KIFO CHA TYSON CHAMLIZA ZAIDI MBONI, AY AOKOA JAHAZI
Mtangazaji wa kipindi cha Mboni Show, Mboni Masimba akilia kwa uchungu akiwa nje ya Hospitali ya Mkoa wa Morogoro wakati wakisubiri kusafirisha maiti kuelekea Dar. Marehemu Tyson ndiye alikuwa Mtayarishaji wa kipindi chake na walikuwa wote katika safari hiyo, ingawa walikuwa magari tofauti.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vKR8mtf*1cqG7veGtsMYYkboQmVSFW2-asYs6I*v7py3biDPzTuGjWWJNhCQBFe3DYSzccU8OdgpUltvvmIqpBZ1tiN0HLbG/tyson.jpg?width=650)
KIFO CHA TYSON, KENYA NI ZAIDI YA MSIBA
WAKATI jana jiji la Dar likizizima kwa vilio, majonzi na simanzi wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa mwongoza filamu za Kibongo, marehemu George Otieno Okumu ‘Tyson’ nchini kwao Kenya ni zaidi ya msiba. Majonzi na simanzi wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa mwongoza filamu za Kibongo, marehemu George Otieno Okumu ‘Tyson’ katika Viwanja vya Leaders. Tyson aliagwa na mastaa, mashabiki na wadau wa burudani...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CrfMSzuE5d6VyXZMjo6hGB6K1YcLst-F*ceJSpmbY*LNeNWm03oEIJniqikY-mjE7sBjb-arv279mCH7KSjvYC*NvxPoKO02/tayson.jpg)
KIFO CHA TYSON, KUNA KITU!
Stori: WAANDISHI WETU Tatizo! Huku macho ya waigizaji na wadau wake hayajakauka machozi kufuatia vifo vya ghafla vya mwongoza sinema, Adam Philip Kuambiana (38) na mwigizaji Sheila Leo Haule ‘Recho’ (26), tasnia imempoteza mwingine, mwigizaji, prodyuza na mwongozaji filamu mahiri, George Otieno ‘Tyson’ (41). Jeneza lenye mwili wa George Tyson likiwa limehifadhiwa mochwari katika Hospitali ya Kairuki,...
5 years ago
BBCSwahili30 May
Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani
Afisa akamatwa kwa mauaji ya Mmarekani mweusi aliyekuwa amekamatwa na polisi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vOG1QjIopkc/VN2gqpTNP2I/AAAAAAAHDaM/O-RcbqhCIo8/s72-c/unnamed.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mGDEGIIKfGk/VWBI3IhC4CI/AAAAAAABgdQ/zRRQ7LqGoDU/s72-c/IMG_0995.jpg)
KIPINDI CHA MBONI SHOW CHAAZIMISHA MIAKA MITATU NA KUTOA MSAADA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI, DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-mGDEGIIKfGk/VWBI3IhC4CI/AAAAAAABgdQ/zRRQ7LqGoDU/s640/IMG_0995.jpg)
10 years ago
Dewji Blog24 May
Kipindi cha Mboni show chaazimisha miaka mitatu kwa kutoa msaada Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar
5 years ago
BBCSwahili22 Feb
Pigano kati ya Deontay Wilder na Tyson Fury II: Mike Tyson ana muunga mkono Fury
Je Tyson Fury atampiga Deontay Wilde na kuwa bingwa wa mara mbili wa kombe la dunia?
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-PSU1arLuEZM/VWBI4MgnFLI/AAAAAAABgdk/JNB7MU0fde4/s640/IMG_1003.jpg)
KIPINDI CHA MBONI SHOW CHAAZIMISHA MIAKA MITATU KWA KUTOA MSAADA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI, DAR
 Mkurugenzi wa Mboni Show, Mboni Masimba akipongezwa meneja wa Jengo la Wazazi, Sister Amina Mwakuluzo kwa moyo aliyouonyesha. Kila mwaka Kipindi cha Mboni huwa kinaadhimisha kwa kutoa msaada sehemu mbali mbali ikiwa ni mpango wake wa kurudisha fadhira kwa jamii ambapo mwaka huu aliungwa mkono na PSPF, Nakiete Pharmacy, Fadhaget Sanitarium Clinic pamoja Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda.  Mkurugenzi wa Mboni Show,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania