BARUA NZITO WEMA KUNA KITU CHA KUJIFUNZA KWA†‬ZARIâ€!‬
![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo4nFG*hhuGrzWuw5wQZsNCmv7BBRF8c7PXH9R9D62WH-1uBRPpYwrBtaE8Yuw1UEpWuklwTjpKsaqBqtKwDU0p5/150000080.jpg)
KWAKO mtoto mzuriâ€, ‬Beutiful Onyinyeâ€, ‬Wema Sepetu†‬‮!‬'Madam'. ‬Vipi uko poaâ€? ‬Ukitaka kujua afya yanguâ€, ‬mimi ni mzima namshukuru Munguâ€, ‬hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa maisha yanguâ€.‬ Kitambo kidogo hatujaonanaâ€, ‬nimeona si mbaya kama nitakukumbuka kwa barua maana najua kutokana na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNWfc-L7b8PoiL56Iw54PYyxYXoLrr1j0Di*r5cpYgsnbKUbn*M7mZfegDMUbFRrAw8wgApa-dPQ5FXP97eojX2k/MAMAWEMA.jpg)
DIAMOND, KUNA KITU CHA KUJIFUNZA!
NASIB Abdul, ambaye uwezo wake wa muziki wa kizazi kipya umempatia jina la Diamond Platnumz, mwishoni mwa wiki iliyopita katika tamasha la Fiesta, pale Leaders Club Kinondoni jijini Dar es Salaam, itabaki kuwa ndani ya kumbukumbu zake, angalau kwa miaka kadhaa ijayo. Mamia ya mashabiki waliojazana katika viwanja hivyo, walimzomea kwa nguvu kubwa, tofauti na matarajio ya wengi kwamba angefunika, kama wenyewe wanavyosema. Kelele...
11 years ago
Bongo504 Aug
Kuna kitu cha kujifunza katika video hizi 2 mpya za Burundi zinazochezwa Trace TV
Tasnia ya muziki nchini Burundi ina jambo la kusherehekea mwezi huu baada ya video mbili za wasanii wa huko kupitishwa na kuanza kuchezwa kwenye kituo maarufu cha muziki cha Trace Urban TV. Hiyo ni mara ya kwanza kwa wasanii wa Burundi. Nyimbo hizo ni pamoja na ‘Jigi Jigiwe’ ya Happy Famba na Katoto Rmx ya […]
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CrfMSzuE5d6VyXZMjo6hGB6K1YcLst-F*ceJSpmbY*LNeNWm03oEIJniqikY-mjE7sBjb-arv279mCH7KSjvYC*NvxPoKO02/tayson.jpg)
KIFO CHA TYSON, KUNA KITU!
Stori: WAANDISHI WETU Tatizo! Huku macho ya waigizaji na wadau wake hayajakauka machozi kufuatia vifo vya ghafla vya mwongoza sinema, Adam Philip Kuambiana (38) na mwigizaji Sheila Leo Haule ‘Recho’ (26), tasnia imempoteza mwingine, mwigizaji, prodyuza na mwongozaji filamu mahiri, George Otieno ‘Tyson’ (41). Jeneza lenye mwili wa George Tyson likiwa limehifadhiwa mochwari katika Hospitali ya Kairuki,...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Cmufrv6JsXU/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NpAlVAvTs3MA4qXiMHr0demDOJ5C62bkNPC4zKEvmXN32p4upbq7LPzqKYjMbRvgcEHSiZsR*W5ygB9Qf5ZfiAU7peT-iGZM/WastaraJumapics.jpg?width=650)
BARUA NZITO: WASTARA OMBA RADHIâ€, ‬BADILIKAâ€!‬
Wastara Juma KWAKO mwanamke unayejua kuuvaa vyema uhusika katika sinema za Kibongo, Wastara Juma. Za siku nyingi? Uko poa mama!&ke? Ukitaka kujua afya yangu mimi ni mzima wa afya, naendelea na mishemishe zangu za kila siku kuhakikisha mkono unakwenda kinywani. Nimekukumbuka hapa leo maana ni kitambo kidogo hatujaonana. Nikaona ni vizuri kukuandikia barua. Dhumuni la barua hii ni kwanza kutaka kukukumbusha juu ya heshima...
10 years ago
Vijimambo29 Apr
BARUA NZITO: WASTARA Omba Radhi na Ubadilike..
Wastara JumaKWAKO mwanamke unayejua kuuvaa vyema uhusika katika sinema za Kibongo, Wastara Juma. Za siku nyingi? Uko poa mama! yake?Ukitaka kujua afya yangu mimi ni mzima wa afya, naendelea na mishemishe zangu za kila siku kuhakikisha mkono unakwenda kinywani. Nimekukumbuka hapa leo maana ni kitambo kidogo hatujaonana. Nikaona ni vizuri kukuandikia barua.Dhumuni la barua hii ni kwanza kutaka kukukumbusha juu ya heshima niliyokuwa nakupa. Nilikuwa nakuheshimu kama mama wa watoto wawili, mtu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FqkiRUfegCh9ibp4HRyFayppRr5bIAuOaM6CND7iRS2*MFgbqcdbSe-IcUw0VFOxCSDea7qkkSCnrezOdbByMO-jxkNS5MMP/snura3.jpg?width=650)
BARUA NZITO: UKIMSHANGAA SNURA UTAKUTANA NA SHILOLE!
Snura Mushi. KWENU,
Wasanii chipukizi katika muziki, Snura Mushi na Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Poleni na majukumu yenu ya kila siku. Hongereni pia kwa kukubalika kwenu katika upande wa pili wa sanaa ya muziki mkitokea uigizaji. Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Ni muda mrefu sana nafahamiana na Snura. Nakufahamu vizuri sana tangu wakati ule ukijaribu kufurukuta kwenye filamu. Shilole ni tofauti kidogo. Wewe...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/U8LSueg-IYo91VqBLgljousQkE7-Wu0ermcxofeuBwACNuCOSokqJFSszrM4uiVvPj0bG5DqqRS6cJLRFnRMjtZhbHk3W03X/150000080.jpg?width=650)
BARUA NZITO STARA THOMAS JITATHMINI UPYA
KWAKO mwanamuziki wa Injili na Bongo Fleva, Stara Thomas. Bila shaka ni mzima wa afya na unaendelea na mishimishe zako maana najua una mambo mengi, muziki wa kidunia na ule wa kiroho. Binafsi ni mzima. Naendelea na majukumu yangu kama kawaida. Nimekukumbuka kwa barua leo maana ni muda mrefu hatujaonana. Sikulaumu maana mjini mipango kama alivyoimba Mwanamuziki Ali Chocky wa Extra Bongo.
Dhumuni la barua hii kwanza kabisa ni...
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Kuna mengi ya kujifunza uchaguzi Zambia
Ndugu wasomaji wangu, leo naanza kuandika makala hii nikiwa jijini Lusaka nchini Zambia kama mwangalizi wa kimataifa ambaye nilikuja kuangalia uchaguzi wa Rais wa Zambia. Nilipata nafasi kama hii mwaka 2011 kuangalia Uchaguzi Mkuu ambao ulimpeleka Ikulu Michael Chilufya Satta kwa jina maarufu Cobra wa chama cha Patriotic Front (PF).
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania