MSIBA WA TYSON MAJENEZA MAWILI
![](http://api.ning.com:80/files/3QWN5yhdbadZxRjZWKDBHh1yAkT0MTBpBfh1PcGnL5ESH7gT9HnSWdv64VTxdjCuh6WqbnFEvQDNv3betR2sGNa2KFqk1VRZ/TYSON.jpg?width=650)
Stori: Hamida Hassan na Shani Ramadhani HUKU akiacha wake watatu, Yvonne-Sheryl Ngatikwa ‘Monalisa’, Beatrice na Lucy, msiba wa marehemu George Otieno ‘Tyson’ (41) umezua maajabu kwa kuwa na majeneza mawili, Uwazi linakumegea moja moja. Kwenye gari ni moja ya jeneza lilikusudiwa awali kutumika kwa ajili ya kuuhifadhi mwili wa marehemu George Otieno,' Tyson'. Kwa mujibu wa chanzo, uwepo wa majeneza...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-r2zeSO-Tf9Q/U4zPDPXg7sI/AAAAAAAFnTg/9-1OF86EeEg/s72-c/tyson.jpg)
UPDATES ZA MSIBA WA GEORGE TYSON
![](http://1.bp.blogspot.com/-r2zeSO-Tf9Q/U4zPDPXg7sI/AAAAAAAFnTg/9-1OF86EeEg/s1600/tyson.jpg)
Mwili utakuwepo nyumbani hapo mpaka siku ya Jumatano Juni 4,ambapo mwili utapelekwa kwenye viwanya vya Leaders Club,Kinondoni kwa ajili ya shughuli ya kuaga mwili na ibada fupi.
Baadae mwili utapelekwa kwenye Uwanja wa ndege wa Mwalimu J.K.Nyerere tayari kwa kusafirishwa kwenye jijini Nairobi nchini Kenya kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZClWuZcsZqUM24K*j7gmD7XPjYF0gXqkA1uXmKQx8L9jCMWk-GhdZ0njsDVKLYefY01sYf6s5japV7Py0cmCIzwR/tyson.jpg?width=650)
NDUGU AINGIA MITINI NA RAMBIRAMBI MSIBA WA TYSON
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vKR8mtf*1cqG7veGtsMYYkboQmVSFW2-asYs6I*v7py3biDPzTuGjWWJNhCQBFe3DYSzccU8OdgpUltvvmIqpBZ1tiN0HLbG/tyson.jpg?width=650)
KIFO CHA TYSON, KENYA NI ZAIDI YA MSIBA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DLo0tVWR9KcmNY6LNFldtS5zJWz2BliVhgCixVUVtqmCbG4gKYI3LyuB9caFGt*SB0XnfRyBs7cQGc8-7Rtn5W2EUTBJbtD-/IMG20140531WA0005.jpg)
KUTOKA KATIKA MSIBA WA GEORGE TYSON MBEZI MAKONDE JIJINI DAR
11 years ago
Michuzi31 May
10 years ago
Bongo Movies30 May
Baada ya Mwaka Moja, Leo Monalisa Atoboa Mazito Kuhusu Kilichotokea Kwenye Msiba wa George Tyson
Leo ikiwa ni mwaka mmoja toka aliekuwa muongozaji wa filamu na vipindi vya TV hapa Bongo, George Tyson kufariki dunia, mwigizaji Yvonne Cherrie ‘Monalisa’ ambaye alizaa na marehemu afunguaka mazito kupitia ukurasa wake mtandaoni.
Mara baada ya kubandika picha hiyo hapo juu monalisa akiwa na marehemu Tyson na mtoto wao, monalisa aliandika;
Wiki 78 zilizopita @jojityson alipost hii pic na kuandika
My family @monalisatz @soniamonalisa
Leo ni mwaka mmoja toka uondoke George..bado ni ngumu...
11 years ago
Dewji Blog31 May
Breaking News: Msiba mwingine Bongo Movie “George Tyson” afariki kwenye ajali ya gari usiku huu
Produza maarufu wa filamu nchini George Tyson (pichani) amefariki dunia usiku huu kwenye ajali ya gari Morogoro wakitokea Dodoma na wenzake sita kujeruhiwa akiwemo Blogger maarufu DJ Choka.
Chanzo cha jali hiyo akijajulikana bado MOblog inaendelea kufuatilia kwa ukaribu zaidi na tutawapa taarifa hapo baadae.
Taarifa hizi zimethibitishwa na jamaa wa karibu wa marehemu.
MOblog inaungana na watanzania wote kuomboleza kifo cha marehemu George Tyson na inawaombea nafuu wote waliojeruhiwa kwenye...
11 years ago
GPLGLOBAL PUBLISHERS WATOA RAMBI RAMBI MSIBA WA TYSON