Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIFO CHA TYSON, KENYA NI ZAIDI YA MSIBA

WAKATI jana jiji la Dar likizizima kwa vilio, majonzi na simanzi wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa mwongoza filamu za Kibongo, marehemu George Otieno Okumu ‘Tyson’ nchini kwao Kenya ni zaidi ya msiba. Majonzi na simanzi wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa mwongoza filamu za Kibongo, marehemu George Otieno Okumu ‘Tyson’ katika Viwanja vya Leaders. Tyson aliagwa na mastaa, mashabiki na wadau wa burudani...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KIFO CHA TYSON CHAMLIZA ZAIDI MBONI, AY AOKOA JAHAZI

Mtangazaji wa kipindi cha Mboni Show, Mboni Masimba akilia kwa uchungu akiwa nje ya Hospitali ya Mkoa wa Morogoro wakati wakisubiri kusafirisha maiti kuelekea Dar. Marehemu Tyson ndiye alikuwa Mtayarishaji wa kipindi chake na walikuwa wote katika safari hiyo, ingawa walikuwa magari tofauti.…

 

11 years ago

GPL

KIFO CHA TYSON, KUNA KITU!

Stori: WAANDISHI WETU Tatizo! Huku macho ya waigizaji na wadau wake hayajakauka machozi kufuatia vifo vya ghafla vya mwongoza sinema, Adam Philip Kuambiana (38) na mwigizaji Sheila Leo Haule ‘Recho’ (26), tasnia imempoteza mwingine, mwigizaji, prodyuza na mwongozaji filamu mahiri, George Otieno ‘Tyson’ (41). Jeneza lenye mwili wa George Tyson likiwa limehifadhiwa mochwari katika Hospitali ya Kairuki,...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kenya yatangaza kifo cha kwanza cha mgonjwa mwenye virusi vya corona

Kenya imetangaza kifo cha kwanza cha mgonjwa aliyekuwa akiugua virusi vya corona.

 

11 years ago

Michuzi

UPDATES ZA MSIBA WA GEORGE TYSON

Mwili wa Marehemu George Tyson (pichani) utapelekwa nyumbani kwa marehemu Mbezi Beach (eneo la Makonde) kesho Jumanne Juni 3 kuanzia majira ya saa kumi jioni kwa ajili ya kuaga.
  Mwili utakuwepo nyumbani hapo mpaka siku ya Jumatano Juni 4,ambapo mwili utapelekwa kwenye viwanya vya Leaders Club,Kinondoni kwa ajili ya shughuli ya kuaga mwili na ibada fupi.
Baadae mwili utapelekwa kwenye Uwanja wa ndege wa Mwalimu J.K.Nyerere tayari kwa kusafirishwa kwenye jijini Nairobi nchini Kenya kwa...

 

11 years ago

GPL

MSIBA WA TYSON MAJENEZA MAWILI

Stori: Hamida Hassan na Shani Ramadhani HUKU akiacha wake watatu, Yvonne-Sheryl  Ngatikwa ‘Monalisa’, Beatrice na Lucy, msiba wa marehemu George Otieno ‘Tyson’ (41) umezua maajabu kwa kuwa na majeneza mawili, Uwazi linakumegea moja moja. Kwenye gari ni moja ya jeneza lilikusudiwa awali kutumika kwa ajili ya kuuhifadhi mwili wa marehemu George Otieno,' Tyson'. Kwa mujibu wa chanzo, uwepo wa majeneza...

 

11 years ago

GPL

NDUGU AINGIA MITINI NA RAMBIRAMBI MSIBA WA TYSON

MAMBO yamezidi kuwa mambo! Kifo cha aliyekuwa mwongoza filamu za Bongo, George Otieno ‘Tyson’ kimezidi kuzua mapya, safari hii ikidaiwa ndugu mmoja (jina tunalo) ameingia mitini na pesa za rambirambi zilizochangwa jijini Dar es Salaam wakati wa msiba huo. Raisi wa Bongo Muvi, Steve Nyerere akizungumza jambo katika msiba wa marehemu George Tyson wakati wa kumuaga katika Viwanja vya Leaders Club jijini Dar.
Kwa...

 

11 years ago

GPL

KUTOKA KATIKA MSIBA WA GEORGE TYSON MBEZI MAKONDE JIJINI DAR

Yvonney Chery ‘Monalisa’ akiwa na simanzi kubwa.
Kulia ni mke wa marehemu George Tyson akiwa msibani. (PICHA NA GLOBAL WhatsApp +0753 715 779 : Hamida…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani