KIPINDI CHA MBONI SHOW CHAAZIMISHA MIAKA MITATU NA KUTOA MSAADA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI, DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-mGDEGIIKfGk/VWBI3IhC4CI/AAAAAAABgdQ/zRRQ7LqGoDU/s72-c/IMG_0995.jpg)
Mkurugenzi wa Mboni Show, Mboni Masimba akimkabidhi Mkuu wa Idara ya Uzazi na Magonjwa ya Akina mama wa hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dokta Mathew Kallaga (aliyepokea kwa niaba ya uongozi) vifaa mbali mbali vyenye thamani ya Tshs. Milioni saba alivyotoa kwa hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam ikiwa ni maadhimisho ya miaka mitatu ya kipindi hicho. Kila mwaka Kipindi cha Mboni huwa kinaadhimisha kwa kutoa msaada sehemu mbali mbali ikiwa ni mpango wake wa kurudisha fadhira...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog24 May
Kipindi cha Mboni show chaazimisha miaka mitatu kwa kutoa msaada Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-PSU1arLuEZM/VWBI4MgnFLI/AAAAAAABgdk/JNB7MU0fde4/s640/IMG_1003.jpg)
KIPINDI CHA MBONI SHOW CHAAZIMISHA MIAKA MITATU KWA KUTOA MSAADA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI, DAR
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mGDEGIIKfGk/VWBI3IhC4CI/AAAAAAABgdQ/zRRQ7LqGoDU/s72-c/IMG_0995.jpg)
THE MBONI SHOW YAADHIMISHA MIAKA MITATU KWA KUTOA MSAADA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-mGDEGIIKfGk/VWBI3IhC4CI/AAAAAAABgdQ/zRRQ7LqGoDU/s640/IMG_0995.jpg)
10 years ago
MichuziKIPINDI CHA MASKANI YA TIMES FM WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MSAADA KATIKA HOSPITALI YA MWANAYAMALA, DAR
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/tTHyefrQy0g/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vOG1QjIopkc/VN2gqpTNP2I/AAAAAAAHDaM/O-RcbqhCIo8/s72-c/unnamed.jpg)
11 years ago
Dewji Blog31 May
Dkt. Bilal afungua kituo cha tiba, uchunguzi na mafunzo ya magonjwa na saratani za matumbo na Ini cha hospitali ya Taifa Muhimbili, Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake wakati wa hafla ya ufunguzi wa Jengo la Kituo cha Tiba, Uchunguzi na Mafunzo ya Magonjwa na Saratani za Matumbo na Ini cha Hospitali ya Taifa Muhimbili wakati wa Hafla fupi ya ufunguzi huo iliyofanyika Hospitalini hapo jijini Dar es Salaam, jana Mei 30, 2014. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, (katikati) Mwakilishi wa Taasisi ya...
11 years ago
Dewji Blog28 Apr
Rais Kikwete azindua rasmi kituo cha magonjwa ya Moyo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili Jijini Dar
Rais Dkt Jakaya Mrisho kikwete akiongea na mmoja wa wagonjwa watoto waliofanyiwa upasuaji kwenye kituo kipya na cha kisasa cha Moyo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kukifungua rasmi jana April 27, 2014.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na Makamu Mwenyekiti wa chama tawala cha China cha National People’s Congress Mhe. Chen Changzhi (kushoto) wakioneshwa moja ya vifaa vya kisasa vya kuchunguzia maradhi kwenye kituo kipya na cha kisasa cha Moyo katika hospitali ya Taifa ya...