Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BARUA NZITO WEMA KUNA KITU CHA KUJIFUNZA KWA‭ ‬ZARI‭!‬

KWAKO mtoto mzuri‭, ‬Beutiful Onyinye‭, ‬Wema Sepetu‭ ‬‮!‬'Madam'. ‬Vipi uko poa‭? ‬Ukitaka kujua afya yangu‭, ‬mimi ni mzima namshukuru Mungu‭, ‬hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa maisha yangu‭.‬
Kitambo kidogo hatujaonana‭, ‬nimeona si mbaya kama nitakukumbuka kwa barua maana najua kutokana na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DIAMOND, KUNA KITU CHA KUJIFUNZA!

NASIB Abdul, ambaye uwezo wake wa muziki wa kizazi kipya umempatia jina la Diamond Platnumz, mwishoni mwa wiki iliyopita katika tamasha la Fiesta, pale Leaders Club Kinondoni jijini Dar es Salaam, itabaki kuwa ndani ya kumbukumbu zake, angalau kwa miaka kadhaa ijayo. Mamia ya mashabiki waliojazana katika viwanja hivyo, walimzomea kwa nguvu kubwa, tofauti na matarajio ya wengi kwamba angefunika, kama wenyewe wanavyosema. Kelele...

 

11 years ago

Bongo5

Kuna kitu cha kujifunza katika video hizi 2 mpya za Burundi zinazochezwa Trace TV

Tasnia ya muziki nchini Burundi ina jambo la kusherehekea mwezi huu baada ya video mbili za wasanii wa huko kupitishwa na kuanza kuchezwa kwenye kituo maarufu cha muziki cha Trace Urban TV. Hiyo ni mara ya kwanza kwa wasanii wa Burundi. Nyimbo hizo ni pamoja na ‘Jigi Jigiwe’ ya Happy Famba na Katoto Rmx ya […]

 

11 years ago

GPL

KIFO CHA TYSON, KUNA KITU!

Stori: WAANDISHI WETU Tatizo! Huku macho ya waigizaji na wadau wake hayajakauka machozi kufuatia vifo vya ghafla vya mwongoza sinema, Adam Philip Kuambiana (38) na mwigizaji Sheila Leo Haule ‘Recho’ (26), tasnia imempoteza mwingine, mwigizaji, prodyuza na mwongozaji filamu mahiri, George Otieno ‘Tyson’ (41). Jeneza lenye mwili wa George Tyson likiwa limehifadhiwa mochwari katika Hospitali ya Kairuki,...

 

10 years ago

GPL

BARUA NZITO: WASTARA OMBA RADHI‭, ‬BADILIKA‭!‬

Wastara Juma KWAKO mwanamke unayejua kuuvaa vyema uhusika katika sinema za Kibongo, Wastara Juma. Za siku nyingi? Uko poa mama!&ke? Ukitaka kujua afya yangu mimi ni mzima wa afya, naendelea na mishemishe zangu za kila siku kuhakikisha mkono unakwenda kinywani. Nimekukumbuka hapa leo maana ni kitambo kidogo hatujaonana. Nikaona ni vizuri kukuandikia barua. Dhumuni la barua hii ni kwanza kutaka kukukumbusha juu ya heshima...

 

10 years ago

Vijimambo

BARUA NZITO: WASTARA Omba Radhi na Ubadilike..


Wastara JumaKWAKO mwanamke unayejua kuuvaa vyema uhusika katika sinema za Kibongo, Wastara Juma. Za siku nyingi? Uko poa mama! yake?Ukitaka kujua afya yangu mimi ni mzima wa afya, naendelea na mishemishe zangu za kila siku kuhakikisha mkono unakwenda kinywani. Nimekukumbuka hapa leo maana ni kitambo kidogo hatujaonana. Nikaona ni vizuri kukuandikia barua.Dhumuni la barua hii ni kwanza kutaka kukukumbusha juu ya heshima niliyokuwa nakupa. Nilikuwa nakuheshimu kama mama wa watoto wawili, mtu...

 

11 years ago

GPL

BARUA NZITO: UKIMSHANGAA SNURA UTAKUTANA NA SHILOLE!

Snura Mushi. KWENU,
Wasanii chipukizi katika muziki, Snura Mushi na Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Poleni na majukumu yenu ya kila siku. Hongereni pia kwa kukubalika kwenu katika upande wa pili wa sanaa ya muziki mkitokea uigizaji. Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Ni muda mrefu sana nafahamiana na Snura. Nakufahamu vizuri sana tangu wakati ule ukijaribu kufurukuta kwenye filamu. Shilole ni tofauti kidogo. Wewe...

 

10 years ago

GPL

BARUA NZITO STARA THOMAS JITATHMINI UPYA

KWAKO mwanamuziki wa Injili na Bongo Fleva, Stara Thomas. Bila shaka ni mzima wa afya na unaendelea na mishimishe zako maana najua una mambo mengi, muziki wa kidunia na ule wa kiroho. Binafsi ni mzima. Naendelea na majukumu yangu kama kawaida. Nimekukumbuka kwa barua leo maana ni muda mrefu hatujaonana. Sikulaumu maana mjini mipango kama alivyoimba Mwanamuziki Ali Chocky wa Extra Bongo.
Dhumuni la barua hii kwanza kabisa ni...

 

10 years ago

Mwananchi

Kuna mengi ya kujifunza uchaguzi Zambia

Ndugu wasomaji wangu, leo naanza kuandika makala hii nikiwa jijini Lusaka nchini Zambia kama mwangalizi wa kimataifa ambaye nilikuja kuangalia uchaguzi wa Rais wa Zambia. Nilipata nafasi kama hii mwaka 2011 kuangalia Uchaguzi Mkuu ambao ulimpeleka Ikulu Michael Chilufya Satta kwa jina maarufu Cobra wa chama cha Patriotic Front (PF).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani