalizi wa kimataifa ambaye nilikuja kuangalia uchaguzi wa Rais wa Zambia. Nilipata nafasi kama hii mwaka 2011 kuangalia Uchaguzi Mkuu ambao ulimpeleka Ikulu Michael Chilufya Satta kwa jina maarufu Cobra wa chama cha Patriotic Front (PF).
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania