KUTOKA KATIKA MSIBA WA GEORGE TYSON MBEZI MAKONDE JIJINI DAR
![](http://api.ning.com:80/files/DLo0tVWR9KcmNY6LNFldtS5zJWz2BliVhgCixVUVtqmCbG4gKYI3LyuB9caFGt*SB0XnfRyBs7cQGc8-7Rtn5W2EUTBJbtD-/IMG20140531WA0005.jpg)
Yvonney Chery ‘Monalisa’ akiwa na simanzi kubwa. Kulia ni mke wa marehemu George Tyson akiwa msibani. (PICHA NA GLOBAL WhatsApp +0753 715 779 : Hamida…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMWILI WA MAREHEMU ‘TYSON’ WAAGWA KWA SIMANZI MBEZI-MAKONDE
11 years ago
CloudsFM04 Jun
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SAA4EGYhkxc/U48_aekqvEI/AAAAAAAFni0/rBpD-1poN04/s72-c/2.jpg)
MAREHEMU GEORGE TYSON AAGWA LEO JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-SAA4EGYhkxc/U48_aekqvEI/AAAAAAAFni0/rBpD-1poN04/s1600/2.jpg)
Sehemu ya Wacheza Filamu nchini waliokuwa wamebeba Jeneza lenye Mwili wa Marehemu George Otieno Okomu (George Tyson) wakijipanga tayari kwa akili ya kuongoza shughuli ya Kuga mwili iliyofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club,Kinondoni jijini Dar es Salaam leo.Mwili huo umesafirishwa kupelekwa nchini Kenya ambako ni nyumbani kwao na Marehemu kwa ajili ya mazishi yatakayofanyika Jumamosi ijayo baada ya kukamiliza kwa mipango yote.
![](http://2.bp.blogspot.com/-BjNfoqMXnVM/U48_nmB1WGI/AAAAAAAFnkA/JnGKD_1GAss/s1600/29.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Mh. Said Meck Saddick...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-r2zeSO-Tf9Q/U4zPDPXg7sI/AAAAAAAFnTg/9-1OF86EeEg/s72-c/tyson.jpg)
UPDATES ZA MSIBA WA GEORGE TYSON
![](http://1.bp.blogspot.com/-r2zeSO-Tf9Q/U4zPDPXg7sI/AAAAAAAFnTg/9-1OF86EeEg/s1600/tyson.jpg)
Mwili utakuwepo nyumbani hapo mpaka siku ya Jumatano Juni 4,ambapo mwili utapelekwa kwenye viwanya vya Leaders Club,Kinondoni kwa ajili ya shughuli ya kuaga mwili na ibada fupi.
Baadae mwili utapelekwa kwenye Uwanja wa ndege wa Mwalimu J.K.Nyerere tayari kwa kusafirishwa kwenye jijini Nairobi nchini Kenya kwa...
11 years ago
Michuzi31 May
10 years ago
Bongo Movies30 May
Baada ya Mwaka Moja, Leo Monalisa Atoboa Mazito Kuhusu Kilichotokea Kwenye Msiba wa George Tyson
Leo ikiwa ni mwaka mmoja toka aliekuwa muongozaji wa filamu na vipindi vya TV hapa Bongo, George Tyson kufariki dunia, mwigizaji Yvonne Cherrie ‘Monalisa’ ambaye alizaa na marehemu afunguaka mazito kupitia ukurasa wake mtandaoni.
Mara baada ya kubandika picha hiyo hapo juu monalisa akiwa na marehemu Tyson na mtoto wao, monalisa aliandika;
Wiki 78 zilizopita @jojityson alipost hii pic na kuandika
My family @monalisatz @soniamonalisa
Leo ni mwaka mmoja toka uondoke George..bado ni ngumu...
11 years ago
Dewji Blog31 May
Breaking News: Msiba mwingine Bongo Movie “George Tyson” afariki kwenye ajali ya gari usiku huu
Produza maarufu wa filamu nchini George Tyson (pichani) amefariki dunia usiku huu kwenye ajali ya gari Morogoro wakitokea Dodoma na wenzake sita kujeruhiwa akiwemo Blogger maarufu DJ Choka.
Chanzo cha jali hiyo akijajulikana bado MOblog inaendelea kufuatilia kwa ukaribu zaidi na tutawapa taarifa hapo baadae.
Taarifa hizi zimethibitishwa na jamaa wa karibu wa marehemu.
MOblog inaungana na watanzania wote kuomboleza kifo cha marehemu George Tyson na inawaombea nafuu wote waliojeruhiwa kwenye...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1QCta3kegjk/VVpFU8PX2zI/AAAAAAAC4qU/-PQOXqYgVEU/s72-c/New%2BPicture.png)
NENO LA SHUKURANI KUTOKA KWA FAMILIA YA BWA UWESU MASUMI WA MBEZI BEACH JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-1QCta3kegjk/VVpFU8PX2zI/AAAAAAAC4qU/-PQOXqYgVEU/s320/New%2BPicture.png)
Shukurani za pekee ziwafikie wanajumuiya wa masjid Akram, Taqwa, Noor na Fauz Mbezi Beach, masjid Maamur- Upanga, Dr. Halid Gongoro, Ofisi za...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dS1oA4jyc-Y/U4rdUIy7IsI/AAAAAAAFm3k/aNw1WfAg5wo/s72-c/GEORGETYSONKIFO7.jpg)
mwili wa george tyson ulipowasili Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-dS1oA4jyc-Y/U4rdUIy7IsI/AAAAAAAFm3k/aNw1WfAg5wo/s1600/GEORGETYSONKIFO7.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-smWCVH0ompU/U4rdUOdxkQI/AAAAAAAFm3Y/lszdNHh2dYM/s1600/GEORGETYSONKIFO11.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xuy_QYqvfgs/U4rdULvBacI/AAAAAAAFm3c/_5KmJbymqJM/s1600/GEORGETYSONKIFO13.jpg)
PICHA NA GPL