KIFO CHA TYSON, KUNA KITU!

Stori: WAANDISHI WETU Tatizo! Huku macho ya waigizaji na wadau wake hayajakauka machozi kufuatia vifo vya ghafla vya mwongoza sinema, Adam Philip Kuambiana (38) na mwigizaji Sheila Leo Haule ‘Recho’ (26), tasnia imempoteza mwingine, mwigizaji, prodyuza na mwongozaji filamu mahiri, George Otieno ‘Tyson’ (41). Jeneza lenye mwili wa George Tyson likiwa limehifadhiwa mochwari katika Hospitali ya Kairuki,...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
DIAMOND, KUNA KITU CHA KUJIFUNZA!
NASIB Abdul, ambaye uwezo wake wa muziki wa kizazi kipya umempatia jina la Diamond Platnumz, mwishoni mwa wiki iliyopita katika tamasha la Fiesta, pale Leaders Club Kinondoni jijini Dar es Salaam, itabaki kuwa ndani ya kumbukumbu zake, angalau kwa miaka kadhaa ijayo. Mamia ya mashabiki waliojazana katika viwanja hivyo, walimzomea kwa nguvu kubwa, tofauti na matarajio ya wengi kwamba angefunika, kama wenyewe wanavyosema. Kelele...
10 years ago
GPL
BARUA NZITO WEMA KUNA KITU CHA KUJIFUNZA KWA†‬ZARIâ€!‬
KWAKO mtoto mzuriâ€, ‬Beutiful Onyinyeâ€, ‬Wema Sepetu†‬‮!‬'Madam'. ‬Vipi uko poaâ€? ‬Ukitaka kujua afya yanguâ€, ‬mimi ni mzima namshukuru Munguâ€, ‬hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa maisha yanguâ€.‬
Kitambo kidogo hatujaonanaâ€, ‬nimeona si mbaya kama nitakukumbuka kwa barua maana najua kutokana na...
11 years ago
GPL
KIFO CHA TYSON, KENYA NI ZAIDI YA MSIBA
WAKATI jana jiji la Dar likizizima kwa vilio, majonzi na simanzi wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa mwongoza filamu za Kibongo, marehemu George Otieno Okumu ‘Tyson’ nchini kwao Kenya ni zaidi ya msiba. Majonzi na simanzi wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa mwongoza filamu za Kibongo, marehemu George Otieno Okumu ‘Tyson’ katika Viwanja vya Leaders. Tyson aliagwa na mastaa, mashabiki na wadau wa burudani...
11 years ago
Bongo504 Aug
Kuna kitu cha kujifunza katika video hizi 2 mpya za Burundi zinazochezwa Trace TV
Tasnia ya muziki nchini Burundi ina jambo la kusherehekea mwezi huu baada ya video mbili za wasanii wa huko kupitishwa na kuanza kuchezwa kwenye kituo maarufu cha muziki cha Trace Urban TV. Hiyo ni mara ya kwanza kwa wasanii wa Burundi. Nyimbo hizo ni pamoja na ‘Jigi Jigiwe’ ya Happy Famba na Katoto Rmx ya […]
11 years ago
GPLKIFO CHA TYSON CHAMLIZA ZAIDI MBONI, AY AOKOA JAHAZI
Mtangazaji wa kipindi cha Mboni Show, Mboni Masimba akilia kwa uchungu akiwa nje ya Hospitali ya Mkoa wa Morogoro wakati wakisubiri kusafirisha maiti kuelekea Dar. Marehemu Tyson ndiye alikuwa Mtayarishaji wa kipindi chake na walikuwa wote katika safari hiyo, ingawa walikuwa magari tofauti.…
10 years ago
GPL
AJALI HIZI, KUNA KITU
Ajali iliyohusisha basi la kampuni ya Nganga na Fuso yakiwaka moto. KWANZA kabisa tumshukuru Mungu kwa kutuweka hai, hakika yeye anastahili kuabudiwa kila siku.
Baada ya kusema hayo nianze kwa kuwataka wasomaji wangu kutafakari kwa kina hizi ajali za mabasi zinazotokea mara kwa mara katika barabara za nchi yetu. Kwa muda wa siku zisizozidi kumi na nane zimetokea ajali mbaya tatu za mabasi na kusababisha Watanzania wenzetu zaidi...
11 years ago
GPL
KUNA KITU ZAIDI YA NENO NAKUPENDA-3
MARAFIKI tunaendelea kujifunza zaidi kuhusu maisha ya uhusiano na mapenzi. Leo tunafikia tamati ya mada hii iliyoanza wiki mbili zilizopita.
Tumeshajifunza mengi, kama mtakumbuka wiki iliyopita tulianza kuona nini cha kufanya kwa kuanza na kuchunguza tatizo. Hebu sasa twende kwenye vipengele vilivyosalia. Badilika...
Inawezekana wewe ndiye uliyekosea, yamkini pia ni mwenzi wako ndiye mwenye makosa, vyovyote ilivyo, kikubwa...
10 years ago
GPL
DUDE, ESTER KIAMA KUNA KITU!
Hamida Hassan/mchanganyiko
UKARIBU wa mastaa wa filamu za Kibongo, Kulwa Kikumba maarufu kama Dude na msanii mwenzake Ester Kiama unaonyesha kama kuna kitu kati yao baada ya kuonekana kuwa karibu kwa muda mwingi kiasi kinachotia shaka! Staa wa filamu za Kibongo, Kulwa Kikumba maarufu kama Dude. Chanzo kilicho karibu na wawili hao kimesema mara kwa mara wanaonekana kuwa karibu kila wanapokwenda na kuonyesha dalili zote za...
11 years ago
GPL
KUNA KITU ZAIDI YA NENO NAKUPENDA
JAMBO la kufurahisha ni kwamba, ukifungua ukurasa huu, unakuwa na uhakika wa kuongeza kitu kipya katika maisha yako ya uhusiano na mapenzi. Hata kama huna mpenzi kwa sasa, utajiwekea mazingira mazuri ya kupata mwezi sahihi siku zijazo. Unaweza kunisoma pia kwenye Gazeti la Risasi Mchanganyiko katika safu ya Let’s All About Love, Elimu ya Mapenzi katika Gazeti la Championi Jumamosi na Love & Life kwenye Gazeti la Uwazi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania